Hizi show za Wasanii kwenye hafla mbalimbali anayepanga Wasanii mbona kama anapendelea WCB?

Hizi show za Wasanii kwenye hafla mbalimbali anayepanga Wasanii mbona kama anapendelea WCB?

goodlif1600

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2016
Posts
805
Reaction score
877
Habari za jioni Wana JF wenzangu

Nimekua nafuatilia show za wanamuziki na matukio mbalimbali yanayoendelea nchini kwetu napenda nitoe tafakuri yangu juu ya hizi shows wanazoalikwa wanamuziki kwenda kuperform kwenye hafla hasa hizi za kisiasa naona Kama zinatawaliwa Sana na WASANII kutoka label moja ya WCB.

Rai yangu kwa anayehusika ni vizuri guess hii wakapewa wasanii bila kuwa na urafiki wala upendeleo kwa sababu naona kama swala hili kimeanza kukomaa na kuota mizizi.

Nawasilisha
 
Sababu ni kua WCB ni tawi la CCM yaani WCB (Waungao CCM Barabara)
 
Alipokuwa anasagiwa kunguni na wanaharakati mlitulia kimya, tulia vile vile na sasa hivi akila kivulini, Diamond alitukanwa kisa CCM halafu unashanga wasanii wake kuitwa katika shughuli za serikali ya CCM!!!Ahahahahaha nchi hii kuna watu wanachekesha sana
 
Back
Top Bottom