Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
kwa hiyo kwa akili yako stendi ya basi tu ndio inafanya city kuwa modern?😀😀😀😀nataka nikuulize swali moja tu...mtalii atakapokuja Nairobi apate Pinnacle tower na Montave tower kisha aje Dar aone bus stand unadhani atasema ni mji upi ulio modern?? usijibu kwa ushabiki..jibu tu kwa kusema ukweli...kisha pia nasi tunajenga hii ila sioni kama ndio itafanya Kenya kuwa the most modern country...How comes wakati nairobi itakua hivi View attachment 773309
Meanwhile Dar View attachment 773310
Ipi ni modern