Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah...! Unaongea Sana aiseeMpasuko uko since way back, so it's survival of the fittest. Nadhani what bothers you ni kuona WCB artists peke yao ndiyo wamekula shavu, fan base yao inachangia sana kuwapa nguvu na hata organizers wa hizo events wanaliewa hilo hivyo kuwalalamikia eti wajaribu kumridhisha kila mtu that shit ain't easy.
Hao waliotumbuiza ni A list hivyo na hiyo inatosha, next time wanaweza wakawa wengine kwani haiwezekani kila event wapatiwe nafasi the so called A list wote.
Probably pia vigezo na masharti vinazingatiwa(just assuming).
Alikiba yupo vizuri me Ni jirani yake uku tabata. alinunua nyumba akaivunja akajenga gorofa lake .Kama Diamond unamwita ni masikini vip wasanii wengine watakuwa kwenye hali gani kama wa kina Alikiba n.k
Wewe ni mshabiki wake?Alikiba yupo vizuri me Ni jirani yake uku tabata. alinunua nyumba akaivunja akajenga gorofa lake .
Hapana Mimi Ni jirani yake mkuu Ila mwana Yuko peace hana makuu.ngoma zake nyingi nazielewa japo sio zote.Wewe ni mshabiki wake?
Una ishi wapi?Hapana Mimi Ni jirani yake mkuu Ila mwana Yuko peace hana makuu.ngoma zake nyingi nazielewa japo sio zote.