goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 805
- 877
- Thread starter
- #21
Kama Shaka ndo ameanza huu ujinga ache Mara moja.tunataka equal chance kwa wanamziki wote kila mmoja afaidi keki ya taifa.A list artist wote wapewe nafasi aisee Mambo ya kila siku WCB tumechokaBoss wao alivyoenda kukutana na shaka nyie wengine mlikuwa wapi