Hizi njemba(hawa ma-legend) za JF zinatufanya kizazi cha sasa tuonekane tuna upeo mdogo wa kufikiri

Hizi njemba(hawa ma-legend) za JF zinatufanya kizazi cha sasa tuonekane tuna upeo mdogo wa kufikiri

Kwema Wakuu!

Nimeanza kufuatilia JF tangu 2010 hivyo mpaka sasa ni miaka 12. Hivyo ninauzoefu WA kutosha na mambo ya humu ndani. Ingawaje kipindi kile yaani 2010-2013 nikiwa sekondari nilikuwa Kama msomaji tuu lakini bado ninakumbukumbu nzuri ya mambo yalivyokuwa.

Nakiri kuwa humu JF kuna miamba inatupa chakufanya kizazi cha sasa. Ili kutopoteza muda nitataja njemba/ma-legend/ miamba minne ya JF inayowakilisha vyema kizazi cha Kaka au Baba zetu. Ninaposema Kaka au Baba zetu nijazungumzia watu wote waliozaliwa miaka kuanzia 1960 - 1989.
Sisi wa 1990 mpaka Leo tujiite ndio kizazi cha Leo.

Miamba au njemba hizo ni Kama ifuatavyo;

1. Mshana Jr
2. Pascal Mayalla
3. Malcom Lumumba
4. Gudume.
5. Vuta Nkuvute
6. Kiranga

Hao ni wawakilishi WA kizazi cha Kaka na Baba zetu.
Embu linganisha vitu wanavyoandika, namna wanavyoandika, alafu linganisha na siye watoto wa 1990 mpaka hivi leo.
Ndio utajua Sisi bado tunakunywa Uji wa Mgonjwa. Yaani bado uwezo wetu ni mdogo Sana WA kufikiri na kupokea mambo.

Yaani Storage yetu ipo chini.
Sio ajabu watu kulalamika nyuzi zikiwa ndefu,
Nataka kukuhakikishia Makala nyingi zilizondefu ndizo zinazoweza mfanya mtu awe na contents nyingi kichwani.
Kadiri unavyosoma vitu na mambo mengi ndivyo akili yako inavyozidi kupanuka na kutanuka.
Akili yako lazima Uizoeshe kusoma vitu vizito, virefu, na kuweza kuviweka akilini na kuvichambua.

Kuna Taaluma hauwezi Kuhitimu Kama akili yako imezoea vitu vifupifupi au maandiko mafupi fupi mathalani;
Uanasheria, uinjinia, udaktari, Falsafa, uchambuzi wa maandiko n.k.

Ukiona mtu anachoka mapema kusoma maandiko marefu ujue ubongo wake ni Low Storage.
Jambo moja nataka nikuibie Siri, ukiona mtu yeyote ana-content nzito na kubwa kichwani elewa huyo ni msomaji wa vitu virefu na vizito.
Mtu yeyote Yule ukiona unamu-appreciate kuwa Anauwezo mkubwa wa kufikiri au Akili au kuchambua mambo elewa kuwa Siri ni kusoma vitu virefu na vizito.

Kadiri unavyosoma Sana ndivyo ubongo wako unavyozidi kutumika na kuwa Bora zaidi.

Hongereni Sana Kaka na Baba zetu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Uliowataja ni theluthi au ni idadi ndogo sana ya malegend wa kweli waliomo humu, inawezekana hukubahatika kusoma maandiko yao au bado ulikuwa mdogo au umewasahau

1. Barafu
2. Nguruvi3
3. Mzee Mwanakijiji
4. MtiMkavu
5. NyaniNgabu
6. MsemajiUkweli
7. Habíb Hanga ( The Bold)
8. MTAZAMO
9. Paschal

Hawa ni baadhi ya watu wenye kuanzisha/kucomment vitu sensitive sana, huwa na nawakubali sana michango yao/nyuzi zao

Baadhi yao JF imewamiss sana sana
 
Kwema Wakuu!

