Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

Acha kupaniki,tuliza mapumbu!

It doesn't matter which year.....toka 1961/1962 hatujawahi ipita Kenya kwa maendeleo!

And that's a FACT!


Alaf=Halafu

ukoh=Huko

Kajifunze Kiswahili busy body wewe!


Nani kasema na wapi mtu kaandika eti akijua Kiingereza ni ana IQ kubwa sana zaidi ya anaejua Kiswahili pekee yake?

Unajitungia hoja zako mwenyewe na kujijibu wewe pekee yako.

Kiswahili sio identity yako,ni lugha ya Waswahili wa Pwani,wewe Msukuma,mother tongue yako ni Kisukuma,acha kujipa vyeo usivyokua navyo!

Kingereza is the most powerful language in the world,hutaki andamana!

Kama Kiswahili ni bora sana Tanzania kwanini tunafundisha Kiingereza toka standard 3 up to University?

Even worse Secondary School level mpaka University level English is the defacto medium of instructions kisheria,huruhusiwi kufundusha kwa Kiswahili!

Unajua sababu ni nini wewe mwana Kiswahili bora duniani?


Nani kakwambia Tanzania kuna "Unity" eti sababu wanaongea Kiswahili?

Kenya wanaongea Kiingereza na lugha zao za kienyeji ila wana uzalendo na nchi yao zaidi ya Watanzania,jiulize kwanini?

Huna jibu....


Hujui unachokisema kwenye hii paragraph!

Hakuna taifa halina identity,kama wasingekua na identity taifa lisingeweza kujengwa to begin with!

Na lugha sio big of a fact kama unavyojitapa hapa maana inachenjiwa at any time..Kama Rwanda walipoamka asubuhi wakasema tunataka kua Anglophone na sio Francophone country,wakabadili dakika 0.

Leo Kenya wakisema wa-change English to 100% Kiswahili ni 5 years English is gone!

Plus,ni stupidity kuacha English for some weak languages!

Plus Nyerere alikua ni mpumbavu wa mwisho ndio maana mwenzake Lee Kuan Yew ameitoa Singapore kutoka 3rd world country to 1st world country ndani ya 30yrs ya utawala wake na Nyerere couldn't do shit!

Lee Kuan Yew ali-embrace English kama defacto language of Singapore,aka-embrace Capitalism,then akafanya utekelezaji,the rest is history!

Nyerere sasa,nonsense juu ya nonsense!


Acha umama wewe!

Ni heri nivae ndala wanangu waende English schools na colleges waende US au UK wakajifunze jinsi ya kuzalisha mali kwa akili then waje hapa waajiri wanao vizuri!

Nipo radhi kutoa any dollar to archive that.

Wewe endelea kujipaka mavi ukidhani ndio system sahihi mpaka unakuja kustuka wanao ni third class citizens kwenye hii nchi,just wait!

Jiulize,international schools zinafunguliwa kila siku Tanzania,na ada ni 30,000USD na zinajaa kila siku,halafu wewe mbuzi mnya karanga unajifanya eti ooh hivi,ooh vile,sijui ubepari sio,sijui English sio,kwenda kusoma Ulaya sio,sijui blah blah,then uone moto wake ndani ya 10years from now!

Good luck na maubishi yako ya kiduwanzi!
Relax hatuja gombana!!

Naona nikujibu kitu kimoja alaf mengine niayaache ilah nioichokiuna wewe fala mbishi alaf huna point zinazoeleweka
Kenya hakuna uzalendo!! Kenya Kuna ukabila mkubwa, Kenya Kuna gap kubwa mnoo matajiri na maskini!!!
Matajiri wachache wakenya wanafanya uchumi uonekane mkubwa kwa G D P
Ilah uchumi wa mtu mmoja mmoja Ni Hali ngumu tu Kama Burundi ndo màana waanga wa njaa walipewa bia na pombe Kali na wachina huko Kenya!!
Alaf sijui wewe una define vipi uzalendo!!
Ila usiseme watanzania sio wazaelendo Sema MIMI SIO MZALENDO
Umetema pumba na shudu nyingi ila siwezi bishana na wewe màana hujui hata vitu basic kuhusu east Africa mpaka tulipo leo wengine watakujibu Ila we jamaa mshamba na brain washed!!!
 
