Hizi Settings za 'Status Privacy' za Whatsapp zinafanya kazi kweli?

Mwanangu uza hio Tecno F1 uliyonayo chukua hata Infinix HOT 50 ipo kama I phone. Usitumie tena Tecno, Mimi kunasiku nilikuwa na Tecno nimeperuzi mtandaoni baada ya kumaliza nimeieka mfuko kuja kuiwasha nakuta simu imejituma sms kwa mama mkee Ina sema, Utamu niliokupa jana uliinjoy, siku ile ndy ilikuwa mwisho wa kutumia simu ya Tecno.
 
Ukute anatumia ile whatsap GB...ungemtia block tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…