Disciplinarian
Senior Member
- Feb 1, 2017
- 127
- 103
Amia kwenye jukwaa la siasa kabla sijakulambisha kundu. Huku hatutaki wanasiasa.
Mbona ushalamba sasa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amia kwenye jukwaa la siasa kabla sijakulambisha kundu. Huku hatutaki wanasiasa.
Pia sehemu zakupumzikia zipo kwenye mradi wa DMDP. Pitia hii video
This should be integrated with the sgr station.
I hope it's not isolated.
How far is this bus stand from the SGR station at Dar?
Hivi kwa akili yako unamuamini BASHITE? Bashite hajawahi kufanikisha Projects yake hata MOJA anafanya hivyo kwa ajili ya Agenda Settings / KIki kwa Pikipiki.
Issue ya Pili ni Kupiga pesa tu kwa kutumia MAYANGA Constructions Company au Kampuni Zake Zilizojificha Kujenga hizo projects nyie fuatilieni tu kwa umakini hizo kampuni kubwa zilizochukua tenda ya kujenga lazima zina mikono ya wakolomije na mziramkende.
Wakenya mnaponda miradi yetu yote kama ilivyokua Kwa BRT ndivyo itakavyokua Mara 10 zaidi maumivu yake ikikamilika tusisikie mnaililia serikali yenu kama mlivyolialia baada ya brt kuzinduliwa mlichafua tweetsnanyi stendi ya basi inamsaidia nini mkenya? swala ni kuwa mnaimba ati stendi ya basi itaifanya dar kuwa most modern city in EA...hapo ndio mnajidanganya mchana peupe
Altemi ndiye mungu wetu mkuu .ninani asiyejua kuwa mungu Mke Altemi ndiye mungu mkuu basi aina aja ya kufanya fujo .....ndivyo wakenya mnavyo jidanganyanarudia..nairobi is the most modern city and will always be...haya mengine kelele tu
Yani nyie jamaa sijui mkoje, kila kitu ni kupinga kwamba hakina faida kwa mtu fulani. Haya hiyo sukari ikipiganiwa ikapatikana mtasema tena haimsaidii mtanzania wa sehemu fulani maana hana hela ya kununua. Huyo mwananchi wa sijui mpitimbi si lazima atumie hiyo stand kama haji Dar, mbona unafikiri kwa kutumia makalio aiseeee. Hebu jirekebisheni bwana mnatia aibu, mnakosoa hadi visivyo vya kukosoa. Nini mlichofanya nyie ambacho kimemfikia kila mtanzania, siku zote wapo watakaofaidia direct na wengine indirect. Tumieni akili bhana inaonyesha mlivyo dahaifu.Kujazana upepo tu,hiyo stand na hizo hotels zitamsaidia nini mwananchi aliyeko kule Mpitimbi huku kg 1ya sukari akiinunua Tsh2,600/= mafuta ya kupikia kipimo 1,000/=
Sasaivi kuna hiko mnachoita mwendokasi,bora mtu akapanda guta atawahi anakoenda kuliko kusubiri hayo madude,hakuna tunachoweza kusimamia kikaenda straight vyote hovyo hovyo tu.
Wakenya mnaumia sana mkiona maendeleo ya Tanzania. Hiyo picha hapo juu mi Miamihii inajengwa Naivasha...ebu fananisha sasa tuone😀😀industrial park plus train station plus bus station plus business centre...ujenzi unaisha 2019
![]()
Kwikwikwikwikwihahahaha umejibu vizuri ila nataka utafakari tena mji wa Nairobi ukiwa na Pinnacle tower na Montave tower na mambo mengine...nasi pia tunachanganya mahindi na maharage pia...ingawa tumekosa stendi ya basi, tuna mambo mengine ambayo yanaifanya mji kuwa modern-looking..mfano kuna ile mall ambayo ndio kubwa kabisa barani nje ya afrika kusini...na hii hapa chini pia..hii ni stesheni tu ya mabasi na treni pamoja na industrial park ambayo inajengwa pia..
![]()
Daaa kweli wakenya ni wahuni kumbe ni Miami [emoji15] [emoji15]
Huyo jamaa huwa anatulisha matango. Anakwambia ujenzi wanamaliza 2019
Kati ya maneno 100 ya wakenya amini moja tu.Huyo jamaa huwa anatulisha matango. Anakwambia ujenzi wanamaliza 2019
NakaziaUjenzi ukianza mniite hapa.
I can not believe these guys can stoop this low!
Aisee....mimi nilifikiri wana majigambo ya kishamba tu kumbe ni waongo waliokubuhu!Kati ya maneno 100 ya wakenya amini moja tu.
Kiufupi atasema Dar ni city which is more modern than Nairobi.Majengo yanayo hudumia jamii ndoyaunafanya mji kuonekana wa kisasa zaidi. Kwa mfano johanesbarg and pretoria hawana tallest building but ni miji ambayo iko modern zaidi Africa. Nenda London na Paris hawana skyscrapers nyingi lakini miji yao iko modern sana kutokana na miundombinu ya kiserikali. The list is endless😀😀 Tatizo hamtembei. Mmekaa kibera hapo mnapigwa na baridi.
Kuna mzungu aliulizwa btn Nai and Dar which is more modern akadai Dar. Bisha nikuletee evidence.
Wanazingua sana hawa jamaa. Ndio tabia yao. Hawawezi kukuonesha vyao.Daaa kweli wakenya ni wahuni kumbe ni Miami [emoji15] [emoji15]
Wewe pale Tandale kwa slum stand ya basi inakusaidia nini?Sasa Jengo Lenye Ghorofa nyingi Mtu analala kwenye Slum kweli litamsaidia!
Mtu aliye na akili timamu huyu.Dar haiwezi kuwa modern city hata siku moja. Haiwezekani jiji chafu lisilopangika liwe modern, tujenge tu hizo stands za mabasi ili walau tufurahi, Ila hakuna modernity yoyote katika jiji hili.