Acha kupaniki,tuliza mapumbu!

It doesn't matter which year.....toka 1961/1962 hatujawahi ipita Kenya kwa maendeleo!

And that's a FACT!


Alaf=Halafu

ukoh=Huko

Kajifunze Kiswahili busy body wewe!


Nani kasema na wapi mtu kaandika eti akijua Kiingereza ni ana IQ kubwa sana zaidi ya anaejua Kiswahili pekee yake?

Unajitungia hoja zako mwenyewe na kujijibu wewe pekee yako.

Kiswahili sio identity yako,ni lugha ya Waswahili wa Pwani,wewe Msukuma,mother tongue yako ni Kisukuma,acha kujipa vyeo usivyokua navyo!

Kingereza is the most powerful language in the world,hutaki andamana!

Kama Kiswahili ni bora sana Tanzania kwanini tunafundisha Kiingereza toka standard 3 up to University?

Even worse Secondary School level mpaka University level English is the defacto medium of instructions kisheria,huruhusiwi kufundusha kwa Kiswahili!

Unajua sababu ni nini wewe mwana Kiswahili bora duniani?


Nani kakwambia Tanzania kuna "Unity" eti sababu wanaongea Kiswahili?

Kenya wanaongea Kiingereza na lugha zao za kienyeji ila wana uzalendo na nchi yao zaidi ya Watanzania,jiulize kwanini?

Huna jibu....


Hujui unachokisema kwenye hii paragraph!

Hakuna taifa halina identity,kama wasingekua na identity taifa lisingeweza kujengwa to begin with!

Na lugha sio big of a fact kama unavyojitapa hapa maana inachenjiwa at any time..Kama Rwanda walipoamka asubuhi wakasema tunataka kua Anglophone na sio Francophone country,wakabadili dakika 0.

Leo Kenya wakisema wa-change English to 100% Kiswahili ni 5 years English is gone!

Plus,ni stupidity kuacha English for some weak languages!

Plus Nyerere alikua ni mpumbavu wa mwisho ndio maana mwenzake Lee Kuan Yew ameitoa Singapore kutoka 3rd world country to 1st world country ndani ya 30yrs ya utawala wake na Nyerere couldn't do shit!

Lee Kuan Yew ali-embrace English kama defacto language of Singapore,aka-embrace Capitalism,then akafanya utekelezaji,the rest is history!

Nyerere sasa,nonsense juu ya nonsense!


Acha umama wewe!

Ni heri nivae ndala wanangu waende English schools na colleges waende US au UK wakajifunze jinsi ya kuzalisha mali kwa akili then waje hapa waajiri wanao vizuri!

Nipo radhi kutoa any dollar to archive that.

Wewe endelea kujipaka mavi ukidhani ndio system sahihi mpaka unakuja kustuka wanao ni third class citizens kwenye hii nchi,just wait!

Jiulize,international schools zinafunguliwa kila siku Tanzania,na ada ni 30,000USD na zinajaa kila siku,halafu wewe mbuzi mnya karanga unajifanya eti ooh hivi,ooh vile,sijui ubepari sio,sijui English sio,kwenda kusoma Ulaya sio,sijui blah blah,then uone moto wake ndani ya 10years from now!

Good luck na maubishi yako ya kiduwanzi!
Finally a Tanzanian with a brain.,, These species are rare.,,Geuza ulole come here and get schooled by this guy
 
Saudi & Pakistan remember are countries found in different continents ( Middle east & Asia) contrary to Kenya & Tz both are in the same Tropical ( East Africa) it means have the same Weather!!!
Tatizo la Kenya ni wamewatupa mkono Farmers. Not much efforts has been taken so far to boost Agriculture sector in Kenya. Politicians are much focus on Projects which have no direct impact to distitute people of Kenya. Kibaya zaidi wameshawasoma kuwa mnapenda sifa therefore "build them Flyovers; Tall buildings They will be happy indeed!!!"
Kenyans you need to understand your leaders.
There is no continent of middle East and Asia, It's only one continent and that is Asia.
 
