Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mafundi hawazikimbii hizi engine?P
Prado 4th gen zote nzuri nilianza zipenda kipindi ziko chache 2016 . .. nikaanza fatilia kodi ya 2009 ilikuwa kodi mil 30 ..used hadi bandarini ilikuwa 50M kwa hio kwa 80m na kidogo unaeza pata
Naona used pia za 2012/2014 bongo kwa mil 120-150
Kwanzia 2015 walianza tumia engine yangu mpya pendwa 1gd ftv 2.8L 4cyl very powerful ... later wakaweka kwa hiace na hilux usiombe kutana nayo gari yoyote yenye engine hio