Hizi ni siasa za kilaghai zisizo na tija kwa taifa letu. Kugawa mitundi ya gesi badala ya kukomaa JNHP ikamilike ni ni kutaka kutafuta kiki zisizofaa

mnaoponda Julius Nyerere Hydro electric power ,mna lack of information.Mradi unaendelea vizuri sana, nitaanza kuwatumia picha za maendeleo ya mradi.
 
Bwashee tangu lini wewe ukawa mtetezi wa JPM na ccm? Ndiyo maana watu wanasema nchi hii hatuna upinzani nyie wote ni wachumia tumbo tu. Unageuka ghafla hivi kuwa mtetezi wa ccm kisa januari kalaumiwa?! Lazima uwe na maslahi na hilo.
Wapi nimemsifia JPM Wala CCM? Mie Sipendi hii tabia ya wafuasi wa JPM kupinga Kila kitu Cha Samia sababu ya chuki ya kuondolewa madarakani.

Ndio maana nahoji kama mlikua mnashabikia JPM kuwasha umeme kwenye nyumba za Tembe kipi Cha ajabu watu wakipewa gesi vijijini?

Mie sijawahi ipenda CCM but sipendi zaidi unafiki wenu nyie Team JPM.
 
Mtungi wa kijani, rangi ya chama.
Kila kitu wanachofanya wanafikiria uchaguzi 2025 kuanzia kiongozi namba moja mpaka makada uchwara.....
Sijui watapata akili lini ya kutatua changamoto za maisha ya waTanzania badala ya kuwaza chaguzi...
 
Mbona gas ya mtwara kwa miaka 6 ya mwendazake haijawahi kutajwa popote !!
Leo unazungumzia eti green energy ,
Ccm mtakomaa lini bendera fuata upepo ????
 
Luku Bei ya kikijini unaweza kununua hata buku ukatumia wiki nzima hiyo gas elfu 25 !!!!
 
Mbona gas ya mtwara kwa miaka 6 ya mwendazake haijawahi kutajwa popote !!
Leo unazungumzia eti green energy ,
Ccm mtakomaa lini bendera fuata upepo ????
Kasome mpango wa taifa wa miaka 5 from 2016 na sasa 2021..... Pia Ilani ya hiko chama kiliahidi hivyo. Team JPM waache kujifanya wajuaji wakati hayo anayofanya January ndio JPM aliahidi kwenye Ilani.

Mie sio CCM ila kuna tabia imezuka ya wafuasi wa JPM kujaribu ku undermine Kila kinachofanyika Ili tuu legacy ikumbukwe whilst JPM huyo huyo aliwahi washa taa kwenye nyumba ya tembe kupitia kina Kalemani..... Na huo unafiki ndio naopinga hapa.
 
Luku Bei ya kikijini unaweza kununua hata buku ukatumia wiki nzima hiyo gas elfu 25 !!!!
Kwani hujasikia January kasema gesi itauzwa kwa subsidized price? Hata TPDC walikua na mpango huo kusambaza gesi nafuu majumbani!!

Na haiwezekani gesi ikaisha ndani ya wiki huo sio ukweli kwa hesabu zako, so kuliko kukatishana tamaa tushauri namna ya TPDC kuwahisha huu mpango kuliko kuukejeli Mradi mzima.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee, sikujua kama wewe pia una mtazamo wa kichawa namna hii
 
Kwa hiyo kumbe hapa hutetei hoja bali unamtetea Samia?
 
Sasa umeme unafananisha na gesi?
 
Mtoa mada anachuki mpaka anapoteza uelekoe na kutokuona kazi za Waziri, kazi sii mbwawa tu hata Gas inamhusu. Tuache hizi chuki hazitatufikisha mahali. Kuondolewa kwa Kalemani kumewaumiza sana nyie watu. ERA imepita pisheni na wengine wafanyekazi hakuna alie na hati miliki ya hii nchi.
 
JPM ndio alitaka energy mix kupitia Ilani ya 2020-25 sasa kosa la january ni nini?
Kwa akili yako energy mix inahusisha kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi bila kuweka mipango na mikakati sahihi ya upatikanaji wa bei nafuu kwa hiyo gesi
 
Kweli Tanzania kuanzia viongozi mpaka wananchi hatueleweki na ndio maana vitu vya aibu vinafanyika. Kwani tusilamilishe jambo moja moja kwanza la muhimu na msingi ndipo mengine yafuate, ina maana kweli ni muhimu kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi ambao ikishaisha hawawezi tena kuijaza itabaki tu ndani. Badala ya kumalizia Mirada ya nishati ambayo inaendelea kwanza, pili kuongeza Miradi mingine mipya ya nishati ili gharama za nishati zishuke maradufu na huyu mwananchi wa chini aweze kujinunulia mwenyewe huo mtungi na kuuhudumia.
Kiwango hiki cha ujinga tuna safari ndefu sana ya kuumaliza
 
NCHI hii sijui itaisha lini MAIGIZO Umssikini wa hao Wananchi ni Mkubwa sana hata hizo KUNI wanaokoteza Mabua leo UNAGAWA mitungi ya GESI ni Akili au Matope?Mijini kuna Watumishi wa Umma wanalipwa Mishahara lakini bado wanatumia MKAA kupikia kutokana na KUSHINDWA kununua GESI
 


Angalia hapo unagusa maslahi ya watu. ๐Ÿ˜—๐Ÿ˜—๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