Wewe mshenzi hivi una habari huko kenya unakoisifia kuna watu hawajui hata kicho kingereza wala kiswahili? Zaidi ya Mother tongue zao, punguza kuongea kishabiki
Acha kupaniki,tuliza mapumbu!

It doesn't matter which year.....toka 1961/1962 hatujawahi ipita Kenya kwa maendeleo!

And that's a FACT!


Alaf=Halafu

ukoh=Huko

Kajifunze Kiswahili busy body wewe!


Nani kasema na wapi mtu kaandika eti akijua Kiingereza ni ana IQ kubwa sana zaidi ya anaejua Kiswahili pekee yake?

Unajitungia hoja zako mwenyewe na kujijibu wewe pekee yako.

Kiswahili sio identity yako,ni lugha ya Waswahili wa Pwani,wewe Msukuma,mother tongue yako ni Kisukuma,acha kujipa vyeo usivyokua navyo!

Kingereza is the most powerful language in the world,hutaki andamana!

Kama Kiswahili ni bora sana Tanzania kwanini tunafundisha Kiingereza toka standard 3 up to University?

Even worse Secondary School level mpaka University level English is the defacto medium of instructions kisheria,huruhusiwi kufundusha kwa Kiswahili!

Unajua sababu ni nini wewe mwana Kiswahili bora duniani?


Nani kakwambia Tanzania kuna "Unity" eti sababu wanaongea Kiswahili?

Kenya wanaongea Kiingereza na lugha zao za kienyeji ila wana uzalendo na nchi yao zaidi ya Watanzania,jiulize kwanini?

Huna jibu....


Hujui unachokisema kwenye hii paragraph!

Hakuna taifa halina identity,kama wasingekua na identity taifa lisingeweza kujengwa to begin with!

Na lugha sio big of a fact kama unavyojitapa hapa maana inachenjiwa at any time..Kama Rwanda walipoamka asubuhi wakasema tunataka kua Anglophone na sio Francophone country,wakabadili dakika 0.

Leo Kenya wakisema wa-change English to 100% Kiswahili ni 5 years English is gone!

Plus,ni stupidity kuacha English for some weak languages!

Plus Nyerere alikua ni mpumbavu wa mwisho ndio maana mwenzake Lee Kuan Yew ameitoa Singapore kutoka 3rd world country to 1st world country ndani ya 30yrs ya utawala wake na Nyerere couldn't do shit!

Lee Kuan Yew ali-embrace English kama defacto language of Singapore,aka-embrace Capitalism,then akafanya utekelezaji,the rest is history!

Nyerere sasa,nonsense juu ya nonsense!


Acha umama wewe!

Ni heri nivae ndala wanangu waende English schools na colleges waende US au UK wakajifunze jinsi ya kuzalisha mali kwa akili then waje hapa waajiri wanao vizuri!

Nipo radhi kutoa any dollar to archive that.

Wewe endelea kujipaka mavi ukidhani ndio system sahihi mpaka unakuja kustuka wanao ni third class citizens kwenye hii nchi,just wait!

Jiulize,international schools zinafunguliwa kila siku Tanzania,na ada ni 30,000USD na zinajaa kila siku,halafu wewe mbuzi mnya karanga unajifanya eti ooh hivi,ooh vile,sijui ubepari sio,sijui English sio,kwenda kusoma Ulaya sio,sijui blah blah,then uone moto wake ndani ya 10years from now!

Good luck na maubishi yako ya kiduwanzi!
 
Bro mpenda moro [emoji4][emoji4][emoji4].. Tatizo lako wala sio kusema ukweli , mara nyingi huwa unasema ukweli ila huwa unazidisha chumvi hadi unaonekana upo biased.

