Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Maskini hana kiapoMimi kisamvu sili maisha yangu yote, siipendi hata ipikwe kwa nazi 10!
Epuka jaza tumbo a.k.a bora liende.Mimi kisamvu sili maisha yangu yote, siipendi hata ipikwe kwa nazi 10!
Epuka utapia mlo. Hauwezi kula majani ya viazi 🥔 ukasema umekula mboga. Tafuta broccoli 🥦 spinach na lettuce 🥬Matembele yatoe kwenye hiyo list
Today you choose to cultivate what you didn't cultivate yesterday?You know nothing about nutrients
Dig more knowledge as to get rid from the ignorance hole.
Vilivyowekwa pale juu ni Majani ya SunguraEpuka utapia mlo. Hauwezi kula majani ya viazi 🥔 ukasema umekula mboga. Tafuta broccoli 🥦 spinach na lettuce 🥬
Kwahy tunakula majani ya mbuzi na ng'ombe au siyoEpuka utapia mlo. Hauwezi kula majani ya viazi 🥔 ukasema umekula mboga. Tafuta broccoli 🥦 spinach na lettuce 🥬
Lazima penye ukweli tuseme. Umaskini unatufanya tuzipambe ziwe mboga. Kisamvu mboga ina hatua 11 za maandalizi ili ipikwe iliwe. Hakuna mboga inapikwa more than 6 minutesunamchokonoa Janabi,mtu katulia zake unataka aliamshe.
Ndio, ni vifaa vya photosynthesis kwa ajili ya mimeaVilivyowekwa pale juu ni Majani ya Sungura
Mnakula mitishambaKwahy tunakula majani ya mbuzi na ng'ombe au siyo
Ndio sio mboga ni Majani ya SunguraNdio, ni vifaa vya photosynthesis kwa ajili ya mimea
Majani ya Sungura sema ndio Maisha tu mnavu mtamu sana ukimixiwa na spinach na mapaja ya kukuKwahy tunakula majani ya mbuzi na ng'ombe au siyo