Hizi radi leo kazini kwangu kuna kazi

Hizi radi leo kazini kwangu kuna kazi

unaingia youtube unatafuta video za radiradi na ngurumo unavaa earphones ongeza sauti mpaka mwisho unazisikiliza
🤣🤣🤣 hiyo ni sawa na kupigana na simba wa kuchorwa tu.

Kinachohofisha ni ile kuona/kuhisi kwa huu mpasuko wa hii radi bila shaka inatuwa mwilini.
 
Ke au Me?
Screenshot_20250201_171915_Google.jpg
 
Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.

Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.

Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi yangu ni uvuvi vuta picha tunakwenda baharini mbaaali kutoka nchi kavu.
huko hakuna kibanda wala mti ni maji tu. na inasemwa radi hushuka katika vitu virefu, mule baharini vitu virefu huwa ni sisi wavuvi na chombo/boti zetu.
Dah inahofisha sana.
Usiogope radi ogopa anayeileta na kuikadiria ipige wapi na impate nani vinginevyo hofu yako haitakusaidia kitu, mwabudu Allah na kumuomba akuepushe nayo hapo utakuwa umefanikiwa.
Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.

Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.

Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi yangu ni uvuvi vuta picha tunakwenda baharini mbaaali kutoka nchi kavu.
huko hakuna kibanda wala mti ni maji tu. na inasemwa radi hushuka katika vitu virefu, mule baharini vitu virefu huwa ni sisi wavuvi na chombo/boti zetu.
Dah inahofisha sana.
 
Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.

Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.

Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi yangu ni uvuvi vuta picha tunakwenda baharini mbaaali kutoka nchi kavu.
huko hakuna kibanda wala mti ni maji tu. na inasemwa radi hushuka katika vitu virefu, mule baharini vitu virefu huwa ni sisi wavuvi na chombo/boti zetu.
Dah inahofisha sana.
Ndio changamoto za maisha, tuombe Mungu radi zisiwe na madhara wavuvi wetu. Nchi zilizoendelea wenzenu wanatumia meli, hivyo wangeweza kujificha humo hapo nguvu ya asili haitabiriki.
 
Back
Top Bottom