Hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original?

Hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original?

Habari wakuu...

Hivi hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original...

Mfano kuna jamaa anauza creed aventus mils 100 kwa 55k...

Kuna aliyewahi tumia?
Ubora upoje?
Hiyo ya kupima ukichanganya na mafuta ya nazi inakuwa bomba sana!!
 
Sasa apa kiongozi utajuaje kama jasho lako linaendana na perfume flani. Naitaji muongozo apo kiongozi 🙌
Unatakiw uwe na machaguzi mengi.. nunua hata 3 ambazo zina composition tofauti..

Uzuri wa fragrance inayovutia lazima ATOKEE MTU wa kusifia.. ni LAZIMA atatokea mtu wa kuielezea VIZURI. na kama ni MBAYA lazima atatokea mtu wa kusema.

Mara nyingi pia ww uliejipulizia hhwezi isikia/hisi, ila yule wa pembeni ndio anaipata vzr.

Kama una Mpenzi basi huyo ndio judge wako yeye ndio atakupa recommendation nzr then utaflow nayo as your SIGNATURE.
 
inarange 900k -1.2m inategemea 😂😂😂

ila tester 200k hivi mpk 350k si eti eh Depal

😁

Umeandika bei kubwa sana aisee...

Kwa Bongo, bei zipo kama ifuatavyo kwa ambazo ni OG kwa wanaume...

EDT zinarange kati ya 120,000 hadi 250,000 inategemea na brand, bei ya chini ni kama Jaguar, Cool Water, CR7, Issey Miyake na jamii zote hapo...

EDP kwenye familia hii, O.G zinarange kati ya 250,000 hadi kwenye 480,000 hapo inategemea na brand, bei ya chini hapa unaweza ukapata Montblanc zote, Mr Burberry n.k, ukiwa na budget nzuri utapata perfume nzuri kama Gucci Guilty, Versace Eros, Ralph's Club, Invictus, ADG n.k

Parfum hapa utakuta bei zake ni 500,000 kwenda juu na kwa bongo sana utakuta kuna Sauvage Exilir, Amouage, Creed, BVLGARI Le Gemme, Tom Ford Oud Wood n.k

Ingawaje siku hizi Dubai naona wamekazana kutoa copy ambazo ni low budget na inaonesha zinafanya vizuri, sijawahi tumia lakini nimeona unyunyu wa Amraf kama Club de Nuit una reviews nzuri...
 
😁

Umeandika bei kubwa sana aisee...

Kwa Bongo, bei zipo kama ifuatavyo kwa ambazo ni OG kwa wanaume...

EDT zinarange kati ya 120,000 hadi 250,000 inategemea na brand, bei ya chini ni kama Jaguar, Cool Water, CR7, Issey Miyake na jamii zote hapo...

EDP kwenye familia hii, O.G zinarange kati ya 250,000 hadi kwenye 480,000 hapo inategemea na brand, bei ya chini hapa unaweza ukapata Montblanc zote, Mr Burberry n.k, ukiwa na budget nzuri utapata perfume nzuri kama Gucci Guilty, Versace Eros, Ralph's Club, Invictus, ADG n.k

Parfum hapa utakuta bei zake ni 500,000 kwenda juu na kwa bongo sana utakuta kuna Sauvage Exilir, Amouage, Creed, BVLGARI Le Gemme, Tom Ford Oud Wood n.k

Ingawaje siku hizi Dubai naona wamekazana kutoa copy ambazo ni low budget na inaonesha zinafanya vizuri, sijawahi tumia lakini nimeona unyunyu wa Amraf kama Club de Nuit una reviews nzuri...
alitaka bei ya creed og kabisa hizo nyingine si hata za 70k zipo Og bhana
 
😁

Umeandika bei kubwa sana aisee...

Kwa Bongo, bei zipo kama ifuatavyo kwa ambazo ni OG kwa wanaume...

