haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,829
- 4,614
Hahahaaaaa! Huyu jamaa kazidi kunitoka kiukweli.
Yaani hata sijui atanirudi kwa lipi!
Wewe utakua umelewa sio bure! Umeheshimu maamuzi yangu wapi?
Hayo matusi unayotukana ndio heshima?
Hata hivyo sioni haja ya kuendelea kulumbana hapa.
Kila mtu abaki na maamuzi yake na kuheshimu ya mwenzie.
Hakuna aliye kutukana umeambiwa ukweli chuki zako mitandaoni kwa dimond hazimpunguzii chochote kuwa mpole