Hizi projects zitaifanya Dar kua unbeatable lifetime modern city in East Africa

Hizi projects zitaifanya Dar kua unbeatable lifetime modern city in East Africa

Kilaza mwingine😀😀 Tallest buildings hujengwa na serikali au wawekezaji ?? Lakini kwa kuwa umelopoka watu wa system walioko humu wanaenda kulifanyia kazi😀😀 Thats how we operate with JF
kabisa.........kama kawaida yetu
 
Nairobi is the most modern city in EA and will always be...hapo tumemaliza...
 
zikikamilika itawapa boost nakubaliana na hio mkuu ila kusema kuwa ndio itakuwa the most modern city in EA baada ya stendi ya basi sikubaliani...hapo ndio nina tashwishi nayo ila kwa sgr yenu nawapa tick kabisa
Mtoa thread kahainisha miradi mingi. Kunazaidi ya stendi Tatu za mabasi pamoja na masoko😀😀Pia mradi wa DMDP utakuwa na stendi zake na masoko yake, drainage/sewage system, barabara za kisasa, flood control system pale jangwani pamoja na vyoo na bafu za kisasa. Pia phase two ya mwendokasi itakuwa na stendi zake za kisasa😀 Kwa ninî Dar isiwe the most modern city in East Africa ?? 😀😀 Jua bado kunampango wakuweka Tram rail system😀😀
 
Nairobi is the most modern city in EA and will always be...hapo tumemaliza...
Itabaki kuwa ndoto kuwa the most modern city. Kuna mzungu alitembelea miji yote ya East Africa na alikili Dar iko modern zaidi ya Nairobi.😀
 
Hivo wewe unaona kuna maendeleo hapo?kama maendeleo ni picha basi hayo ni maendeleo tena makubwa sana.

Kipindi ujenzi wa barabara za Mwendokasi unaanza tulionyeshwa hivi hivi mipicha ya kung'aa ila kwenye reality wenyewe tumeona matokeo yake,pale pale tulipoonyeshwa picha za kituo kizuri cha hayo mabasi pamekuwa ndo hapakaliki panatia hasara bus zinafia pale barabara lenyewe halipitiki alimradi vurugu.

Mie sio mwanasiasa,fuatilia post zangu humu na ujue sio kila anaepingana na wewe ni mwanasiasa na kwa sababu siasa zimekujaa kichwani hata ile akili yakufikiri tofauti umeitoa.hii sio dalili nzuri kwa kizazi chako.

Wewe unachuki zakishamba sana
Ulitakaje labda
 
Inamsaidia nini Mtanzania
nanyi stendi ya basi inamsaidia nini mkenya? swala ni kuwa mnaimba ati stendi ya basi itaifanya dar kuwa most modern city in EA...hapo ndio mnajidanganya mchana peupe
 
lazima ujibu kwa matusi? umesahau ulilishwa ban juzi au? niulize swali nitakujibu tu...kwa matusi unajiaibisha tu
Naona una force mimi kupewa ban😀 When was that ?? 😀 Kilaza sio tusi balini ufikili wa mtu.😀
 
Itabaki kuwa ndoto kuwa the most modern city. Kuna mzungu alitembelea miji yote ya East Africa na alikili Dar iko modern zaidi ya Nairobi.😀
akili za kitumwa hizi...so mzungu mmoja akisema ndio unaamini kuwa ukweli??
 
Kenyans keep looting public money and use it for private projects like scyscrapers.

Now the city and suburb roads are pathetic and sewage and slums flows at every corner of their filthy towns because the public money is all looted
 
Naona una force mimi kupewa ban😀 When was that ?? 😀 Kilaza sio tusi balini ufikili wa mtu.😀
yaani ulimwaga povu kana kwamba ulkua na mimba duh!!😀😀😀nani kakukasirisha hivyo we jamaa
 
Kenyans keep looting public money and use it for private projects like scyscrapers.

Now the city and suburb roads are pathetic and sewage and slums flows at every corner of their filthy towns because the public money is all lootes.
mkaazi mwingine wa nchi ldc😀😀😀😀
 
Tunajenga tatu city na konza city lakini sijaskia au kuona wakenya wakijigamba hapa, hizo ni projects ambazo zishaanza tiyari. Na zingine kadhaa bado ziko kwa proposal kama hii yenu.
Tatizo lako wewe ni mgeni humu. Thread za Tatu na Konza ziko humu kama white elephant project😀😀
 
Kwahiyo jangwani tumeshakubaliana kufugia kuku na misukule?

Mkuu kuhusu hilo la jangwani,haikuwa sahihi kuhamishia kituo ubungo na kuwekeza(kupoteza) 50billion-eti kuweka makao mapya ya DART!
*Kwa akili tu za kawaida,kituo cha jangwani kilipaswa kifanyiwe ‘ukarabati wa kiwango cha kati’ kuelekeza mkondo wa maji kutoathiri utendaji wa kituo,ambao hata 10billion ingetosha na tatizo lingeisha kabisa.....
*Sema ndo ivo tena ‘waliopanga wamechagua’
 
Back
Top Bottom