Hizi ni siku za mwisho mwisho za IGP Sirro kuendelea kushika wadhifa wake?

Hizi ni siku za mwisho mwisho za IGP Sirro kuendelea kushika wadhifa wake?

Siro ni IGP mzuri ila mfumo ulivyo,,ningumu kufanya kazi vyema kama huna sapport ya Ikulu
Alipokuwa na support ya Ikulu ndipo maiti nyingi ziliokotwa na matendo ya kigaidi ya wasiojulikana yalishamiri!! Tatizo lilikuwa nini?
 
Huna sababu ya kuwa mtabiri au kwa jina lingine anaitwa mnajimu, kujua hatma ya yatakayomkuta IGP Sirro Katika siku za karibuni.

Hilo jambo ni dhahiri, aidha atajiuzulu kwa aibu au atafutwa Kazi na mteule wake!

Hatua ya Mheshimiwa Rais kuunda Tume yake huru kwa ajili ya kuchunguza Mauaji ya mfanyibiashara Mussa Hamisi, yanayotokana na kifo kilichotokea cha mtuhumiwa huyo, akiwa ndani ya rumande ya Polisi, ikiwa tayari IGP Sirro alishajiundia Tume yake ya kuchunguza Mauaji hayo hayo ni hatua moja kubwa kwa IGP kung'amua kuwa hatakiwi kuendelea kuhudumu kwenye nafasi hiyo kwa siku zijazo.

Hata hivyo hatua hiyo ya Rais, inatafsiriwa na wachambuzi wa kisiasa, kama kutoiamini Tume iliyoundwa na IGP Sirro ya kuchunguza tukio hilo la Polisi na baadaye kuja kutuletea ripoti yao ya "kimangumashi" ya Mauaji ya mfanyibiashara huyo.

Hatua hiyo peke yake ingemfanya IGP
Sirro ajiuzulu mapema, badala ya kusubiri aibu ya kutenguliwa kwake, baada ya hizo siku 14 walizopewa hiyo Tume huru kuwasilisha mapendekezo yake.

Ninadiriki kumshauri kwa nia njema kabisa, IGP Sirro ajiuzulu sasa hivi, badala ya kusubiri matokeo ya tume hiyo, ambayo yatamtia "kitanzini"

Suala lingine ambalo naliona limefanywa na Rais Samia, ambalo naliona nalo ni la busara Sana, ambako halikufanywa na IGP Sirro ni la kuwasimamisha RPC na RCO wake wa Mkoa wa Mtwara.

Hivi tutaweza vipi kuiamini Tume ya IGP Sirro, ambao tayari wameshaanza kutupiga "fix" eti mmoja wa mapolisi aliyekuwa mahabusu amejinyonga kwa kutumia "dekio" la mahabusu?

Hivi huyu IGP Sirro anataka kutufanya watanzania wote ni malofa na wajinga wa kutupwa?

Hivi kwa mazingira za mahabusu zetu za Polisi tunavyozijua, hivi ni lini mahabusu yoyote nchini imewahi kuwa na "dekio" la kudekia?

Inabidi IGP asome alama za nyakati na atambue wazi kuwa muda wake wa kulitumikia Jeshi hilo umefika kikomo na atambue wazi kuwa ingawa Jeshi lake la Polisi, linaamiinika kuwa ni nguzo muhimu Sana kwa Sisiem kuendelea kukaa madarakani, kwa kutumia "mitutu" yao ya bunduki kufanya wizi wa kura kwa manufaa ya Chama tawala, hivi sasa ajue hata hao wanaSisiem, wameshamchoka na wameona potelea mbali, ngoja aje IGP mwingine "watakayemfundisha" mbinu za wizi wa kura, lakini ni lazima IGP Sirro aondoke, kwa vile anaendelea kuliaibisha Taifa hili kwa vitendo vya kinyama vinavyofanywa na Jeshi lake la Polisi.
Huyu tayari kajipiga pini mwenyewe na hawezi kujiuzuri haraka labda baadae kidogo kutokana itatia shaka kubwa pia huyu anatakiwa kugunguliwa hata mashitaka maana menginyametokea chini ya uongozi wake nakama kawa either mtu kapigwa ugaidi,jambazi,mhujumu uchumi,mpinzani wakisiasa n.k huyu awe answerable maamae
 