WaTz wengi kiukweli wale waliopo vizuri upstairs ni wachache walioingia katika business sector as proffessionals ukiwatoa wachagga na somehow wahaya (thou sio nzuri kutumia makabila directly) waliopata exposure mwanzoni maana toka mwanzo wazazi wetu hawakuwa business oriented na kulikuwa na negative perception towards private sectors na achilia mbali masomo ya biashara na sanaa yaliyoonekana ya KIKE na watu walio wadhaifu kichwani au hawapo serious na masomo. This gave a room kwa foreigners na watz waliosoma nje kuendesha makampuni

But the situation have changed currently, vijana wengi wa leo wapo ambitious and somehow can handle the business risks. Sasa hivi vijana baadhi wa chuo wanafanya biashara kisasa na kufanya export. This is from my personal experience.. vyuo vinazidi kuongeza incubators ili kuongeza mentorship kwa vijana kuwa self reliant. Kazi kwa sasa hazipo so hiyo ndio option na kwa maisha ya vijana wa sasa huwezi kumlipa laki 5 au 6 akufanyie kazi comfortably..

Mzee ushawahi kuona wabongo na foreigners wanalipwa mshahara kiasi gani katika kazi moja ????.... na tena sometimes hata huyo mgeni anakuwa wa kawaida na hata haelewi soko la huku linaendeshwaje hadi apate assistance kwa wenyeji !!!...

Ambayo huwa unayasema huwa kwa kiasi kikubwa ni ukweli lakini sitaki kuamini katika maisha yako yote Tz hujawahi kukutana na watanzania waliopo vizuri. Thats a big lie

Kiaina fulani umenilisha maneno, mimi sijasema Watanzania wote ndivyo walivyo, kunao nimefanya kazi nao wenye bidii ya sisimizi na kujituma na wenye kujiongeza, ila hao wachache hucheleweshwa sana na hilo kundi liingine ambalo bado linategemea kuburuzwa.
Nimeona kwa macho yangu Mtanzania anapambana kutoka kimaisha, anakesha akisoma na kujiongeza, lakini mwisho anaishia kutamaushwa kwa kucheleweshwa na wenzake wasioelewa ishara za nyakati.
Binadamu hubadlika kulingana na mazingira, akizungukwa na wachapa kazi naye vivyo hivyo ataenda, hebu njoo Nairobi ukutane na Wachagga huku wanavyochakarika, msimu wa Krisimasi wanaongozana kwa magari makubwa ya kifahari wakirudi kwao Moshi.
Ndivyo ilivyo pia kwa hao Wahaya unawataja, kisa wametangamana na Waganda na Wanyarwanda pale Kagera.
 
We jamaa Ni fala nimeangalia texts zako mpaka nashindwa kuvumilia!!
Kwanza, hizo post attachment niza 2011 & moja ni ya 2016 na Sasa hivi Ni 2019 utalinganisha vipi wakati Kila kukicha miradi inazinduliwa

Alaf Kuna mshamba huyo amekaa Tanzania miaka 2 alaf usikute kigoma ukoh alaf amekaa Kenya wiki alaf Nairobi ndo aje afananishe Kenya vs Tanzania Ni ushamba

Alaf ujinga ambao umenifanya Ni respond Ni hiyo eti watanzania hatujui kingereza hivyo Tanzania iko chini kuliko Kenya& Uganda
Ni kweli wabongo hatuna kingereza ila sio sababu ya kusema uwezo wetu kwenye kazi &IQ mdogo kuliko hao watu
your brain washed!! English language isn't that important as you mentioned
Alaf be proud na lugha yako, watanzania hatuna kingereza kizuri kama majirani kwa sababu tuna lugha yetu mama KISWAHILI na ndiyo identity yetu Kama taifa kwa nn tupambane na kingereza!!!

Kitu ambacho nimekipenda Tanzania Ni unit hi nchii Ni moja nenda Kijiji chochote Tanzania majority wanaongea KISWAHILI Yani ukienda hata dindila korogwe vijijini mpakani na Kenya watoto wanakimbia magari ila wanajua KISWAHILI nenda chinyauku DODOMA nenda sitaki dawa nenda uko kasuru mipakani maporini watu wanaongea KISWAHILI sababu ndio lugha yetu inayotuunganisha sisi wabongo na ndio identity ya mtanzania

Sasa mkenya,mganda, wanaongea kingereza Kama lugha ya taifa unawatofautishaje bila kuwauliza because they have no identity
Mozambique wanaongea kireno lugha ya mkoloni ,Congo wanaongea french lugha ya mkoloni lakini watanzania tuna lugha mama KISWAHILI
REST IN PEACE MWLM NYERERE ametufanya watanzania tuwe unique mzee alitutengenezea hiii nchii!!!!

