realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Hongera sana MkuuMimi statu ana view mpaka waziri sifichagi kitu kabisa sijawai hide
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana MkuuMimi statu ana view mpaka waziri sifichagi kitu kabisa sijawai hide
Asante mkuu nimefurahi pia,. Unaendeleaje na hali?
Ila niny wadada mnapenda kujipost sanaHongera sana Mkuu
Salama mkuu wifi yako ndio bado ananivuruga hatari huyu mtoto atakuja kuniuwa kwakweli😄Asante mkuu nimefurahi pia,. Unaendeleaje na hali?
Duuh,. Hapo inabidi tu useme na Moyo wako sasaSalama mkuu wifi yako ndio bado ananivuruga hatari huyu mtoto atakuja kuniuwa kwakweli😄
Sasa JeIla niny wadada mnapenda kujipost sana
Na kuchambana sioSasa Je
Hahahah huyu atakua ka hide wote ili aone peke yake mkewe😃ume hide namba tofauti au umeseti aone peke yake
Mwanangu uza hio Tecno F1 uliyonayo chukua hata Infinix HOT 50 ipo kama I phone. Usitumie tena Tecno, Mimi kunasiku nilikuwa na Tecno nimeperuzi mtandaoni baada ya kumaliza nimeieka mfuko kuja kuiwasha nakuta simu imejituma sms kwa mama mkee Ina sema, Utamu niliokupa jana uliinjoy, siku ile ndy ilikuwa mwisho wa kutumia simu ya Tecno.Habari 👋
Moja kwa moja kweny mada.
Aisee, Leo nimeyakoroga, leo majira ya mchana kabla ya kuweka status kuna mtu nilim-hide kweny option settings za "status privacy", then nikapost, alaf nikazima data nikaendelea na shughuli zangu.
Asaiv nimerudi home nimewasha data nakuta message kibao za yule mtu niliyem-hide, tena ame-reply kweny ile status niliyopost, nikaenda kuangalia status views nikamuona ame-view, nikaenda kule tena kweny settings za 'status privacy' nikamwona bado nimem-hide.
Sasa hapa najiuliza hizi settings zinafanya kazi kweli, kama hazifanyi kazi watuambie kabisa ili watu wasije wakaharibu mahusiano na ndoa zao huu msimu wa valentine.
Ohooo!
Kuchambana hizi sio pigo zangu 😊 mimi nina vitu vitu vyanguNa kuchambana sio
Ahah embu nisev namb niwe navion ivyo vituKuchambana hizi sio pigo zangu 😊 mimi nina vitu vitu vyangu
Asante sana mkuu kwa salamu🫶.
Una moyoMimi sasa
Profile picture: everyone
About: everyone
Last seen: everyone
Online: everyone
Status: my contacts
Unaonekana una mipashoWell, saa ingine privacy inazuia mambo mengi ya husda.
Ila kama unaitumia isivyo ni mbaya.
Pole na valentine njema.
Ukute anatumia ile whatsap GB...ungemtia block tuHabari 👋
Moja kwa moja kweny mada.
Aisee, Leo nimeyakoroga, leo majira ya mchana kabla ya kuweka status kuna mtu nilim-hide kweny option settings za "status privacy", then nikapost, alaf nikazima data nikaendelea na shughuli zangu.
Asaiv nimerudi home nimewasha data nakuta message kibao za yule mtu niliyem-hide, tena ame-reply kweny ile status niliyopost, nikaenda kuangalia status views nikamuona ame-view, nikaenda kule tena kweny settings za 'status privacy' nikamwona bado nimem-hide.
Sasa hapa najiuliza hizi settings zinafanya kazi kweli, kama hazifanyi kazi watuambie kabisa ili watu wasije wakaharibu mahusiano na ndoa zao huu msimu wa valentine.
Ohooo!
[emoji23]mazaga yote mkuu yapo chatlockUna moyo