Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
NdiyoHabari wakuu...
Hivi hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original...
Mfano kuna jamaa anauza creed aventus mils 100 kwa 55k...
Kuna aliyewahi tumia?
Ubora upoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiyoHabari wakuu...
Hivi hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original...
Mfano kuna jamaa anauza creed aventus mils 100 kwa 55k...
Kuna aliyewahi tumia?
Ubora upoje?
Imekuwa kero aiseee!! Km watu wa mkoani na Mlimani city 🤣🤣🤣Suala la Sauvage Tz serikali inabidi iingilie kati 😂
Niulize warembo wenyewe nilipata sasa?😂😂🤣🤣🤣🤣 hatareee
Janjajanja unadunda tu kwenye ardhi ya mola na AxeYaani Mtu unatoa hadi 1.2 for perfume tu maaamaeee huko ni kukufuru? Japo naweza afford bora kukomaa tu na madeodorant for men Axe na Rexona 72 hours na elfu kumi tu.
🤣🤣🤣🤣 uliingia chaka!! Km nakuona ulivyonuna…. Kwa hasira ungeinywaNiulize warembo wenyewe nilipata sasa?😂😂
😂😂😂 mimi ni mpuuzi kipindi nipo chuo nilichezea hela sana kwa vitu vya kijinga sasa hivi sasa najuta, Enewei nje ya mada nipe vigezo vya kua winga hapo k/koo maisha yashanichanganya.🤣🤣🤣🤣 uliingia chaka!! Km nakuona ulivyonuna…. Kwa hasira ungeinywa
Mbona haulii? Macho makavu😎
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imekuwa kero aiseee!! Km watu wa mkoani na Mlimani city [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani usharudi ulikoenda kulima?? K/koo njaa zako, vigezo utavikuta huku huku 😂😂😂😂😂😂 mimi ni mpuuzi kipindi nipo chuo nilichezea hela sana kwa vitu vya kijinga sasa hivi sasa najuta, Enewei nje ya mada nipe vigezo vya kua winga hapo k/koo maisha yashanichanganya.
🤣🤣🤣🤣 msibani hujaenda udugu??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani usharudi ulikoenda kulima?? K/koo njaa zako, vigezo utavikuta huku huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo Leaders hapa, wee uko wapiii?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] msibani hujaenda udugu??
Poleni!Tunasheherekea maisha...
Dah.!! Udugu kweli nikupe code?? Tazama mdada mweupe aliyevaa glass za dior km shombe shombe anakuja hivi halafu anakataa nimekaa na mdada mmoja kavaa min dress ya black 🤭Nipo Leaders hapa, wee uko wapiii?
Mkuu acha kunitonesha vidonda😐, aliye nishauri kilimo cha matikiti Mungu anamuona na yumo humu, acha niishie hapa. Ila daslamu nakuja kua winga + chawa nasikia vinalipa huko.Kwani usharudi ulikoenda kulima?? K/koo njaa zako, vigezo utavikuta huku huku 😂😂😂
Perfumes nzuri za kiume kwa upande wangu ni hizi.... (ninazo kwenye kabati na hununua kulingana na mapendekezo ya Jeremy Fragrances...)Embu recommend me, the best male perfume currently, thanks in advance.
Wee uduguu!!! Aliyevaa mini dress ya black, yenye lesi?Dah.!! Udugu kweli nikupe code?? Tazama mdada mweupe aliyevaa glass za dior km shombe shombe anakuja hivi halafu anakataa nimekaa na mdada mmoja kavaa min dress ya black [emoji2960]
🤣🤣🤣🤣 nakukimbia udugu hata kuaga siagiWee uduguu!!! Aliyevaa mini dress ya black, yenye lesi?
Tukio likimalizika, nakucheki
1.2M ni ng'ombe 4 qmmke walahi.🤣🤣🤣Yaani Mtu unatoa hadi 1.2 for perfume tu maaamaeee huko ni kukufuru? Japo naweza afford bora kukomaa tu na madeodorant for men Axe na Rexona 72 hours na elfu kumi tu.
😂😂😂Imekuwa kero aiseee!! Km watu wa mkoani na Mlimani city 🤣🤣🤣