Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Wewe ni mimi Kabisa...Mimi kisamvu sili maisha yangu yote, siipendi hata ipikwe kwa nazi 10!
Naonaga ni mboga iko overrated mno...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mimi Kabisa...Mimi kisamvu sili maisha yangu yote, siipendi hata ipikwe kwa nazi 10!
Unahitaji elimu juu ya Nutrition.Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.
Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda
Mengine nimesahau majina.
Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Matembele. Hii ndio mboga ninayoichukia kuliko hata kabejiKuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.
Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda
Mengine nimesahau majina.
Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Kwanini?Matembele. Hii ndio mboga ninayoichukia kuliko hata kabeji
ShindwaChuchu embe sindano
Chuchu MchongomaShindwa
Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.
Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda
Mengine nimesahau majina.
Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Hujakutana Na mpishi bado
Ushakula majani ya maboga yaliyopikiwa tui la Karanga.....Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.
Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda
Mengine nimesahau majina.
Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
kakipata kake kamekuwa!.. acha atukane mbogamboga..You know nothing about nutrients
Dig more knowledge as to get rid from the ignorance hole.
Ni kisamvu gani hicho!Maskini hana kiapo
Make_upUshakula majani ya maboga yaliyopikiwa tui la Karanga.....
Sahihi kabisa. Sub attachmentTatizo ni umaskini ila mboga za majani inatakiwa iwe kama attachment kwenye mboga kuu kama nyama au samaki. Ukiona unakula mboga za majani kama mboga kuu bila kampan ya nyama au samaki basi unatakiwa kupambana sana utoke kwenye umaskini uliokithiri
Yana ladha mbayaKwanini?