Seema we jamaa ujielewi na nyie ndo mnaita baba zenu dady pia nyie ndo wale wa skuli Basi mlitia baba zenu hasara mkiwa watoto wadogo!!
eti kiswahili ni lugha yako ya mama?weee...kumbe vilaza ni wengi....we lugha yako ya mama ni kisukuma na kichaga...kiswahili kimefanha kuja katikati tu..wacha kujitoa ufahamu...

nko na mashaka sana na elimu yako....heheeee
 
Work ethics, yaani hapa ndio tunatofautiana pakubwa na Watanzania, ni nadra sana kumpata Mtanzania anayeheshimu ratiba ya vikao, muda wa kazi, kujituma kwa kasi, yaani kwa hili wasipolifanyia kazi nch yao itaendelea kuchelewa sana. Kingine hawapendi kujiongeza, unakuta mtu na kale kadigri kake ka mwanzo, hataki kuhudhuria masomo yoyote zaidi ya hapo, hataki hata kusoma vitabu wala nini, hata kwenye eneo la kazi mtu hataki kujiongeza hata kimajukumu, yaani pale alipowekwa na kuelekezwa ndipo ataishia miaka yote.
Japo muda usio mrefu watatiririka huku kwa zile povu za kawaida, ila huo ndio ukweli ambao walishazika vichwa kama mbuni ili kujifariji. Wanampa Magufuli tabu sana, kila siku anatumbua, anateua na kutengua, anamuweka huyu huku anamleta yule huku anampeleka huyu kule lakini ndio wale wale tu, wapo wapo hapabadiliki kitu.

Wao husema vitu lazima viende kibongobongo......
Hivi kuna nchi imejaa wezi serikalini kama Kenya hapa duniani?
 
Wewe mshenzi hivi una habari huko kenya unakoisifia kuna watu hawajui hata kicho kingereza wala kiswahili? Zaidi ya Mother tongue zao, punguza kuongea kishabiki
labda yule amabaye hajasoma na kupata exposure...sasa nenda vijijini tanzania...mtu anajua kuongea kiswahili ila kuandika na kusoma ni majanga...sasa huaga mi nashindwa ni vp..
 
Relax hatuja gombana!!
This sounds new to me!

Naona nikujibu kitu kimoja alaf mengine niayaache ilah nioichokiuna wewe fala mbishi alaf huna point zinazoeleweka
Ubishi ndio dialogue yenyewe mzee!
Kenya hakuna uzalendo!!
Kenya uzalendo kwa Kenya yao ni mkubwa zaidi ya Watanzania na Tanzania yao!

Check worldwide Wakenya wanavyosapotiana.....

Wakenya ni wa kwanza kuvaa national merchandises kama bangili,scarfs,Tshirts,etc zenye rangi za taifa lao,sisi ndio kwanza tunaibuka sasa hivi!

Kenya Kuna ukabila mkubwa, Kenya Kuna gap kubwa mnoo matajiri na maskini!!!
So is United States of America,kipato kati ya tajiri na masikini ni mbingu na ardhi,na hiyo ni tabia mojawapo ya ubepari uliokomaa!

Hakuna cha ajabu hapo.

Hii ni problem ya ubepari na watu wanatafuta solution yake,na sisi ubepari wetu ukishika kasi utakua hivi hivi!

Inatakiwa tuvuke!

Matajiri wachache wakenya wanafanya uchumi uonekane mkubwa kwa G D P
Ilah uchumi wa mtu mmoja mmoja Ni Hali ngumu tu Kama Burundi ndo màana waanga wa njaa walipewa bia na pombe Kali na wachina huko Kenya!!
So is Tanzania.

Wahindi ambao ni 1% washikilia 99% ya uchumi wa Tanzania.

Ni tatizo tunalo,tulirekebishe,tusijidanganye na stori stori za alinacha hizi!

In real terms Wakenya ni wealthier than us generally.....

