Hizi sasa sifa; Baada ya kolabo na Rick Rosey, Diamond kuja na kolabo na Omarion

Hivi kwanini diamond hawezi kusimama yeye kama yeye kama davido? Kila siku lazima ashirikishe mtu? Mbaya zaidi anashirikisha wasanii wakubwa lakini nyimbo zenyewe hazihit kama zamani, za kawaidaa sana
Hazihit kama zamani? Mkuu umelewa nini? Nyimbo za diamond sasahivi zinapofika zamani ilikuwa ni ndoto tu kwake

Nenda kaangalie mauzo kwenye online platform urudi hapa
 
Ambao wanaponda Diamond kufanya collabo na wanamuziki wa nje wanaufahamu mdogo sana kwenye kitu kinaitwa Soko la Muziki. Anachofanya Diamond ni kuongeza soko,Fan Base. Unapofanya collabo na msanii mkubwa mashabiki wake watataka kumsikia msanii wao amefanya nini kwenye collabo hivyo kuongeza soko kwa Diamond.
kesho na keshokutwa akipiga views 1m kwa saa mtaaza kujiuliza imekuaje amenunua viewers,kumbe ni akili tuu ya kucheza na soko na hivi ndivyo linavochezewa.
 
Hahaha mnachofanya ni kumpambanisha na yeyote mnaehisi yupo juu ya kiba...mlianza na darasaa saivi ashlay mkihisi mtu anajitahidi kumpita kiba basi mnampambanisha na simba
 
kolabo na wasanii ambao washajifia kitambo... kwanini asipige kolabo na Drake au Justin bieber kama wizkid... mbafuuuuuu
 
kolabo na wasanii ambao washajifia kitambo... kwanini asipige kolabo na Drake au Justin bieber kama wizkid... mbafuuuuuu
Mkuu chukua form unaweza kushinda mashindano ya haters duniani...nafikiri hii haishii kwa diamond tuu
 

Diamond Platnumz ashoot video na Omarion, Zari The Bosslady ampa kampani,
 
Inashangaza sana kuona watu wanatarajia iko siku wasanii wataacha kuibuka na mambo ya kuandikwa kwenye mitandao. Hiyo ndio inawafanya waishi na msingi wa kazi zao za kisanii. Wasipoandikwa, kwisha habari yao. Kwa maana hiyo, watafanya kila linalowezekana kuhakikisha wanaendelea kuandikwa.
 
 
Mkuu chukua form unaweza kushinda mashindano ya haters duniani...nafikiri hii haishii kwa diamond tuu
huo ndo ukweli siyo kolabo mradi kolabo tuu....au apige na kanye west aliyemsifia kiatu chake kizuri hahahaaaaa ya rick sawa,neyo sawa ila OMARION!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! HAPANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…