Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mafundi hawazikimbii hizi engine?P
Prado 4th gen zote nzuri nilianza zipenda kipindi ziko chache 2016 . .. nikaanza fatilia kodi ya 2009 ilikuwa kodi mil 30 ..used hadi bandarini ilikuwa 50M kwa hio kwa 80m na kidogo unaeza pata
Naona used pia za 2012/2014 bongo kwa mil 120-150
Kwanzia 2015 walianza tumia engine yangu mpya pendwa 1gd ftv 2.8L 4cyl very powerful ... later wakaweka kwa hiace na hilux usiombe kutana nayo gari yoyote yenye engine hio
Ndogo sana kwa ukubwa na uzito wa hio gari.177hp
Umewahi kununua kitu mtandaoni kuanzia 2017?70000x2300=161000000
duh milioni 161 mkuu nikutakie utafutaji mwema nitaomba lifti tu maana parefu siwezi hata kuiota
Muda mwingine ukipiga hesabu hivi vigari vidogo katika mafuta havina cha unafuu wala nn. Kagari kama passo cc 990, piston 3 kwa lita moja kanapeleka km 12 sababu ya nguvu ndogo ya engine. Cha ajabu IST ya cc 1300 piston 4, kwa lita 1 kanapeleka km hadi 15, sababu engine ina nguvu. So hata hizi kubwa ni kweli unashangaa ukitumia inatumia vizuri sana mafuta sababu gari za sasa umeme ni mwingi sana na zina nusa mafuta kistaarabu sana.
mkuu pole na swaumu70000x2300=161000000
duh milioni 161 mkuu nikutakie utafutaji mwema nitaomba lifti tu maana parefu siwezi hata kuiota
Swaumu tenamkuu pole na swaumu
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu hawajui tu mkuu! Nmeangalia review za hiyo prado ya mwaka huu utafikiri uko kwenye ndege.Hahahah unaijua vieite wewe [emoji23][emoji23][emoji23] af anatokea punda anasema Toyota hamna gari utafikiria pale jirani na Quality Centre hapajui [emoji2][emoji2][emoji2]!!!
Sogeza pua uache kiinua mgongo cha ukoo mzima ndio kukamata ZX V8 moja tu yenye makaratasi kwenye viti!
D4D hizo ..watakuwa wanaona tu wengeMafundi hawazikimbii hizi engine?
1GD ni moto mwengine huo mzee baba π€π€π€P
Prado 4th gen zote nzuri nilianza zipenda kipindi ziko chache 2016 . .. nikaanza fatilia kodi ya 2009 ilikuwa kodi mil 30 ..used hadi bandarini ilikuwa 50M kwa hio kwa 80m na kidogo unaeza pata
Naona used pia za 2012/2014 bongo kwa mil 120-150
Kwanzia 2015 walianza tumia engine yangu mpya pendwa 1gd ftv 2.8L 4cyl very powerful ... later wakaweka kwa hiace na hilux usiombe kutana nayo gari yoyote yenye engine hio
Wanyonge endeleeni kujadili mambo za altezza,harrier tako la nyani,brevis,bmw 3 series(e46,e90),mercedes c-class(W202,W203) na gari za kinyonge kama hizo.
Hayo maprado waachieni wenyewe.
Ndege labda kama bombadia ila sio gulfstream ππππ[emoji23][emoji23][emoji23]Watu hawajui tu mkuu! Nmeangalia review za hiyo prado ya mwaka huu utafikiri uko kwenye ndege.
Mkuu siyo kila mtu ni masikini hapa nchiniHuna uwezo wa kuinunua unachangamsha genge tu..yani udundulize hadi milioni 200? Kadanganye watoto
Sie kina kapuku tunajua mahesabu tu. Mnunuzi hatupati kwa mathematic πMkuu hiyo sio bilioni.
Ni 161 milioni
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Bado Tax.....Mkuu hiyo ni milioni 161
Hiyo gari ikiwa brand new pe Toyota ni milioni 224