Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Last time kushika simu yake niliona anatumia whatsapp ya kawaida, labda kama kabadilisha.ahaa anatumia wasap gan mana we unatumia official from playstore
Block ni hukumu kubwa sana, nikisahau ku-unblock si itazua matatizo mengine?sIku nyingine uwe unablock,. Au labda ulipost ndio ukamuhide
Nalo neno🤣😂🤣😂😃ume hide namba tofauti au umeseti aone peke yake
yeah hii
😅 😅 😅Mwanangu uza hio Tecno F1 uliyonayo chukua hata Infinix HOT 50 ipo kama I phone. Usitumie tena Tecno, Mimi kunasiku nilikuwa na Tecno nimeperuzi mtandaoni baada ya kumaliza nimeieka mfuko kuja kuiwasha nakuta simu imejituma sms kwa mama mkee Ina sema, Utamu niliokupa jana uliinjoy, siku ile ndy ilikuwa mwisho wa kutumia simu ya Tecno.
Duuh,. Hasa kama hutaki mtu aone hata posts zako means hana umuhimu sioni tatizo akiblockiwaBlock ni hukumu kubwa sana, nikisahau ku-unblock si itazua matatizo mengine?
Hapana, umewaza mbali sana, ni mtu wa muhimu kwangu, but Sitaki aone that specific post, sio zote.Duuh,. Hasa kama hutaki mtu aone hata posts zako means hana umuhimu sioni tatizo akiblockiwa
Una uhakika? Sio kwamba ni kinyume?Saa hizi mtu wako wa mana ndo uliweka asione ili huyo mwingine mpitaji afurahi. Lol.
Pole sana Mkuu.
Kama hivyo sawaHapana, umewaza mbali sana, ni mtu wa muhimu kwangu, but Sitaki aone that specific post, sio zote.
Nyooo waziri wa wizara gani?? Mtafanya tuogope ata kuwasilimia humu kujimwambafy tuu 😂😂 fyoko fyokooMimi statu ana view mpaka waziri sifichagi kitu kabisa sijawai hide
Kwamba una post biashara zako zilee, na me niwe naangalia nikuungise kiongozi 🤣Kuchambana hizi sio pigo zangu 😊 mimi nina vitu vitu vyangu
😂😂😂 umeongea kitu uzima mkuu nmekumanyaaZinafanya kazi wewe utakuwa umekosea. Zote zinafanya kazi, naongelea uzoefu hapa.
Mambo madogoNyooo waziri wa wizara gani?? Mtafanya tuogope ata kuwasilimia humu kujimwambafy tuu 😂😂 fyoko fyokoo
Sasa kama nataka Mama yangu asione status zangu ndo nimblocksIku nyingine uwe unablock,. Au labda ulipost ndio ukamuhide
Sina biashara 😜najiposti mwenyeweKwamba una post biashara zako zilee, na me niwe naangalia nikuungise kiongozi 🤣
😂😂 Tatizo unani mix, una hang na mawaziri huyo huyo unaelezea kona za mbususu bei chee za riverside yani unajua machimbo yote za maafisa utamu mweeh ila jf 🙌Mambo madogo