Kuna wachovu yes,na sisi tuna wachovu wetu pia....sidhani kama ni productive kuanza kusifia masikini wetu kwenye hizi nchi zetu!

Ni counter productive!

Ila usiseme watanzania sio wazaelendo Sema MIMI SIO MZALENDO
Watanzania sio wazalendo kwa Tanzania kama Wakenya walivyo Kenya mzee!

Ndio maana kwenye siasa za Kenya hakuna kuleta usenge wananchi watakutengeneza!

Tanzania,nobody cares!

Kipimo rahisi za uzalendo wa wananchi kwa nchi yao ni kipimo cha engagement ya wananchi kwenye siasa za nchi,Kenyan politics are always with surges,high temperatures and transients...hii ni kutokana na passion ya wananchi kwa how Kenya is driven.

Tanzania politics are cooler and nobody cares,even if hata wakifanyiwa ujinga,nobody cares...

Thats how quick someone can measure patriotism level ya nchi na nchi.

Umetema pumba na shudu nyingi ila siwezi bishana na wewe màana hujui hata vitu basic kuhusu east Africa mpaka tulipo leo wengine watakujibu Ila we jamaa mshamba na brain washed!!!
Unajua maana ya "brain washing" au unaongea tu kwavile umeongea?

Nimetema pumba na shudu kutokana na miwani yako uliyotumia kunipimia,which is okay on your side,na mimi the same way miwani yangu kwako naona mashudu na pumba kibao..

I think ngoma droo hapo!

Na mimi pia siwezi bishana na wewe,tukubaliane kutokukubaliana amicably nadhani huo ndio ustaarabu!
 
Hivi kuna nchi imejaa wezi serikalini kama Kenya hapa duniani?

Hehehe!! Vipi mlivyomzonga CAG halafu naona mumembadlishia kibao mnataka achunguzwe yeye, matrilioni yote aliyotaja imebaki kuwa stori.
 
Mkuu kua serious...tatizo unali-view kama Faida!

Aisee umenipa perspective ya ajabu sana!

Ila sikuamini kabisa!

Uchapakazi na aggressiveness in executing things on time and quick ni kitu inatakiwa tujifunze,tena NOW,na sio kesho mzee!
It's productivity that matters. You can work your tail off to get basic needs. Or, you can relax and still be able to get the basic needs.
These two countries have the same GDP PPP (WB/IMF). meaning, people in a more laid back country, have the same purchasing power as their fast paced and sweaty counterparts.
Kwako wewe utachagua kutoka jasho, ila mimi nitachagua kupumzika as long as the outcome is the same.
Sweden vs. South Korea.
 
Hii haiondoi kuwa Kenya ndio nchi inayoongoza kwa wizi na ufisadi wa Mali ya umma na utapeli duniani.hivi sasa Kenya imeipiku Nigeria kwa matapeli msipoangalia mtaanza kuzuiwa kuingia nchi za watu nawambia.
Hehehe!! Vipi mlivyomzonga CAG halafu naona mumembadlishia kibao mnataka achunguzwe yeye, matrilioni yote aliyotaja imebaki kuwa stori.
 
Wewe mshenzi hivi una habari huko kenya unakoisifia kuna watu hawajui hata kicho kingereza wala kiswahili? Zaidi ya Mother tongue zao, punguza kuongea kishabiki
Wapo mzee!

Na Tanzania pia wapo....

Natoka Moshi,Uchaggani huko,natoka kijiji few meters kuingia mlimani kilimanjaro,kuna population kubwa kabisa wanajua Kichagga kitupu bila Kiswahili wala Kiingereza na wala Moshi mjini hawajawahi fika!

Hiyo ni Moshi na kuna shule mpaka zinakosa watoto,sasa huko Tandahimba?

Kuna watu wanajua bado Nyerere ni rais wa Tanzania.

Huwezi kosa watu wa aina fulani kwenye nchi yoyote....
 
It's productivity that matters. You can work your tail off to get basic needs. Or, you can relax and still be able to get the basic needs.
These two countries have the same GDP PPP (WB/IMF). meaning, people in a more laid back country, have the same purchasing power as their fast paced and sweaty counterparts.
Kwako wewe utachagua kutoka jasho, ila mimi nitachagua kupumzika as long as the outcome is the same.
Sweden vs. South Korea.

