Mkuu Kiranga umelizungumzia hili swala kitaalamu sana. Kama ni mtu mwenye uelewa atakuwa kaelewa, lakini kama alileta hii maada Ili kuchochea ubishani basi apite kishoto.Kitu cha kwanza kabisa, usifanye kazi au biashara kwa minajili ya "hiki chakula watoto wanakihitaji".
Yani, usiende kwa ntu kumuomba kazi ufanye akulipe, au kumtaka awe mteja wako anunue bidhaa/ huduma zako, kwa sababu watoto wako wanakufa njaa.
Mbona huwataji hao wasanii, wenye umati wa mashabiki kuliko WCB au unataka waitwe tu? Hakuna mtu wa kupoteza hela zake ili kufurahisha tu kikimdi fulani. Utaliwa kulingana na uwezo wako wa kudeiliver service.Wanamziki wanaofanya vizuri kwa Sasa wao wengi wapewe nafasi
Walikuwa Twitter kuanzisha linkBoss wao alivyoenda kukutana na shaka nyie wengine mlikuwa wapi
Unafkr Naseeb fala anavyojichekesha kwa katibu Mwenezi?Hao ni watoto pendwa wa serekale
Hii imekaa kila kona... Nilisafiri toka DAR mpaka Moshi gari zima ni WCB na konde boy tu, ilibidi nitoe earphone zangu tu niskize hip hop zangu mana zinabaguliwa sana siku hiziHabari za jioni Wana JF wenzangu
Nimekua nafuatilia show za wanamuziki na matukio mbalimbali yanayoendelea nchini kwetu napenda nitoe tafakuri yangu juu ya hizi shows wanazoalikwa wanamuziki kwenda kuperform kwenye hafla hasa hizi za kisiasa naona Kama zinatawaliwa Sana na WASANII kutoka label moja ya WCB.
Rai yangu kwa anayehusika ni vizuri guess hii wakapewa wasanii bila kuwa na urafiki wala upendeleo kwa sababu naona kama swala hili kimeanza kukomaa na kuota mizizi.
Nawasilisha
Chakula cha watoto wako unawapaje mbwa, Kwani kule walikopeleka kura za BET hakuna Show!!Mimi sikumponda kwenye izo issue zake za tuzo ila nawapa taarifa viongozi wangu wa chama waache kuwakumbatia Sana Hawa peke yao wanatakiwa wajue Kuna watoto wengine icho chakula wanakihitaji pia.Badae inaweza leta mpasuko miongoni mwa A list artist
Mzima wa afya tele.Vipi lakini mumeo ajambo?
Sawa mama kibakuliMzima wa afya tele.
🤣🤣🤣🤣🤣Tunapiga pasi fupi fupi na mashambulizi ya kushtukiza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umechoka wewe na nani? Hivi uandae Tanasha la kisiasa linalohitaji watu wengi, alafu umepeleka Abdu Kiba?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Walikuwa Twitter kuanzisha link
Masikini bwana sasa Diamond Ana fedha gani za maana au kubadirisha midosho.... Kuna Prado Kimara mwenyewe kalikimbia Gari lake...Ndo faida ya kuwa karibu na serikali wanaharakati wa mitandaoni mnamponda Diamond yeye anatengeza fedha ...
Hv unaposema Diamond hana fedha unamlinganisha na nani? Utakuwa mpuuzi kulinganisha na Bill Gate ,Jay Z but kwa wasanii wa Bongo nitakuona mpuuzi zaidi ukisema Diamond hana fedhaMasikini bwana sasa Diamond Ana fedha gani za maana au kubadirisha midosho.... Kuna Prado Kimara mwenyewe kalikimbia Gari lake...
🤣🤣🤣🤣🤣Si mlisema ni wana CCM
Kama Diamond unamwita ni masikini vip wasanii wengine watakuwa kwenye hali gani kama wa kina Alikiba n.kMasikini bwana sasa Diamond Ana fedha gani za maana au kubadirisha midosho.... Kuna Prado Kimara mwenyewe kalikimbia Gari lake...
Ya kufanya Diamond atolewe kwenye nominees.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanasiasa walioishiwa maarifaYa kufanya Diamond atolewe kwenye nominees.
Hii nchi ina wanasiasa weeewe!!
Acha tu