Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

Watoto kila siku wanarudi na homework mpya mzazi uwasaidie. Ukimuuliza anakuambia mwalimu hajamuelekeza akaelewa.

Sasa nalipia ada zaidi ya milioni ili watoto wapewe homework niwe mwalimu wao?
Kwa nini hawawafundishi wanafunzi wakaelewa ndipo wawape hizo home work wakazifanye!?

Wazazi wengine hatuna hulka ya kufundisha na wengine ndio tuliishia la sababa.

Tunatafuta hela na kulipa ada ili walimu wawafundishe sio watuletee homework kuja kutupima ujinga wetu..!! Walimu fanyeni kazi yenu ya kufundisha msihamishe goli.

Mbona kwenye ada hatupunguziwi kwamba tumeshiriki kufundisha watoto hivyo tulipwe stahiki zetu!
ili suala linanifanya nirudi home mapema kwa ajili kufanya homework ya mwanangu ni shiiiiida
 
I'm sure majibu Yapo kwenye notes zake, kama hamna basi yatakuwepo kwenye kitabu, simple technique mnunulie vitabu vyake binafsi kikubwa wasaliana na mwalim umuulize kitabu gani anatumia kuwafundishia,,, then mzoeshe mwanao kusoma vitabu wanavyotumia shule baada ya hapo I'm sure kuletewa maswali ya homework it's going to be hostory for you
Shukrani kwa ushauri wako mkuu,ila vitabu karibia vyote anavyo..ni jana tu nme experience homework aliyo pewa ikiwa advanced mnoo..haijawahi tokea.
Nliperuzi kwenye kitabu sikupata majibu,ikanilazimu ku goggle pia sikufanikiwa.
 
Hakika umesema kweli yani kwa sasa na mm najiona nipo grade 3 A hahaha maana leo uataulizwa what is th process of changing liquid to gas mara draw coat of arm yan kwa kwel inachosha.

Huwa nawaza vipi kwa wale wazazi ambao hawajafika hata form four hawa watoto wanawasidiaje home work
Bado asubuhi hujakumbushwa kusign diary
[emoji28] Yaani kuna wakati napiga chenga, nampasia kwa wife!
Wife akiirudisha namwambie twende Google haya mambo nishayasahau!!
 
Watoto kila siku wanarudi na homework mpya mzazi uwasaidie. Ukimuuliza anakuambia mwalimu hajamuelekeza akaelewa.

Sasa nalipia ada zaidi ya milioni ili watoto wapewe homework niwe mwalimu wao?
Kwa nini hawawafundishi wanafunzi wakaelewa ndipo wawape hizo home work wakazifanye!?

Wazazi wengine hatuna hulka ya kufundisha na wengine ndio tuliishia la sababa.

Tunatafuta hela na kulipa ada ili walimu wawafundishe sio watuletee homework kuja kutupima ujinga wetu..!! Walimu fanyeni kazi yenu ya kufundisha msihamishe goli.

Mbona kwenye ada hatupunguziwi kwamba tumeshiriki kufundisha watoto hivyo tulipwe stahiki zetu!
Jana tumediscuss hili na mwenza wangu.. Ualimu ni kipaji, kiukweli inaboa
 
Issue ni pale umemsaidia mwanao halafu anakwenda shule anakosa yale majibu kumbe ulimlisha sumu.hapo unakuwa umekosa wewe siyo mtoto
Kuna jamaa yangu yeye ni std 7 but kwa kweli anajitahidi sana watoto wasome hizi English medium. Sasa katoto kake ambako kako std one baada ya kugundua baba akimsaidia home work huwa mara nyingi anakosa, basi dogo akielekezwa anaandika vizuri but akifika shule ana rafiki yake wanakaa tena anafuta majibu yote aliyofanya na baba yake na kuandika ya rafiki yake, na huwa anapata.
 
Hao sio walimu ni makanjanja aseeh
Unakuta namjazia dogo halafu anaenda kukosa yote imagine...
 
Masomo kama SOCIAL STUDIES ni magumu kweli kweli. Mtoto darasa la tano anapewa swali la homework utadhani ni A level- "Explain in details the benefits and challenges of Regional integration by siting examples in economic, social and other aspects "!! [emoji86][emoji86][emoji86]

Mimi mzazi, I am like...seriously? [emoji56].

Sijui elimu siku hizi ipoje?
Shule za Tanzania ni majanga. Wanakaririsha watoto mambo magumu bila kuelewa.
 
Punguza jazba huwo ni wajibu wako
Acheni unafiki aseee...!
Hakuna homework inayofanywa na mwanafunzi akishirikiana na mzazi NO HAKUNA..!.

Mzazi huwa anafuatilia kama dogo amefanya hiyo homework nani pale ambapo mwalimu alimfundisha so hiyo homework ni kumpima kama ameelewa that why mzazi unafuatilia.

