Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
ππππππππImekuwa kero aiseee!! Km watu wa mkoani na Mlimani city π€£π€£π€£
Lazima tusafishe nyota Nkamu
Tukirudi maporini tupate cha kusimulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππImekuwa kero aiseee!! Km watu wa mkoani na Mlimani city π€£π€£π€£
am good good, sijui wewe mkuu πOk,
Uko poa lakini...
kuna mtu huo sio mshahara ni ela ya chai na vitafunwqMshahara wa mtu huu unanunua pafyum
am good good, sijui wewe mkuu π
twende syrian Exbhition tukanunue perfume za bei rahisiπππSalama kabisa mdada mzuri...
Imagine kwenye top ten yako sijui hata moja, yaani achilia mbali kutumia, hata jina sijuiπ€£π€£π€£Perfumes nzuri za kiume kwa upande wangu ni hizi.... (ninazo kwenye kabati na hununua kulingana na mapendekezo ya Jeremy Fragrances...)
1. D&G the One
2.Bleu de Chanel Gold
3.D&G light blue intense
3.My self ya YSL
4. Scandal by Jean Paul Gaultier
5.Cool water by DavidOff
6.Wood&Wood by Issey Miyake
7.Gucci Guilty by Gucci
8. Irish Leather
8.Spice bomb ya Victor and Rolf
9.Acqua Di gio Essenza Giorgio Armani
10. Armani Code by Giorgio Armani.
Hizo mimi hazikosi kwa gallery yangu na always hupata compliments nyingi mno.
π€£π€£π€£ Nkamu hiyo maporini sasa umenikumbusha shangazi yangu wa mtukula πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈππππππππ
Lazima tusafishe nyota Nkamu
Tukirudi maporini tupate cha kusimulia.
Hivi vitu ni interest tuImagine kwenye top ten yako sijui hata moja, yaani achilia mbali kutumia, hata jina sijuiπ€£π€£π€£
naomba hiyo spice bomb ehππPerfumes nzuri za kiume kwa upande wangu ni hizi.... (ninazo kwenye kabati na hununua kulingana na mapendekezo ya Jeremy Fragrances...)
1. D&G the One
2.Bleu de Chanel Gold
3.D&G light blue intense
3.My self ya YSL
4. Scandal by Jean Paul Gaultier
5.Cool water by DavidOff
6.Wood&Wood by Issey Miyake
7.Gucci Guilty by Gucci
8. Irish Leather
8.Spice bomb ya Victor and Rolf
9.Acqua Di gio Essenza Giorgio Armani
10. Armani Code by Giorgio Armani.
Hizo mimi hazikosi kwa gallery yangu na always hupata compliments nyingi mno.
GT bana cheka balaaMimi ninazo tayari hizo hela,
Nije unipeleke wanapouza hizo perfume nzuri? Na wewe utachagua moja yako kama zawadi.
π
twende syrian Exbhition tukanunue perfume za bei rahisiπππ
Perfumes nzuri za kiume kwa upande wangu ni hizi.... (ninazo kwenye kabati na hununua kulingana na mapendekezo ya Jeremy Fragrances...)
1. D&G the One
2.Bleu de Chanel Gold
3.D&G light blue intense
3.My self ya YSL
4. Scandal by Jean Paul Gaultier
5.Cool water by DavidOff
6.Wood&Wood by Issey Miyake
7.Gucci Guilty by Gucci
8. Irish Leather
8.Spice bomb ya Victor and Rolf
9.Acqua Di gio Essenza Giorgio Armani
10. Armani Code by Giorgio Armani.
Hizo mimi hazikosi kwa gallery yangu na always hupata compliments nyingi mno.
saaana perfume zao nzuri mnooπ
Ni lini inakuwa hiyo?
Nasikia huwa wanakuwa na manukato mazuri...
Georgia Armani ana tabia ya kuleta version mpya kwa hii line ya Acqua Di gio... alianza na ile ya kwanza... akaja Essenza, profumo,profondo,Absolu n.k1, 2,7 hatari sana....
Kuna Acqua Di Gio Profumo, yaani Giorgio Armani wamezingua kweli baada ya kuacha kuirelease hii kitu ni hatari mno inanukia kitajiri sana...
![]()
Jamaa wanachezea hela kipumbavuYaani Mtu unatoa hadi 1.2 for perfume tu maaamaeee huko ni kukufuru? Japo naweza afford bora kukomaa tu na madeodorant for men Axe na Rexona 72 hours na elfu kumi tu.
saaana perfume zao nzuri mnoo
wanaanza this friday
eeeh hapo hapoSi Diamond Jubilee kama kawaida yao...
π€£π€£π€£ Nkamu hiyo maporini sasa umenikumbusha shangazi yangu wa mtukula πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
ππππππ€£π€£π€£ Nkamu hiyo maporini sasa umenikumbusha shangazi yangu wa mtukula πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