Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
- Thread starter
- #41
🤣🤣🤣 hiyo ni sawa na kupigana na simba wa kuchorwa tu.unaingia youtube unatafuta video za radiradi na ngurumo unavaa earphones ongeza sauti mpaka mwisho unazisikiliza
Kinachohofisha ni ile kuona/kuhisi kwa huu mpasuko wa hii radi bila shaka inatuwa mwilini.