Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
mnaoponda Julius Nyerere Hydro electric power ,mna lack of information.Mradi unaendelea vizuri sana, nitaanza kuwatumia picha za maendeleo ya mradi.Unampa mwananchi mtungi wa gesi. Kesho kutwa hana hata pesa ya kujazia gasi huo mtungi ukiisha.
Kwa nini msikomae JNHP ikakamilika alafu umeme ukashuka bei na bidhaa kushuka bei na maisha mwananchi yakawa nafuu.
๐Huu ni ulaghai usiofaa. View attachment 2289171
Wapi nimemsifia JPM Wala CCM? Mie Sipendi hii tabia ya wafuasi wa JPM kupinga Kila kitu Cha Samia sababu ya chuki ya kuondolewa madarakani.Bwashee tangu lini wewe ukawa mtetezi wa JPM na ccm? Ndiyo maana watu wanasema nchi hii hatuna upinzani nyie wote ni wachumia tumbo tu. Unageuka ghafla hivi kuwa mtetezi wa ccm kisa januari kalaumiwa?! Lazima uwe na maslahi na hilo.
Kila kitu wanachofanya wanafikiria uchaguzi 2025 kuanzia kiongozi namba moja mpaka makada uchwara.....Mtungi wa kijani, rangi ya chama.
Mbona gas ya mtwara kwa miaka 6 ya mwendazake haijawahi kutajwa popote !!WaTanzania mpunguze kulalamika, dunia nzima inaongelea nishati mbadala pia Ilani ya CCM na mpango wa taifa wa maendeleo wa miaka 5 (Ambayo ndio inamuongoza Rais na Mawaziri) inaongelea energy mix sio tu kwenye vyanzo vya umeme ila hata kwenye matumizi ya nishati majumbani.
Hivyo uwepo wa Hydro Power unatakiwa uende sambamba na nishati zingine kama Joto-Ardhi, Umeme wa upepo, Gesi n.k
So kama hamtaki gesi itumike waambieni wabunge wapinge utekelezaji wa mpango wa taifa otherwise mnaongea mambo msiyokua na uelewa nayo.
Luku Bei ya kikijini unaweza kununua hata buku ukatumia wiki nzima hiyo gas elfu 25 !!!!Mbona hayo TPDC walishaongea kwamba wanampango wa kusambaza gesi majumbani kwa subsidized price!!
Maboresho lazima yatakuja lakini kuanza kupinga mtu kuhamasisha matumizi ya gesi ni ajabu sana.
Hata umeme enzi hizo unaletwa mara ya kwanza ulikua na gharama, in fact tulianza na majenereta huko bush linawashwa saa 12 hadi saa 4 usiku!! Lakini taratibu mambo yamebadilika na bei sio Ile ya miaka ya 90?
So kuliko kupinga kabisa mshauri njia nzuri zaidi ndio mjadala unakua na tija. Nakumbuka siku JPM anawasha umeme kwenye nyumba ya tembe mlimshangilia sana kwamba kavunja rekodi ila sikusikia mkiongelea gharama za Luku za kila mwezi kwa wananchi maskini!!! So tuache unafiki na tutoe support Ile Ile kwa huyu
Kasome mpango wa taifa wa miaka 5 from 2016 na sasa 2021..... Pia Ilani ya hiko chama kiliahidi hivyo. Team JPM waache kujifanya wajuaji wakati hayo anayofanya January ndio JPM aliahidi kwenye Ilani.Mbona gas ya mtwara kwa miaka 6 ya mwendazake haijawahi kutajwa popote !!
Leo unazungumzia eti green energy ,
Ccm mtakomaa lini bendera fuata upepo ????
Akili kubwa Sana hii maneno machache lakini yamebeba jawabu la kweliWewe mhafidhina acha porojo. Hoja hapa ni kuwa na uchumi utakaowezesha wananchi kuwa na uwezo wa kumudu maisha.
Kwani hujasikia January kasema gesi itauzwa kwa subsidized price? Hata TPDC walikua na mpango huo kusambaza gesi nafuu majumbani!!Luku Bei ya kikijini unaweza kununua hata buku ukatumia wiki nzima hiyo gas elfu 25 !!!!
