Hizi njaa mbaya

Wakuu usije kumuuliza mwanamke umekula ni kosa kubwa.

Nimeuliza umekunywa chai? anataka nimtumie hela ya chai na vocha sijamjibu

Maendeleo hayana chama
Yaani sina haja kabisa ya kusalimia demu wa kibongo mpaka anisalimie yeye mwenyewe na akinisalimia namjibu kwa haraka haraka nasepa zangu. Mtu umezaa na kibaka mwenyewe kwa tamaa zako za kijinga, leo kibaka kafungwa ama kuuliwa unakuja kujitongozesha kwangu ili nikutunzie watoto uliozaa na kibaka. Kwendraaaa kule.
 
Kuna maswali ya kumuuliza mtu unapokuwa unataka kumnyandua!" Sasa Chai na Kunyanduana wapi na wapi?
 

nimecheka sana, ingekuwa pesa yake angetumia hivyo... binadamu tuna taabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…