Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
- Thread starter
-
- #41
🤣🤣🤣 hiyo ni sawa na kupigana na simba wa kuchorwa tu.unaingia youtube unatafuta video za radiradi na ngurumo unavaa earphones ongeza sauti mpaka mwisho unazisikiliza
Ah basi bwana nimekosa zali ila wahenga walishawahi kusema wasiwasi ni akili.ke huyo [emoji3]
ni kweli make nasikia ni mtu wa rangi rangiAh basi bwana nimekosa zali ila wahenga walishawahi kusema wasiwasi ni akili.
endelea kupambana ndio maisha mkuuMkuu wavuvi ni nani mbele ya radi hadi tusiiogope, hujawahi kusikia radi imepasua wavuvi? Masika ya mwaka jana imepasua wavuvi wawili huku niliko tena ni ndugu (mdogo na kaka)
Rangi rangi ndiyo nini mkuu?ni kweli make nasikia ni mtu wa rangi rangi
Ke au Me?
Huachiii😉Kama ni mdada uje tuliwazane jamani, hizi radi na ngurumo zinatisha sana🥲😄
jinsia1Rangi rangi ndiyo nini mkuu?
Namiguvu hiyo unaogopa radi?smh
Hili beberu hili kuna post namba 48 ya mdau mwingine inaashiria hivyo.jinsia1
Haachi nini mkuu?Huachiii😉
Anajua mwenyewe!Haachi nini mkuu?
[emoji3]huendaHili beberu hili kuna post namba 48 ya mdau mwingine inaashiria hivyo.
Utakuwa tayari umekata fyuzi.Mkuu unamaanisha radi inayokudhuru huwahi kuisikia?
Usiogope radi ogopa anayeileta na kuikadiria ipige wapi na impate nani vinginevyo hofu yako haitakusaidia kitu, mwabudu Allah na kumuomba akuepushe nayo hapo utakuwa umefanikiwa.Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.
Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.
Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi yangu ni uvuvi vuta picha tunakwenda baharini mbaaali kutoka nchi kavu.
huko hakuna kibanda wala mti ni maji tu. na inasemwa radi hushuka katika vitu virefu, mule baharini vitu virefu huwa ni sisi wavuvi na chombo/boti zetu.
Dah inahofisha sana.
Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.
Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.
Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi yangu ni uvuvi vuta picha tunakwenda baharini mbaaali kutoka nchi kavu.
huko hakuna kibanda wala mti ni maji tu. na inasemwa radi hushuka katika vitu virefu, mule baharini vitu virefu huwa ni sisi wavuvi na chombo/boti zetu.
Dah inahofisha sana.
Pamoja kiongozi ile hali ya hewa ishapotea muda tu na tumerudi tupo kitaa tunavimba.Pole sana mkuu
Ndio changamoto za maisha, tuombe Mungu radi zisiwe na madhara wavuvi wetu. Nchi zilizoendelea wenzenu wanatumia meli, hivyo wangeweza kujificha humo hapo nguvu ya asili haitabiriki.Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.
Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.
Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi yangu ni uvuvi vuta picha tunakwenda baharini mbaaali kutoka nchi kavu.
huko hakuna kibanda wala mti ni maji tu. na inasemwa radi hushuka katika vitu virefu, mule baharini vitu virefu huwa ni sisi wavuvi na chombo/boti zetu.
Dah inahofisha sana.