Hizi sio mboga ni jaza tumbo

Hizi sio mboga ni jaza tumbo

Mengine hayo ni magugu, walioyagundua walikuwa wanajaribujaribu wakaona hawajafa wakayaita mboga za majani. Mfano mnavu na mchunga sijui unaitwa.

Mara ya kwanza kuonja mnavu nilikuwa shule, nikahisi supplier wa chakula kakosea mboga kaleta majani ya mbuzi. Nikasikia mchungu na hauna radha ya kustahili kuitwa chakula labda uitwe dawa, nikawaambia wadau leo supplier kapigwa wakulima wamemkusanyia malisho ya mbuzi. Washkaji wakanieleza eti hiyo ni mboga, haikuniingia akilini.
Mnavu ni dawa ya mapunye ya kichwa. Ulikula Griseofluvin.
 
Mboga nisiyopenda ni mlenda kwakweli sijawahi kupenda mlenda japo nikikuta ugenini ndo mboga iliyoandaliwa huwa nagusa kiaina nisionekane nachagua msosi ila bamia napenda ikiwa imepikwa nzima nzima
Hii nimeisahau
 
Mm nadhani inategemea na mapishi mana kuna hizo zilizotajwa hapo zikipikwa vzr utajilamba hadi vidole
Ndio nimesema mixing hata Bata alivyomchafu kuna mpuuzi akimpika utawachukia Bata wote wanapikwa Dunia nzima Ila ukipata mpishi hodari utasaka nyama ya Bata km huna Akili nzuri

Mimi niliwahi kuchukua nyama ya Kondoo sababu ya mpishi
 
Back
Top Bottom