Hizi njaa mbaya

Ni wa chache sana ukiwauliza wamekula watakujibu wamekula. Wengi husema hawajala na hela hawana.
Ila kuna wengine wanakwambia tumekula ila hawajakipemda chakula [emoji23] kwa hiyo utajiongeza mwenyewe
 
Ni wa chache sana ukiwauliza wamekula watakujibu wamekula. Wengi husema hawajala na hela hawana.
Ila kuna wengine wanakwambia tumekula ila hawajakipemda chakula [emoji23] kwa hiyo utajiongeza mwenyewe
Hapa ananilazimisha nikamtumie hela kwa wakala utadhani kaniwekea mfukoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…