Huyu tayari kajipiga pini mwenyewe na hawezi kujiuzuri haraka labda baadae kidogo kutokana itatia shaka kubwa pia huyu anatakiwa kugunguliwa hata mashitaka maana menginyametokea chini ya uongozi wake nakama kawa either mtu kapigwa ugaidi,jambazi,mhujumu uchumi,mpinzani wakisiasa n.k huyu awe answerable maamae
Nasikia anamiliki mahoteli na majumba kadhaa "atembelewe na mamlaka husika.."
 
Huna sababu ya kuwa mtabiri au kwa jina lingine anaitwa mnajimu, kujua hatma ya yatakayomkuta IGP Sirro Katika siku za karibuni.

Hilo jambo ni dhahiri, aidha atajiuzulu kwa aibu au atafutwa Kazi na mteule wake!

Hatua ya Mheshimiwa Rais kuunda Tume yake huru kwa ajili ya kuchunguza Mauaji ya mfanyibiashara Mussa Hamisi, yanayotokana na kifo kilichotokea cha mtuhumiwa huyo, akiwa ndani ya rumande ya Polisi, ikiwa tayari IGP Sirro alishajiundia Tume yake ya kuchunguza Mauaji hayo hayo ni hatua moja kubwa kwa IGP kung'amua kuwa hatakiwi kuendelea kuhudumu kwenye nafasi hiyo kwa siku zijazo.

Hata hivyo hatua hiyo ya Rais, inatafsiriwa na wachambuzi wa kisiasa, kama kutoiamini Tume iliyoundwa na IGP Sirro ya kuchunguza tukio hilo la Polisi na baadaye kuja kutuletea ripoti yao ya "kimangumashi" ya Mauaji ya mfanyibiashara huyo.

Hatua hiyo peke yake ingemfanya IGP
Sirro ajiuzulu mapema, badala ya kusubiri aibu ya kutenguliwa kwake, baada ya hizo siku 14 walizopewa hiyo Tume huru kuwasilisha mapendekezo yake.

Ninadiriki kumshauri kwa nia njema kabisa, IGP Sirro ajiuzulu sasa hivi, badala ya kusubiri matokeo ya tume hiyo, ambayo yatamtia "kitanzini"

Suala lingine ambalo naliona limefanywa na Rais Samia, ambalo naliona nalo ni la busara Sana, ambako halikufanywa na IGP Sirro ni la kuwasimamisha RPC na RCO wake wa Mkoa wa Mtwara.

Hivi tutaweza vipi kuiamini Tume ya IGP Sirro, ambao tayari wameshaanza kutupiga "fix" eti mmoja wa mapolisi aliyekuwa mahabusu amejinyonga kwa kutumia "dekio" la mahabusu?

Hivi huyu IGP Sirro anataka kutufanya watanzania wote ni malofa na wajinga wa kutupwa?

Hivi kwa mazingira za mahabusu zetu za Polisi tunavyozijua, hivi ni lini mahabusu yoyote nchini imewahi kuwa na "dekio" la kudekia?

Inabidi IGP asome alama za nyakati na atambue wazi kuwa muda wake wa kulitumikia Jeshi hilo umefika kikomo na atambue wazi kuwa ingawa Jeshi lake la Polisi, linaamiinika kuwa ni nguzo muhimu Sana kwa Sisiem kuendelea kukaa madarakani, kwa kutumia "mitutu" yao ya bunduki kufanya wizi wa kura kwa manufaa ya Chama tawala, hivi sasa ajue hata hao wanaSisiem, wameshamchoka na wameona potelea mbali, ngoja aje IGP mwingine "watakayemfundisha" mbinu za wizi wa kura, lakini ni lazima IGP Sirro aondoke, kwa vile anaendelea kuliaibisha Taifa hili kwa vitendo vya kinyama vinavyofanywa na Jeshi lake la Polisi.
Huwezi kujimilikisha Mamlaka ndo maana Julius aliandika kitabu TUJISAHIHISHE
 
Huna sababu ya kuwa mtabiri au kwa jina lingine anaitwa mnajimu, kujua hatma ya yatakayomkuta IGP Sirro Katika siku za karibuni.