Mkuu nadhani GDP PPP unadanganya..namba zako si za kweli..

Pia aggressiveness au laying back approach sio ishu sana....

Kenya wana human capital than anybody in East Africa na in Africa nadhani wapo nyuma ya Ghana.

Maana ni kwamba Wakenya wamesoma vizuri na elimu yao ina translate kwa usahihi kwenye employment market...

Plus know how yao na delivery ya productivity kazini,wapo mbele ya everybody else!

Na sio nasema mimi Wyatt,hii ni documented FACT mzee!

Kinachoniuma,ni mfumo wetu wa elimu upo duni in such a way,graduates wetu hawawezi ku translate elimu yao into productivity kazini kama Wakenya..

Na vitu vingine ni utamaduni tu kama kuchapa kazi above everybody else,hii tuijenge kwenye population yetu...

In east africa wanaoenda kusoma United States of America and UK Kenya ipo ahead of everybody else kwa idadi kubwa....na wanarudi Kenya kufanya kazi...this is fvcken scary!

Sisi tunang'ang'ania kupeleka vitoto vyetu vyuo maiti kabisa KIU sijui yenye acceptance rate y 100%.

In Kenya option ya kwanza kusoma ni abroad,akikosa ndio anabaki Kenya UoN,hapo anaona kafeli....

Lazima tukachukue maarifa kwa wenzetu na tuyatumie kubadili hii nchi...Kinachoniuma zaidi nobody fvcken cares....!

We are all fvcked!
 
Mkuu nadhani GDP PPP unadanganya..namba zako si za kweli..

Pia aggressiveness au laying back approach sio ishu sana....

Kenya wana human capital than anybody in East Africa na in Africa nadhani wapo nyuma ya Ghana.

Maana ni kwamba Wakenya wamesoma vizuri na elimu yao ina translate kwa usahihi kwenye employment market...

Plus know how yao na delivery ya productivity kazini,wapo mbele ya everybody else!

Na sio nasema mimi Wyatt,hii ni documented FACT mzee!

Kinachoniuma,ni mfumo wetu wa elimu upo duni in such a way,graduates wetu hawawezi ku translate elimu yao into productivity kazini kama Wakenya..

Na vitu vingine ni utamaduni tu kama kuchapa kazi above everybody else,hii tuijenge kwenye population yetu...

In east africa wanaoenda kusoma United States of America and UK Kenya ipo ahead of everybody else kwa idadi kubwa....na wanarudi Kenya kufanya kazi...this is fvcken scary!

Sisi tunang'ang'ania kupeleka vitoto vyetu vyuo maiti kabisa KIU sijui yenye acceptance rate y 100%.

In Kenya option ya kwanza kusoma ni abroad,akikosa ndio anabaki Kenya UoN,hapo anaona kafeli....

Lazima tukachukue maarifa kwa wenzetu na tuyatumie kubadili hii nchi...Kinachoniuma zaidi nobody fvcken cares....!

We are all fvcked!
The only problem ninayoona kwako ni kuongea vitu kwa kutumia mazoea. Yaani, kama umerthishwa, au tuseme umechagua kuwa na opinion-based facts. Not research-based facts.
That's a very easy(and lazy) way of reaching a conclusion. Let's argue scientifically, and show me data that dispute the equality of our GDP PPPs.
Tuanze hapo kwanza, tuache manenomaneno ya vijiweni ya hawa wakenya wa jf.
 
The only problem ninayoona kwako ni kuongea vitu kwa kutumia mazoea. Yaani, kama umerthishwa, au tuseme umechagua kuwa na opinion-based facts. Not research-based facts.
That's a very easy(and lazy) way of reaching a conclusion. Let's argue scientifically, and show me data that dispute the equality of our GDP PPPs.
Tuanze hapo kwanza, tuache manenomaneno ya vijiweni ya hawa wakenya wa jf.
Mkuu tatizo huyo jamaa hazungumzi kwa fact anaongelea vitu alivyokaririshwa
na anatumia mazoea
 
Back
Top Bottom