Oxx
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 896
- 1,946
Hapana awawezi kutumia ....
Makampuni ya simu yanafanya kazi na mawakala wakuu ambao ndo wanatoa mitaji, hupeleka bank kiasi wanapewa float sawa kiasi walichokabizi.
Hizo floats huzisambaza kwa mawakala wa mitaani wanotoa huduma na kupokea cash, mawakala huudumia wateja kama ilivyo desturi....
Kwa iyo tutaona kwamba mwenye axcess ya kutumia fedha izo bado ni Benki si makampuni ya simu.
Makampuni ya simu yanafanya kazi na mawakala wakuu ambao ndo wanatoa mitaji, hupeleka bank kiasi wanapewa float sawa kiasi walichokabizi.
Hizo floats huzisambaza kwa mawakala wa mitaani wanotoa huduma na kupokea cash, mawakala huudumia wateja kama ilivyo desturi....
Kwa iyo tutaona kwamba mwenye axcess ya kutumia fedha izo bado ni Benki si makampuni ya simu.