Hilo jambo ni dhahiri, aidha atajiuzulu kwa aibu au atafutwa Kazi na mteule wake!

Hatua ya Mheshimiwa Rais kuunda Tume yake huru kwa ajili ya kuchunguza Mauaji ya mfanyibiashara Mussa Hamisi, yanayotokana na kifo kilichotokea cha mtuhumiwa huyo, akiwa ndani ya rumande ya Polisi, ikiwa tayari IGP Sirro alishajiundia Tume yake ya kuchunguza Mauaji hayo hayo ni hatua moja kubwa kwa IGP kung'amua kuwa hatakiwi kuendelea kuhudumu kwenye nafasi hiyo kwa siku zijazo.

Hata hivyo hatua hiyo ya Rais, inatafsiriwa na wachambuzi wa kisiasa, kama kutoiamini Tume iliyoundwa na IGP Sirro ya kuchunguza tukio hilo la Polisi na baadaye kuja kutuletea ripoti yao ya "kimangumashi" ya Mauaji ya mfanyibiashara huyo.

Hatua hiyo peke yake ingemfanya IGP
Sirro ajiuzulu mapema, badala ya kusubiri aibu ya kutenguliwa kwake, baada ya hizo siku 14 walizopewa hiyo Tume huru kuwasilisha mapendekezo yake.

Ninadiriki kumshauri kwa nia njema kabisa, IGP Sirro ajiuzulu sasa hivi, badala ya kusubiri matokeo ya tume hiyo, ambayo yatamtia "kitanzini"

Suala lingine ambalo naliona limefanywa na Rais Samia, ambalo naliona nalo ni la busara Sana, ambako halikufanywa na IGP Sirro ni la kuwasimamisha RPC na RCO wake wa Mkoa wa Mtwara.

Hivi tutaweza vipi kuiamini Tume ya IGP Sirro, ambao tayari wameshaanza kutupiga "fix" eti mmoja wa mapolisi aliyekuwa mahabusu amejinyonga kwa kutumia "dekio" la mahabusu?

Hivi huyu IGP Sirro anataka kutufanya watanzania wote ni malofa na wajinga wa kutupwa?

Hivi kwa mazingira za mahabusu zetu za Polisi tunavyozijua, hivi ni lini mahabusu yoyote nchini imewahi kuwa na "dekio" la kudekia?

Inabidi IGP asome alama za nyakati na atambue wazi kuwa muda wake wa kulitumikia Jeshi hilo umefika kikomo na atambue wazi kuwa ingawa Jeshi lake la Polisi, linaamiinika kuwa ni nguzo muhimu Sana kwa Sisiem kuendelea kukaa madarakani, kwa kutumia "mitutu" yao ya bunduki kufanya wizi wa kura kwa manufaa ya Chama tawala, hivi sasa ajue hata hao wanaSisiem, wameshamchoka na wameona potelea mbali, ngoja aje IGP mwingine "watakayemfundisha" mbinu za wizi wa kura, lakini ni lazima IGP Sirro aondoke, kwa vile anaendelea kuliaibisha Taifa hili kwa vitendo vya kinyama vinavyofanywa na Jeshi lake la Polisi.
Huyo ni IGP wa majambazi ya polisi yanayouwa watanzania kwa sindano za sumu kwenye zahanati za polisi huyo ndio mkuu wao firauni na ni Gaidi pia.
1643436890032.jpg
 
Back
Top Bottom