Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Salamu wakuu!
Ni huyu mwanangu mkubwa leo kaniuliza swali hilo, ngoja niliweke vizuri ili tuweze kujadili.
Ni hizi akaunti zetu za M-Pesa, TigoPesa, Airtel-Money, HaloPesa, T-Pesa itifaki imezingatiwa.[emoji28]
Tunaweka kuhifadhi na kutuma kwenda kwa watu wengine, au kulipia huduma mbalimbali. Tukihitaji pesa taslimu tunazitoa kupitia mawakala wa hizo kampuni (service providers).
Hoja iko hivi:
Je, kampuni wanayo 'access' na pesa zetu hizi kama ilivyo mabenki?
Kwamba wanaweza kuzitumia mfano katika biashara zao hata kukopesha na kuzizungusha?
Yaani mtu [mteja] anaweza kwenda kuchukua mkopo Vodacom au pale Nyumbani Kumenoga na kuondoka na kitita kama taratibu za kibenki?
Au ni PESA ambazo zipo kwenye 'line' zetu tu!
Sijui kama nimeeleweka ila nadhani nimejitahidi, naomba nijifunze kwenu.
Ncha Kali.
Ni huyu mwanangu mkubwa leo kaniuliza swali hilo, ngoja niliweke vizuri ili tuweze kujadili.
Ni hizi akaunti zetu za M-Pesa, TigoPesa, Airtel-Money, HaloPesa, T-Pesa itifaki imezingatiwa.[emoji28]
Tunaweka kuhifadhi na kutuma kwenda kwa watu wengine, au kulipia huduma mbalimbali. Tukihitaji pesa taslimu tunazitoa kupitia mawakala wa hizo kampuni (service providers).
Hoja iko hivi:
Je, kampuni wanayo 'access' na pesa zetu hizi kama ilivyo mabenki?
Kwamba wanaweza kuzitumia mfano katika biashara zao hata kukopesha na kuzizungusha?
Yaani mtu [mteja] anaweza kwenda kuchukua mkopo Vodacom au pale Nyumbani Kumenoga na kuondoka na kitita kama taratibu za kibenki?
Au ni PESA ambazo zipo kwenye 'line' zetu tu!
Sijui kama nimeeleweka ila nadhani nimejitahidi, naomba nijifunze kwenu.
Ncha Kali.