Sijui shule mlizosoma ziliwafundisha kitu gani 😬!.
 
Mtahangaika saana na hizo elimu za wakenya,Ila mtakutana na wanetu wa kayumba kule chuo na fm 6 hapo ndipo mtajua kwa nn mtt hapaswi kufundishwa kila kitu, nyie waleeni km maboya huku wakipunguza upendo kwenu na kuwapenda akina madam,toto linamaliza shule hata lugha ya Salam ya kwao halijui,halijui hata kufua nguo zake za ndani lenyewe ni kulia tu dadaaaaaa ,mwisho wa siku likienda boarding 6 au chuo linakuwa shoga ,vidada vinaliwa mparange hadi baasi,tumewaona vyuoni na tumesoma nao
Elimu and shirikishi,pole usichoke

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Hizi shule ni vituko sana. Uzi huu ulikiwa wa maana sana kwao.
Halafu kuna topic haziwafai wale wadogo sana. Mwingine wa std 3 walifundishwa mambo ya malaria na matende. Niko na mgeni siku hiyo tena mkwe akaniita "Mabusha ni nini", nilishtuka nikamwambia nenda nje dada (wa kazi) atakuambia...
 
Unachotakiwa ni kumfafanulia aelewe nini swali linataka si kumpa jibu.
Jibu atakaloandika kama si sahihi unajitahidi kujadili nae zaidi ili apate kufikiri na kuona wapi kakosea arekebishe. Katika madarasa ya chini huwa wanasomewa waseme majibu sababu hata kusoma wanakuwa hawawezi lakini akiulizwa what is the colour of your hair anatoa jibu.
 
Mtahangaika saana na hizo elimu za wakenya,Ila mtakutana na wanetu wa kayumba kule chuo na fm 6 hapo ndipo mtajua kwa nn mtt hapaswi kufundishwa kila kitu, nyie waleeni km maboya huku wakipunguza upendo kwenu na kuwapenda akina madam,toto linamaliza shule hata lugha ya Salam ya kwao halijui,halijui hata kufua nguo zake za ndani lenyewe ni kulia tu dadaaaaaa ,mwisho wa siku likienda boarding 6 au chuo linakuwa shoga ,vidada vinaliwa mparange hadi baasi,tumewaona vyuoni na tumesoma nao
Mwl misenyi wanasemaje hapo

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Halafu kuna topic haziwafai wale wadogo sana. Mwingine wa std 3 walifundishwa mambo ya malaria na matende. Niko na mgeni siku hiyo tena mkwe akaniita "Mabusha ni nini", nilishtuka nikamwambia nenda nje dada (wa kazi) atakuambia...
Hamtaki wajue matumizi yakondom mapema

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Na bado hawawalipi kwa wakati, kila siku walimu wanaondoka wanatafuta wengine. Mtoto wangu naambiwa mwezi wa sita hawafungi (form two) wazazi tutoe laki 3 za chakula na gharama zingine wakati wa likizo. Tena wanakupigia simu wanakwambia tunazihitaji haraka tukanunue chakula kwani ni bei rahisi sasa, sijatoa na bado natafakari sana
Usitoe tuone watamfanyaje huyo mtoto,kuna shule wanafikiri wazazi hela wanaokota mxiuuuu
 
Usitoe tuone watamfanyaje huyo mtoto,kuna shule wanafikiri wazazi hela wanaokota mxiuuuu
Nawasikilizia na nitafutilia nijue miongozo, laki 3 nyingi sana ni hela familia wanakula mwezi mzima hata na zaidi wenyewe wanaitaka kwa mtoto mmoja tu.
 
Acheni unafiki aseee...!
Hakuna homework inayofanywa na mwanafunzi akishirikiana na mzazi NO HAKUNA..!.

Mzazi huwa anafuatilia kama dogo amefanya hiyo homework nani pale ambapo mwalimu alimfundisha so hiyo homework ni kumpima kama ameelewa that why mzazi unafuatilia.

Sijui shule mlizosoma ziliwafundisha kitu gani 😬!.
Sasa unabisha nini mkuu, au unajua mazingira ya shule zote nchi hii?
 
Niliwahi kumfanyia dogo homework akaenda akakosa yote
Hebu kila mtu afanye kazi yake wasee mi na stress zangu za pesa na kujipiga na nyundo kwenye vidole badala mwalimu ufanye kaz yako unaniongezea mzigo na mm tena?
Ha ha ha ha
Mtoto alijua Mzazi yupo Nondo
 
1. Permanent farming
2. Shifting farming

Kama nimekosea wadau watanisahihisha maana mimi mwenyewe elimu yangu ni ya form 4 ya kufeli tena QT
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sedentary farming
Nomadic /shifting cultivation
Maswali ya form 2 topic ya Agriculture
 
Back
Top Bottom