EDT zinarange kati ya 120,000 hadi 250,000 inategemea na brand, bei ya chini ni kama Jaguar, Cool Water, CR7, Issey Miyake na jamii zote hapo...

EDP kwenye familia hii, O.G zinarange kati ya 250,000 hadi kwenye 480,000 hapo inategemea na brand, bei ya chini hapa unaweza ukapata Montblanc zote, Mr Burberry n.k, ukiwa na budget nzuri utapata perfume nzuri kama Gucci Guilty, Versace Eros, Ralph's Club, Invictus, ADG n.k

Parfum hapa utakuta bei zake ni 500,000 kwenda juu na kwa bongo sana utakuta kuna Sauvage Exilir, Amouage, Creed, BVLGARI Le Gemme, Tom Ford Oud Wood n.k

Ingawaje siku hizi Dubai naona wamekazana kutoa copy ambazo ni low budget na inaonesha zinafanya vizuri, sijawahi tumia lakini nimeona unyunyu wa Amraf kama Club de Nuit una reviews nzuri...
Nakuona hapa Clouds tv😎
 
All in all.. perfume inategemea na ww mwili wako unatoa jasho la aina gani.. mie naweza kupulizia kitu ikanikataa ila mwingine ikaw imempenda ina match na aura yake..

Sasa kuna wimbi la KUFATA MKUMBO.. mtu akiskia Sauvage inanukia vzr bas kesho na yeye kanunua.. anakuja kunukia kama kenge aliyekaangwa.
Tunaenda wapi sasa kupimwa jasho letu.
 
Kweli sie wengine masikini tu, perfume tu 1.2m.?????
Mwaka jana niliingia kwenye duka la S.H Amon lipo mlimani city eti najitutumua namimi kuulizia bei za perfume mfukoni sina hata mia😂😂, aliingia mzee mmoja na kibinti cha 2000 aisee alimnunulia perfume ya " Greed aventus" alilipa 1m cash kwa card wakasepa namimi nikatafuta mlango wa kutokea nikasepa. All in all umasikini ni m'baya sana.
 
😁

Umeandika bei kubwa sana aisee...

Kwa Bongo, bei zipo kama ifuatavyo kwa ambazo ni OG kwa wanaume...

EDT zinarange kati ya 120,000 hadi 250,000 inategemea na brand, bei ya chini ni kama Jaguar, Cool Water, CR7, Issey Miyake na jamii zote hapo...

EDP kwenye familia hii, O.G zinarange kati ya 250,000 hadi kwenye 480,000 hapo inategemea na brand, bei ya chini hapa unaweza ukapata Montblanc zote, Mr Burberry n.k, ukiwa na budget nzuri utapata perfume nzuri kama Gucci Guilty, Versace Eros, Ralph's Club, Invictus, ADG n.k

Parfum hapa utakuta bei zake ni 500,000 kwenda juu na kwa bongo sana utakuta kuna Sauvage Exilir, Amouage, Creed, BVLGARI Le Gemme, Tom Ford Oud Wood n.k

Ingawaje siku hizi Dubai naona wamekazana kutoa copy ambazo ni low budget na inaonesha zinafanya vizuri, sijawahi tumia lakini nimeona unyunyu wa Amraf kama Club de Nuit una reviews nzuri...
Kipindi nipo chuo niliwahi kuinunua iyo "Issey miyake" 250k cash eti kuzivutia bebez aisee katika maamuzi ya kijinga niliowahi kufanya ni hayo sasa hivi nikiliona chupa napata hasira iyo hela ningefuga kuku labda ningekua mbali.
 
Kipindi nipo chuo niliwahi kuinunua iyo "Issey miyake" 250k cash eti kuzivutia bebez aisee katika maamuzi ya kijinga niliowahi kufanya ni hayo sasa hivi nikiliona chupa napata hasira iyo hela ningefuga kuku labda ningekua mbali.
🤣🤣🤣🤣 hatareee
 
Back
Top Bottom