Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kua na hela na kuamua matumizi yake ni vitu viwili tofauti,hela yako ni ile unayoitumia wakati huo,ile iliyopo bank itakua yako siku ukiamua kuitumia.Yaani Mtu unatoa hadi 1.2 for perfume tu maaamaeee? Japo naweza afford bora kukomaa tu na madeodorant for men Axe na Rexona 72 hours na elfu kumi tu.
Mkuu wasikutishe harufu ile ile.Kweli sie wengine masikini tu, perfume tu 1.2m.?????
Huko sahihi kabisa. Hasa wanawake yani likija swala la handbag kuna handbag hadi 30k usd na kuna wanaonunua kisa ni designer na wakati huohuo kuna copy ya hizo handbag 5 usd dollar tano. Pia kwa wanaume designer suits hata ukivaa ya kawaida haitofautiani.😂😂😂😂😂watu wana vitu wavipendavyo
ni sawa na nikute mwanaume ananunua saa et 450k au 500k wooooiHuko sahihi kabisa. Hasa wanawake yani likija swala la handbag kuna handbag hadi 30k usd na kuna wanaonunua kisa ni designer na wakati huohuo kuna copy ya hizo handbag 5 usd dollar tano. Pia kwa wanaume designer suits hata ukivaa ya kawaida haitofautiani.
Kuna duka Zurich uswiz linauaza a pair of socks 1000 swiss franc zaidi ya 1000 USD na waja wananunua unabaki kushangaa WTF!
hiyo hela ya kuchagua moja kama yangu naiomba tuu mi ntakuelekeza hata kwa simuMimi ninazo tayari hizo hela,
Nije unipeleke wanapouza hizo perfume nzuri? Na wewe utachagua moja yako kama zawadi.
😎
Ukiongeza pesa kidogo tu unapata Brevis tena namba D kabisa.Kweli sie wengine masikini tu, perfume tu 1.2m.?????
Hio addicted intense itanisaidia kuvua sio..?hugo boss kama unapenda harufu ya kitajiri isiyokera
addicted intese ya kuendana na weather na uchumi 😂😂
al haramain kama unapenda mambo za kiarabu 😊😊
kuvua nini 😂Hio addicted intense itanisaidia kuvua sio..?
Wake wenzako, hahakuvua nini 😂
Sasa apa kiongozi utajuaje kama jasho lako linaendana na perfume flani. Naitaji muongozo apo kiongozi 🙌All in all.. perfume inategemea na ww mwili wako unatoa jasho la aina gani.. mie naweza kupulizia kitu ikanikataa ila mwingine ikaw imempenda ina match na aura yake..
Sasa kuna wimbi la KUFATA MKUMBO.. mtu akiskia Sauvage inanukia vzr bas kesho na yeye kanunua.. anakuja kunukia kama kenge aliyekaangwa.
Suala la Sauvage Tz serikali inabidi iingilie kati 😂All in all.. perfume inategemea na ww mwili wako unatoa jasho la aina gani.. mie naweza kupulizia kitu ikanikataa ila mwingine ikaw imempenda ina match na aura yake..
Sasa kuna wimbi la KUFATA MKUMBO.. mtu akiskia Sauvage inanukia vzr bas kesho na yeye kanunua.. anakuja kunukia kama kenge aliyekaangwa.
Aaaaah zisi laifu🙆🙆🙆🤣
1.2m inadumu mda gani
au ndo tubaki na kauli ya kutafta ela
Ndio maana naimix ili ninukiee afu usielewe nanukia perfume gani 🤣🤣Suala la Sauvage Tz serikali inabidi iingilie kati 😂