Nimeanza kufuatilia JF tangu 2010 hivyo mpaka sasa ni miaka 12. Hivyo ninauzoefu WA kutosha na mambo ya humu ndani. Ingawaje kipindi kile yaani 2010-2013 nikiwa sekondari nilikuwa Kama msomaji tuu lakini bado ninakumbukumbu nzuri ya mambo yalivyokuwa.

Nakiri kuwa humu JF kuna miamba inatupa chakufanya kizazi cha sasa. Ili kutopoteza muda nitataja njemba/ma-legend/ miamba minne ya JF inayowakilisha vyema kizazi cha Kaka au Baba zetu. Ninaposema Kaka au Baba zetu nijazungumzia watu wote waliozaliwa miaka kuanzia 1960 - 1989.
Sisi wa 1990 mpaka Leo tujiite ndio kizazi cha Leo.

Miamba au njemba hizo ni Kama ifuatavyo;

1. Mshana Jr
2. Pascal Mayalla
3. Malcom Lumumba
4. Gudume.
5. Vuta Nkuvute
6. Kiranga

Hao ni wawakilishi WA kizazi cha Kaka na Baba zetu.
Embu linganisha vitu wanavyoandika, namna wanavyoandika, alafu linganisha na siye watoto wa 1990 mpaka hivi leo.
Ndio utajua Sisi bado tunakunywa Uji wa Mgonjwa. Yaani bado uwezo wetu ni mdogo Sana WA kufikiri na kupokea mambo.

Yaani Storage yetu ipo chini.
Sio ajabu watu kulalamika nyuzi zikiwa ndefu,
Nataka kukuhakikishia Makala nyingi zilizondefu ndizo zinazoweza mfanya mtu awe na contents nyingi kichwani.
Kadiri unavyosoma vitu na mambo mengi ndivyo akili yako inavyozidi kupanuka na kutanuka.
Akili yako lazima Uizoeshe kusoma vitu vizito, virefu, na kuweza kuviweka akilini na kuvichambua.

Kuna Taaluma hauwezi Kuhitimu Kama akili yako imezoea vitu vifupifupi au maandiko mafupi fupi mathalani;
Uanasheria, uinjinia, udaktari, Falsafa, uchambuzi wa maandiko n.k.

Ukiona mtu anachoka mapema kusoma maandiko marefu ujue ubongo wake ni Low Storage.
Jambo moja nataka nikuibie Siri, ukiona mtu yeyote ana-content nzito na kubwa kichwani elewa huyo ni msomaji wa vitu virefu na vizito.
Mtu yeyote Yule ukiona unamu-appreciate kuwa Anauwezo mkubwa wa kufikiri au Akili au kuchambua mambo elewa kuwa Siri ni kusoma vitu virefu na vizito.

Kadiri unavyosoma Sana ndivyo ubongo wako unavyozidi kutumika na kuwa Bora zaidi.

Hongereni Sana Kaka na Baba zetu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kadiri unavyosoma Sana ndivyo ubongo wako unavyozidi kutumika na kuwa Bora zaidi.[emoji1752][emoji1545]
 
Utandawazi na mabadiliko ya kimifumo ya kimaisha pamoja kumezalisha kizazi Cha aina mbili Cha vijana......

1) kizazi Cha hovyo
Hiki ni kile kizazi kinachosukumwa na upepo wa matukio ya kijamii na mabadiliko ya kimifumo ya maisha kwenye jamii pasi na kutumia fahamu zao.......wimbi hili huzalisha kundi la vizazi jeuri, wabishi, wasio na adabu na wenye viburi.....wao hufanya kile wanachoona kinafaa nafsini mwao bila kuangalia matokeo ya matendo yao......hawana adabu na heshima hata chembe........ kuishi vyema na vijana hawa ni kukaa nao mbali na kuheshimu maamuzi hasa yakiwa hayana muingiliano na mambo yako..... kujaribu kuwashauri au kuwarekebisha kunaweza kukugharimu heshima yako, utu wako na hata usalama wako.......

2) Vijana wenye weledi
Hili ni kundi la vijana walioupokea utandawazi na mabadiliko ya kimifumo ya kimaisha kwenye jamii katika mlengo chanya na ni wanufaika wa mchakato huo kwani wao kwenye hayo huangalia yanayowafaa na kushikamana nayo kuachana na yasiyowafaa........

Vijana hawa hawaoni uzia kutaka ushauri au muongozo Kwa wale waliowatungulia na hujisikia fahari kufanya hivyo.... daima wako kwenye njia sahihi.......

Matunda yake yanaonekana Kwa ustawi wa maisha yao kwenye jamii kwenye yale waliyoshikamana nayo.........
 
Kwema Wakuu!

Nimeanza kufuatilia JF tangu 2010 hivyo mpaka sasa ni miaka 12. Hivyo ninauzoefu WA kutosha na mambo ya humu ndani. Ingawaje kipindi kile yaani 2010-2013 nikiwa sekondari nilikuwa Kama msomaji tuu lakini bado ninakumbukumbu nzuri ya mambo yalivyokuwa.

Nakiri kuwa humu JF kuna miamba inatupa chakufanya kizazi cha sasa. Ili kutopoteza muda nitataja njemba/ma-legend/ miamba minne ya JF inayowakilisha vyema kizazi cha Kaka au Baba zetu. Ninaposema Kaka au Baba zetu nijazungumzia watu wote waliozaliwa miaka kuanzia 1960 - 1989.
Sisi wa 1990 mpaka Leo tujiite ndio kizazi cha Leo.

Miamba au njemba hizo ni Kama ifuatavyo;

1. Mshana Jr
2. Pascal Mayalla
3. Malcom Lumumba
4. Gudume.
5. Vuta Nkuvute
6. Kiranga

Hao ni wawakilishi WA kizazi cha Kaka na Baba zetu.
Embu linganisha vitu wanavyoandika, namna wanavyoandika, alafu linganisha na siye watoto wa 1990 mpaka hivi leo.
Ndio utajua Sisi bado tunakunywa Uji wa Mgonjwa. Yaani bado uwezo wetu ni mdogo Sana WA kufikiri na kupokea mambo.

Yaani Storage yetu ipo chini.
Sio ajabu watu kulalamika nyuzi zikiwa ndefu,
Nataka kukuhakikishia Makala nyingi zilizondefu ndizo zinazoweza mfanya mtu awe na contents nyingi kichwani.
Kadiri unavyosoma vitu na mambo mengi ndivyo akili yako inavyozidi kupanuka na kutanuka.
Akili yako lazima Uizoeshe kusoma vitu vizito, virefu, na kuweza kuviweka akilini na kuvichambua.

Kuna Taaluma hauwezi Kuhitimu Kama akili yako imezoea vitu vifupifupi au maandiko mafupi fupi mathalani;
Uanasheria, uinjinia, udaktari, Falsafa, uchambuzi wa maandiko n.k.

Ukiona mtu anachoka mapema kusoma maandiko marefu ujue ubongo wake ni Low Storage.
Jambo moja nataka nikuibie Siri, ukiona mtu yeyote ana-content nzito na kubwa kichwani elewa huyo ni msomaji wa vitu virefu na vizito.
Mtu yeyote Yule ukiona unamu-appreciate kuwa Anauwezo mkubwa wa kufikiri au Akili au kuchambua mambo elewa kuwa Siri ni kusoma vitu virefu na vizito.

Kadiri unavyosoma Sana ndivyo ubongo wako unavyozidi kutumika na kuwa Bora zaidi.

Hongereni Sana Kaka na Baba zetu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mfumo dume umekuathiri, bila kwenye orodha hii kumuweka AshaDii basi Uzi wako ni batili.
 
Kwema Wakuu!

Nimeanza kufuatilia JF tangu 2010 hivyo mpaka sasa ni miaka 12. Hivyo ninauzoefu WA kutosha na mambo ya humu ndani. Ingawaje kipindi kile yaani 2010-2013 nikiwa sekondari nilikuwa Kama msomaji tuu lakini bado ninakumbukumbu nzuri ya mambo yalivyokuwa.

Nakiri kuwa humu JF kuna miamba inatupa chakufanya kizazi cha sasa. Ili kutopoteza muda nitataja njemba/ma-legend/ miamba minne ya JF inayowakilisha vyema kizazi cha Kaka au Baba zetu. Ninaposema Kaka au Baba zetu nijazungumzia watu wote waliozaliwa miaka kuanzia 1960 - 1989.
Sisi wa 1990 mpaka Leo tujiite ndio kizazi cha Leo.

Miamba au njemba hizo ni Kama ifuatavyo;

1. Mshana Jr
2. Pascal Mayalla
3. Malcom Lumumba
4. Gudume.
5. Vuta Nkuvute
6. Kiranga

Hao ni wawakilishi WA kizazi cha Kaka na Baba zetu.
Embu linganisha vitu wanavyoandika, namna wanavyoandika, alafu linganisha na siye watoto wa 1990 mpaka hivi leo.
Ndio utajua Sisi bado tunakunywa Uji wa Mgonjwa. Yaani bado uwezo wetu ni mdogo Sana WA kufikiri na kupokea mambo.

Yaani Storage yetu ipo chini.
Sio ajabu watu kulalamika nyuzi zikiwa ndefu,
Nataka kukuhakikishia Makala nyingi zilizondefu ndizo zinazoweza mfanya mtu awe na contents nyingi kichwani.
Kadiri unavyosoma vitu na mambo mengi ndivyo akili yako inavyozidi kupanuka na kutanuka.
Akili yako lazima Uizoeshe kusoma vitu vizito, virefu, na kuweza kuviweka akilini na kuvichambua.

Kuna Taaluma hauwezi Kuhitimu Kama akili yako imezoea vitu vifupifupi au maandiko mafupi fupi mathalani;
Uanasheria, uinjinia, udaktari, Falsafa, uchambuzi wa maandiko n.k.

Ukiona mtu anachoka mapema kusoma maandiko marefu ujue ubongo wake ni Low Storage.
Jambo moja nataka nikuibie Siri, ukiona mtu yeyote ana-content nzito na kubwa kichwani elewa huyo ni msomaji wa vitu virefu na vizito.
Mtu yeyote Yule ukiona unamu-appreciate kuwa Anauwezo mkubwa wa kufikiri au Akili au kuchambua mambo elewa kuwa Siri ni kusoma vitu virefu na vizito.

Kadiri unavyosoma Sana ndivyo ubongo wako unavyozidi kutumika na kuwa Bora zaidi.

Hongereni Sana Kaka na Baba zetu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Nliwataja hapo baadhi ya watu kuwa binafsi walinivutia sana humu ndani. Tutoto twa siku hizi tukaanza mwaga mapovu. Mi nashukuru nawe umeyaona hayo. Maana hawachelewi kusema hizo ni IDs zako pia. GuDume MALCOM LUMUMBA Nyani Ngabu , Chief-Mkwawa ni jamaa ninaowakubali sana. Gudume huwa narudia kusoma tena na tena threads zake natamani siku moja nionane naye ni mtu wa namna gani.
 
Kwema Wakuu!

Nimeanza kufuatilia JF tangu 2010 hivyo mpaka sasa ni miaka 12. Hivyo ninauzoefu WA kutosha na mambo ya humu ndani. Ingawaje kipindi kile yaani 2010-2013 nikiwa sekondari nilikuwa Kama msomaji tuu lakini bado ninakumbukumbu nzuri ya mambo yalivyokuwa.

Nakiri kuwa humu JF kuna miamba inatupa chakufanya kizazi cha sasa. Ili kutopoteza muda nitataja njemba/ma-legend/ miamba minne ya JF inayowakilisha vyema kizazi cha Kaka au Baba zetu. Ninaposema Kaka au Baba zetu nijazungumzia watu wote waliozaliwa miaka kuanzia 1960 - 1989.
Sisi wa 1990 mpaka Leo tujiite ndio kizazi cha Leo.

Miamba au njemba hizo ni Kama ifuatavyo;

1. Mshana Jr
2. Pascal Mayalla
3. Malcom Lumumba
4. Gudume.
5. Vuta Nkuvute
6. Kiranga

Hao ni wawakilishi WA kizazi cha Kaka na Baba zetu.
Embu linganisha vitu wanavyoandika, namna wanavyoandika, alafu linganisha na siye watoto wa 1990 mpaka hivi leo.
Ndio utajua Sisi bado tunakunywa Uji wa Mgonjwa. Yaani bado uwezo wetu ni mdogo Sana WA kufikiri na kupokea mambo.

Yaani Storage yetu ipo chini.
Sio ajabu watu kulalamika nyuzi zikiwa ndefu,
Nataka kukuhakikishia Makala nyingi zilizondefu ndizo zinazoweza mfanya mtu awe na contents nyingi kichwani.
Kadiri unavyosoma vitu na mambo mengi ndivyo akili yako inavyozidi kupanuka na kutanuka.
Akili yako lazima Uizoeshe kusoma vitu vizito, virefu, na kuweza kuviweka akilini na kuvichambua.

Kuna Taaluma hauwezi Kuhitimu Kama akili yako imezoea vitu vifupifupi au maandiko mafupi fupi mathalani;
Uanasheria, uinjinia, udaktari, Falsafa, uchambuzi wa maandiko n.k.

Ukiona mtu anachoka mapema kusoma maandiko marefu ujue ubongo wake ni Low Storage.
Jambo moja nataka nikuibie Siri, ukiona mtu yeyote ana-content nzito na kubwa kichwani elewa huyo ni msomaji wa vitu virefu na vizito.
Mtu yeyote Yule ukiona unamu-appreciate kuwa Anauwezo mkubwa wa kufikiri au Akili au kuchambua mambo elewa kuwa Siri ni kusoma vitu virefu na vizito.

Kadiri unavyosoma Sana ndivyo ubongo wako unavyozidi kutumika na kuwa Bora zaidi.

Hongereni Sana Kaka na Baba zetu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umeniheshimisha. 🙏
 
Hakika hao ni malegends ila kila jukwaa humu kuna mwamba mfano;
Jukwaa la uchumi kuna @Ontorio
Jukwaa la MMU kuna rikiboy
Jukwaa la tech kuna CHIEF MKWAWA
Jukwaa la Inteligency kuna @Da'vinci @Rakism Kiranga e.t.c
 
Nliwataja hapo baadhi ya watu kuwa binafsi walinivutia sana humu ndani. Tutoto twa siku hizi tukaanza mwaga mapovu. Mi nashukuru nawe umeyaona hayo. Maana hawachelewi kusema hizo ni IDs zako pia. GuDume MALCOM LUMUMBA Nyani Ngabu , Chief-Mkwawa ni jamaa ninaowakubali sana. Gudume huwa narudia kusoma tena na tena threads zake natamani siku moja nionane naye ni mtu wa namna gani.

Watoto wa siku hizi wasikuvuruge, mambo Yao hayawaendei vile walivyopanga hivyo lazima wawe Kama unavyowaona.
Alafu hawajahitimu Jando na unyago hivyo kuhimili misukosuko kwao ni shida
 
Watoto wa siku hizi wasikuvuruge, mambo Yao hayawaendei vile walivyopanga hivyo lazima wawe Kama unavyowaona.
Alafu hawajahitimu Jando na unyago hivyo kuhimili misukosuko kwao ni shida
Hapa umezungumza jambo la msingi sana. Kuna haja ya watoto hawa kupelekwa jandoni na unyagoni pia. Umeliona jambo la maana sana. Zamani haikuwa hivi kabisa.
 
Wapo pia kina Mag3. Nguruvi. Britannica. Bagamoyo. Mohamed Said na wengineo.

Nguruvi
Mag3
Britannica

Mzee wangu Mohamed said kidogo sijamuweka Kwa sababu Dini imemuathiri pakubwa. Ni Kama Dadaetu Faizafoxy.

Ila hao watatu ninaweza kukubalia
 
Back
Top Bottom