Biashara ya RostamTunajua taifa gas ni biashara ya nani? Na kwanini agawetaifa gas na sio oryx?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee, sikujua kama wewe pia una mtazamo wa kichawa namna hiiMbona hayo TPDC walishaongea kwamba wanampango wa kusambaza gesi majumbani kwa subsidized price!!
Maboresho lazima yatakuja lakini kuanza kupinga mtu kuhamasisha matumizi ya gesi ni ajabu sana.
Hata umeme enzi hizo unaletwa mara ya kwanza ulikua na gharama, in fact tulianza na majenereta huko bush linawashwa saa 12 hadi saa 4 usiku!! Lakini taratibu mambo yamebadilika na bei sio Ile ya miaka ya 90?
So kuliko kupinga kabisa mshauri njia nzuri zaidi ndio mjadala unakua na tija. Nakumbuka siku JPM anawasha umeme kwenye nyumba ya tembe mlimshangilia sana kwamba kavunja rekodi ila sikusikia mkiongelea gharama za Luku za kila mwezi kwa wananchi maskini!!! So tuache unafiki na tutoe support Ile Ile kwa huyu
Dogo hii mimba ya jiwe hujajifungua tu?Pole chawa wa jiwe na sasa nafikiri mtatuelewa nini tulimaanisha dadeeeeki
Hii inakunufaisha nini kisiasa kama mpinzani?Miradi ya jiwe ndiyo hivyo kama yulivyosikia
Ndio familia yako na ukoo wako watakuwa matajiri kama familia ya jiwe?Miradi yote ya jiwe ishasahaulika dadeeeekiiiii
Kwa hiyo kumbe hapa hutetei hoja bali unamtetea Samia?Wapi nimemsifia JPM Wala CCM? Mie Sipendi hii tabia ya wafuasi wa JPM kupinga Kila kitu Cha Samia sababu ya chuki ya kuondolewa madarakani.
Ndio maana nahoji kama mlikua mnashabikia JPM kuwasha umeme kwenye nyumba za Tembe kipi Cha ajabu watu wakipewa gesi vijijini?
Mie sijawahi ipenda CCM but sipendi zaidi unafiki wenu nyie Team JPM.
Sasa umeme unafananisha na gesi?Kasome mpango wa taifa wa miaka 5 from 2016 na sasa 2021..... Pia Ilani ya hiko chama kiliahidi hivyo. Team JPM waache kujifanya wajuaji wakati hayo anayofanya January ndio JPM aliahidi kwenye Ilani.
Mie sio CCM ila kuna tabia imezuka ya wafuasi wa JPM kujaribu ku undermine Kila kinachofanyika Ili tuu legacy ikumbukwe whilst JPM huyo huyo aliwahi washa taa kwenye nyumba ya tembe kupitia kina Kalemani..... Na huo unafiki ndio naopinga hapa.
Kwa akili yako energy mix inahusisha kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi bila kuweka mipango na mikakati sahihi ya upatikanaji wa bei nafuu kwa hiyo gesiJPM ndio alitaka energy mix kupitia Ilani ya 2020-25 sasa kosa la january ni nini?
NCHI hii sijui itaisha lini MAIGIZO Umssikini wa hao Wananchi ni Mkubwa sana hata hizo KUNI wanaokoteza Mabua leo UNAGAWA mitungi ya GESI ni Akili au Matope?Mijini kuna Watumishi wa Umma wanalipwa Mishahara lakini bado wanatumia MKAA kupikia kutokana na KUSHINDWA kununua GESIUnampa mwananchi mtungi wa gesi. Kesho kutwa hana hata pesa ya kujazia gasi huo mtungi ukiisha.
Kwa nini msikomae JNHP ikakamilika alafu umeme ukashuka bei na bidhaa kushuka bei na maisha mwananchi yakawa nafuu.
[emoji116]Huu ni ulaghai usiofaa. View attachment 2289171
Unampa mwananchi mtungi wa gesi. Kesho kutwa hana hata pesa ya kujazia gasi huo mtungi ukiisha.
Kwa nini msikomae JNHP ikakamilika alafu umeme ukashuka bei na bidhaa kushuka bei na maisha mwananchi yakawa nafuu.
๐Huu ni ulaghai usiofaa. View attachment 2289171