Hizi ni zana tulizotumia wana JF wa kale. Welcome to our museum

Hizi ni zana tulizotumia wana JF wa kale. Welcome to our museum

1696047185918.jpg
 
Nlianza kusoma IT mwaka 2003, hii ndo ilikuwa windows kwa muda huo kama ilivyo windows 10 kwa sasa. Ikaja ikatoka windows me haikukaa sana kama ilivyotoka windows 8, ndo ikatoka xp ndo zikatoka na hdd za 40gb mazee 40gb ilikuwa ndo kubwa unajiuliza utaijaza lini hii. Ziliznza pia kutoka ram za 256mb na mashine zikatoka pentium 2 ama 3 kama sikoseiView attachment 2765768

Mwaka 2003 mlikuwa mnatumia Win98?

Mbona muda huo tayari WinXP ilikuwa maarufu...
 
Mpaka sasa sijaona chupi pendwa VIP...

Hu uzi bado ni batili...
 
Mafuta ya YU na Yolanda.
 

Attachments

  • Screenshot_20190627-175750_Instagram.jpg
    Screenshot_20190627-175750_Instagram.jpg
    71.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom