Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu UMOJA KAMILI WA WAPUMBAVU (UKAWA) ni ulofa.Lowassa kaimaliza hii nchi kwa miaka yote eti leo hii anapitia mlango wa nyuma tumuone mkombozi.narudia tena huu ni upumbavu. Kura yangu kwa jembe magufuli tarehe 25 asubuhi sana.
Kwa kujijua tu ni kwamba jangwani ni kubwa kuliko Furahisha. Kwa hiyo tathmini ya ukubwa ni wazi kuwa watakaoingia jangwani watakuwa wengi kuliko furahisha. Kingine ni kuwa CCM imejaza uwanja ikiwa peke yake. Nyinyi mko wa nne. Linganisha hapo halafu ndo utakuwa na jibu kuwa nani ana wafuasi wengi peke yake.
Huu UMOJA KAMILI WA WAPUMBAVU (UKAWA) ni ulofa.Lowassa kaimaliza hii nchi kwa miaka yote eti leo hii anapitia mlango wa nyuma tumuone mkombozi.narudia tena huu ni upumbavu. Kura yangu kwa jembe magufuli tarehe 25 asubuhi sana.
Nilikuwa team diamond lakn kwa kitendo icho ata ata insta nishamuunfollo...hongera sana kiba
Naam, see you there na ukweli ni kwamba CCM is far beyond those ---- thoughts
Kumbe unajua kuwa CCM ndio wameimaliza hii nchi?
Sasa Lowassa kuamua kujitenga na wezi imekuwa nongwa.
Mimi pia kura yangu nitampa Lowassa, mzee mchapa kazi sio maneno mengi na majigambo yasiyo na lolote kama magufuli.
Sio Samunge kwa babu?Maana nataka kukuwekea picha ya Magufuli akinywa kikombe inagoma.
Wewe hilo tusi hapo hata server imegoma
Unatia aibu na kinyaa.Huna hoja zaidi ya matusi.Sikushangai ndio lichama lako la kishirikina lilivokukuza.
Mtu mmoja hana uwezo mkubwa kiasi cha kuharibu uchumi wa nchi, kudidimiza huduma za kijamii na haki za wanyonge.
Ni mfumo mzima wa kinyonyaji wa CCM chama cha majangili yanayopiga hela bila huruma wala kazi haionekani.
Wamehodhi nchi na kugawana vyanzo vya mapato.
Ccm ni gonjwa kama UKOMA hatuna budi tuanze tiba., na kinga.
Huu UMOJA KAMILI WA WAPUMBAVU (UKAWA) ni ulofa.Lowassa kaimaliza hii nchi kwa miaka yote eti leo hii anapitia mlango wa nyuma tumuone mkombozi.narudia tena huu ni upumbavu. Kura yangu kwa jembe magufuli tarehe 25 asubuhi sana.
Aibu yetu aibu yao?
Hahahaaa, Kiba kanipa raha sana leo.
Utajuwa mwenyewe endelea kuchaguwa mafisadi.chupa mpya mvinyo ule ule
Lowassa ni taasisi kama ulikuwa hujui.
nifah ni kweli dada yng. Bado biological father hajajulikana hadi sasa. Inasemekana kutafanyika vipimo vya DNA ili kumpata baba halisi.Lol...mkuu mtoto mwenyewe ana utata bado biological father hajulikani!
Utajuwa mwenyewe endelea kuchaguwa mafisadi.chupa mpya mvinyo ule ule