Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki.
Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye hekima cha kutokuhudhuria kwenye mkutano wa kuzindua kampeni na ilani za chama cha CCM uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Jangwani.

Leo mchana nilisikia tetesi kuwa utakuwepo jangwani, niliumia sana.
Niliamua kusitisha shughuli zangu zote leo ili niweze kuangalia mkutano huo niweze kuona kwa macho yangu kama utaweza kufanya onesho kwenye mkutano ule au lah!

Lakini hadi mwisho wa mkutano sijakuona kabisa, kwa hili nakupongeza sana Ali Kiba. Umenipa sababu za kukupenda na kuzidi kuupenda muziki wako mara dufu.
Kila mara huwa nasema kuwa siupendi mziki wako tu, bali na mtindo wako wa maisha kiujumla.

Tunapoongelea suala la msanii ni kioo cha jamii, wewe ndiye hasa unayefaa kuitwa kioo cha jamii.
Busara na hekima zako Mungu alizokujalia na kipaji chako ni tunu ya kipekee....hongera sana.

Naomba hekima hizo zisiishie kwenye mkutano wa leo tu, bali mikutano yote inayohusu chama cha CCM. Sitaki kuzungumzia hili zaidi maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwaunga mkono viongozi na chama hiki kiujumla.

Naomba usinitie aibu mimi na mashabiki wenzangu kama yule mwenzio alivyowatia aibu na kuwakera mashabiki wake kwa kitendo chake cha kuonesha mahaba yake hadharani juu ya chama dhalimu cha Mapinduzi na mgombea wake Magufuli.

Kwa hili, nasema ASANTE SANA.
NAKUSHUKURU NA KUKUAHIDI KUWA SHABIKI WAKO MILELE!
MUNGU AKUBARIKI.

Nifah mwanamke shujaaa.
Mwanamke imara..
penda sana weyee nazani kiba atakuwa kaipata atiiiiii
 
Inafurahisha unapofumba macho na kujidanganya huku ukijua kua Magufuli nae fisadi, tena kalitia hasara Taifa akiwa waziri katika sekta tofauti.
Vipi akiwa Rais si tutavaa magunia na kula magome ya miti kabisa?

Magufuli Hana kashfa wala si Fisadi.Lowassa katuibia mpaka akafukuzwa uwaziri mkuu Leo tumchaguwe haiwezekani aisee. Na tutaunda Mahakama maalumu lazima tumpeleke gerezani.
 
Wewe hilo tusi hapo hata server imegoma
Unatia aibu na kinyaa.Huna hoja zaidi ya matusi.Sikushangai ndio lichama lako la kishirikina lilivokukuza.

Hata mimi kwenye simu yangu nimeblock baadhi ya maneno mtu akinitext iwe blank space! So sio ajabu jf kulicartegorize neno c.rap as offensive word!
 
nifah ni kweli dada yng. Bado biological father hajajulikana hadi sasa. Inasemekana kutafanyika vipimo vya DNA ili kumpata baba halisi.

Sie yetu macho tu, usishangae majibu yakachimbiwa uvunguni maana kitanda hakizai haramu na kuchapiwa ni siri ya ndani.
Ila wale waganda wataropoka tu...
Na hata hivyo ukweli ni kama moshi, huwezi kuuficha.
 
Last edited by a moderator:
Magufuli Hana kashfa wala si Fisadi.Lowassa katuibia mpaka akafukuzwa uwaziri mkuu Leo tumchaguwe haiwezekani aisee. Na tutaunda Mahakama maalumu lazima tumpeleke gerezani.

Mpelekeni police mkamshtaki
Apelekwe mahakamani akafungwe
 
Buhaha ha ha
Ameanza kuwa taasisi alivoipa kisogo CCM?
Nimeipenda taasisi ya lowassa.

Wewe ipende utaona matokeo yake. Tunajuta watanzania huu mgao wa umeme unaoendelea huna habari chanzo ni huyo huyo unaejifanya unampenda.
 
Nifah mwanamke shujaaa.
Mwanamke imara..
penda sana weyee nazani kiba atakuwa kaipata atiiiiii

Wow! Thank you mumy, love you more.
Kuna kitu niliwahi kusema nitawaambia wakati tulipofanya mazungumzo na Kiba mimi na Abou Saydou.
Kiba alisema huwa anapita huku na anatujua mashabiki wake wote na akatutaja kabisa, anatukubali sana.
Hivyo bila shaka na hizi pongezi ataziona.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni Magufuli sasa!
Coz kama ccm ni ile ile kwa miaka 54 uchumi unazid kufa!
Yeye kama yeye atafanya nini?
Ndo maana tukasema Magufuli ni chupa mpya tu ambayo ndani yake sumu ni ile ile ya ccm !

