Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Achana nao hawa.You know nothing about nutrients
Dig more knowledge as to get rid from the ignorance hole.
Taratiibbunaisalit kauli yako 😂Majani ya Sungura sema ndio Maisha tu mnavu mtamu sana ukimixiwa na spinach na mapaja ya kuku
AyayayayaMatombele na mlendaa
Sasa mkuu ukitoa hizo mboga zote za majani itabaki mboga gani natural?Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.
Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda
Mengine nimesahau majina.
Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Njoo kwangu nikupikie! Utajing'ata hadi vidole!Mimi kisamvu sili maisha yangu yote, siipendi hata ipikwe kwa nazi 10!
Vijijini huko kipindi umeme ni adimu, watu wamewatwanga Sana vinyonga wadogo,si inajua mama amerudi Giza limeingia katoka shamba ndio aanze kuchuma,kutwanga....n.kMimi kisamvu sili maisha yangu yote, siipendi hata ipikwe kwa nazi 10!
Mkuu, huenda hajui kweli lakini kupitia uzi wake atapata majibu ya vitu asivoona havina maana kwake. Mfano mmojaYou know nothing about nutrients
Dig more knowledge as to get rid from the ignorance hole.
Kabisa km mchunga ukimix na majani ya maboga, uweke karanga na nazi inakuwa nzuri….. kuliko wanaokula kumbikumbiMm nadhani inategemea na mapishi mana kuna hizo zilizotajwa hapo zikipikwa vzr utajilamba hadi vidole
Nini tena??Ayayayaya
Aya masai wanakula wanachangany na nyama
Hii ni dawa ya tumbo kama umepewa sumu ni huduma yaharaka
Tumbo gani unalizungumzia?Hii ni dawa ya tumbo kama umepewa sumu ni huduma yaharaka
Hili hili kwani kuna mengi simawili tu la uzazi na lachakula sasa vyoteTumbo gani unalizungumzia?
Kwa hio la uzaziHili hili kwani kuna mengi simawili tu la uzazi na lachakula sasa vyote
Hapo nyuma kwenye kichuguuWapi hapo??? Kuna mahali umeniona pametuna au umeonyeshwa na mtu palipotuna