Hizi ni siasa za kilaghai zisizo na tija kwa taifa letu. Kugawa mitundi ya gesi badala ya kukomaa JNHP ikamilike ni ni kutaka kutafuta kiki zisizofaa


Acha theories boy
 
JPM ndio alitaka energy mix kupitia Ilani ya 2020-25 sasa kosa la january ni nini?
 
We mzee Nyakarungu hujui kichwa cha habari kinatakiwa kuwa fupi na yenye kujieleza? Au ulikuwa darasa moja na Chalamila huko ulayas? Malangani? Shule za Kata.. achana na hii tabia yako ya kuandika kichwa cha habari ndeefu.
 
Tujadili hoja, kosa la January ni lipi hapo? kusimamia Ilani ya CCM ambayo JPM aliinadi ama?? Ilani Iliongelea hayo ya gesi kutumika majumbani sasa mnapinga nini hapo?
Bwashee tangu lini wewe ukawa mtetezi wa JPM na ccm? Ndiyo maana watu wanasema nchi hii hatuna upinzani nyie wote ni wachumia tumbo tu. Unageuka ghafla hivi kuwa mtetezi wa ccm kisa januari kalaumiwa?! Lazima uwe na maslahi na hilo.
 
Huyu bibi hata mkaa hawezi kuumudu , vipi gesi ya sh. 25000?
CCM mmelaaniwa.
Mmeshindwa kuchakata gesi asilia ambayo kamtungi haka kangejazwa kwa thamani ya pungufu ya sh. 10000
 
Swali muhimu.
Je huo huo mtungi utadumu milele kwa huyu mzee?

Anajua wanapoujaza? Bei anaimudu? Umbali kwenda kujaza huo mtungi ni km ngapi?
 
Tunajua taifa gas ni biashara ya nani? Na kwanini agawetaifa gas na sio oryx?
 
Pole chawa wa jiwe na sasa nafikiri mtatuelewa nini tulimaanisha dadeeeeki
 
Mleta uzi ni chawa wa jiwe hivyo analazimisha yote yaliyoanzishwa na jiwe yapewe kipau mbele
 
Miradi yote ya jiwe ishasahaulika dadeeeekiiiii
 
Tujadili hoja, kosa la January ni lipi hapo? kusimamia Ilani ya CCM ambayo JPM aliinadi ama?? Ilani Iliongelea hayo ya gesi kutumika majumbani sasa mnapinga nini hapo?
Wachana na chawa wa jiwe hao kila kinachofanywa na serikali ya mama wao wanapinga
 
Wewe ni lichawa huna ujualo!

Nenda kijijini kwenu uone wazazi wako walivyo masikini alafu rudi uendelee na huu uchawa hapa
Kwiiishaaaaa sukuma gang project's
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…