Anakwambia wakati alipokuwa waziri alikuwa anafuata maelezo ya rais lakini kwa sasa yeye ndo sterling KAZI tu
 
Magufuli Hana kashfa wala si Fisadi.Lowassa katuibia mpaka akafukuzwa uwaziri mkuu Leo tumchaguwe haiwezekani aisee. Na tutaunda Mahakama maalumu lazima tumpeleke gerezani.

Wewe mahaba yako kwa CCM yamekufanya chizi.
Ni vile nakuheshimu tu kwa kuwa u ndugu yangu katika imani ila kuna kitu kibaya sana nilitaka kukuambia.
Bahati yako nzuri....
 
Wow! Thank you mumy, love you more.
Kuna kitu niliwahi kusema nitawaambia wakati tulipofanya mazungumzo na Kiba mimi na Abou Saydou.
Kiba alisema huwa anapita huku na anatujua mashabiki wake wote na akatutaja kabisa, anatukubali sana.
Hivyo bila shaka na hizi pongezi ataziona.

Waoooo kiba wetu jamani duuu mtamuuu hadi raha yaaani hahahahaaa...
Hivi alikumbuka kunitaja na mimi kweli?
Yaani hapa habari ni kiba tuuu huyu kedrick akarudie tuu biashara yake ya njiwa hahahahaaa asitukoroge sisi
 
Last edited by a moderator:
Wewe ipende utaona matokeo yake. Tunajuta watanzania huu mgao wa umeme unaoendelea huna habari chanzo ni huyo huyo unaejifanya unampenda.

Mgao wa umeme, huduma mbaya za afya, barabara zilizojengwa chini ya kiwango, ubadhirifu wa fedha za umma, kusafirishwa kwa wanyama pori, elimu duni yenye ukosefu za nyenzo, watumishi wa umma wasio kuwa na maadili wala uwajibikaji, ukiritimba rushwa, mpasuko na mfumuko wa bei katika bidhaa muhimu...
Yote hiyoo taasisi ya lowassa.Ukosefu wa mikopo elimu ya juu, janga la ukosefu wa ajira, kukubuhu kwa udalali katika kila sekta....
Huyu huyu Lowassa....
UKAWA MBELE
Sipo tayari kuona CCM wanashika hatamu kwa mara nyingine.Sitakiii
 
hapo kwenye muziki hapana

Huu ni uchizi sasa.Ni ukweli ulio dhahiri kuwa diamond hamfikii kabisa Ali Kiba kwenye suala la muziki ila anamzidi mafanikio.
Huo ndio ukweli hutaki acha tu.
 
Kiba anajua kukosha mashabiki zake jamani lol....
Anajijua yeye ni local na mashabiki wake ni local hivyo yupo na sisi bega kwa begaaa
 
Hakuna aliyekukataza binti kiziwi..
Chaguo ni lako, fanya upendavyo.

Sii unaelewa maana ya neno "Kiziwi"? Ni mtu asiyesikia, hivyo hata kuelewa mpaka apatikane mtaalam wa lugha za alama ndio ataelewa. Na bahati mbaya tunao wachache sana nchi hii hivyo binti kiziwi atachelewa sana kuelewa.
 
Last edited by a moderator:
Mpelekeni police mkamshtaki
Apelekwe mahakamani akafungwe

Ndio tunasubiri jembe liingie ikulu keshokutwa.lazima tumfunge huyu mwizi we subiri utaona.di umemsikia Jana jembe akihutubia. Hapa kazi tu.
 
Hata mimi kwenye simu yangu nimeblock baadhi ya maneno mtu akinitext iwe blank space! So sio ajabu jf kulicartegorize neno c.rap as offensive word!

Sasa unadhani sijui kama wameliblock?
We kweli mtupu.
Matusi ni silaha duni sana kwa mwanaume anayejiamini.
Mimi pia ninayo sitaki kufanana na wewe.Unatia aibu.
 
Waoooo kiba wetu jamani duuu mtamuuu hadi raha yaaani hahahahaaa...
Hivi alikumbuka kunitaja na mimi kweli?
Yaani hapa habari ni kiba tuuu huyu kedrick akarudie tuu biashara yake ya njiwa hahahahaaa asitukoroge sisi

Wallah alikutaja.Pia Diva Beyonce, Ms.Lincoln, pwilo Matola mimi nifah Abou Saydou n.k
Ujue kwanini? Tulimbana ataje mashabiki wake wa huku kama anasomaga kweli...
Uwiiiiii! Alitutaja bila hata kusita.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom