Hizi show za Wasanii kwenye hafla mbalimbali anayepanga Wasanii mbona kama anapendelea WCB?

Hizi show za Wasanii kwenye hafla mbalimbali anayepanga Wasanii mbona kama anapendelea WCB?

Kitu cha kwanza kabisa, usifanye kazi au biashara kwa minajili ya "hiki chakula watoto wanakihitaji".

Yani, usiende kwa ntu kumuomba kazi ufanye akulipe, au kumtaka awe mteja wako anunue bidhaa/ huduma zako, kwa sababu watoto wako wanakufa njaa.
Mkuu Kiranga umelizungumzia hili swala kitaalamu sana. Kama ni mtu mwenye uelewa atakuwa kaelewa, lakini kama alileta hii maada Ili kuchochea ubishani basi apite kishoto.
 
Habari za jioni Wana JF wenzangu

Nimekua nafuatilia show za wanamuziki na matukio mbalimbali yanayoendelea nchini kwetu napenda nitoe tafakuri yangu juu ya hizi shows wanazoalikwa wanamuziki kwenda kuperform kwenye hafla hasa hizi za kisiasa naona Kama zinatawaliwa Sana na WASANII kutoka label moja ya WCB.

Rai yangu kwa anayehusika ni vizuri guess hii wakapewa wasanii bila kuwa na urafiki wala upendeleo kwa sababu naona kama swala hili kimeanza kukomaa na kuota mizizi.

Nawasilisha
Hii imekaa kila kona... Nilisafiri toka DAR mpaka Moshi gari zima ni WCB na konde boy tu, ilibidi nitoe earphone zangu tu niskize hip hop zangu mana zinabaguliwa sana siku hizi
 
Mimi sikumponda kwenye izo issue zake za tuzo ila nawapa taarifa viongozi wangu wa chama waache kuwakumbatia Sana Hawa peke yao wanatakiwa wajue Kuna watoto wengine icho chakula wanakihitaji pia.Badae inaweza leta mpasuko miongoni mwa A list artist
Chakula cha watoto wako unawapaje mbwa, Kwani kule walikopeleka kura za BET hakuna Show!!
 
Ndo faida ya kuwa karibu na serikali wanaharakati wa mitandaoni mnamponda Diamond yeye anatengeza fedha ...
Masikini bwana sasa Diamond Ana fedha gani za maana au kubadirisha midosho.... Kuna Prado Kimara mwenyewe kalikimbia Gari lake...
 
Masikini bwana sasa Diamond Ana fedha gani za maana au kubadirisha midosho.... Kuna Prado Kimara mwenyewe kalikimbia Gari lake...
Hv unaposema Diamond hana fedha unamlinganisha na nani? Utakuwa mpuuzi kulinganisha na Bill Gate ,Jay Z but kwa wasanii wa Bongo nitakuona mpuuzi zaidi ukisema Diamond hana fedha
 
Masikini bwana sasa Diamond Ana fedha gani za maana au kubadirisha midosho.... Kuna Prado Kimara mwenyewe kalikimbia Gari lake...
Kama Diamond unamwita ni masikini vip wasanii wengine watakuwa kwenye hali gani kama wa kina Alikiba n.k
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Back
Top Bottom