Hizi tabia kwenye daladala ziliniumizaga sana

Wewe bwana wanawake wote wanapenda dungadunga watakataa hapa ila ukweli ni huo wanapenda kubambiwa
Hivi wewe ukishikwa unafanya hio utetezi wako utakuwa huo? Au tuseme umemkamata mtu anamfanyia demu wako, dada yako au mama yako hutompa kichapo cha mbwa ikiwa atakupa excuse hiyo uloleta hapa? Tunaishi dunia gani jamani ambapo tuna wa treat wanawake kama hawana thamani yeyote ile?
 
Hivi kwa nini mnakimbiliaga sana kwenye hii misemo akiwa dada yako, mara mke wako mara mama yako.
Kwani hao sio wanawake?
Sasa nimpe kichapo cha nini tena wakati jamaa anaenjoy burudani?
 
Hivi kwa nini mnakimbiliaga sana kwenye hii misemo akiwa dada yako, mara mke wako mara mama yako.
Kwani hao sio wanawake?
Sasa nimpe kichapo cha nini tena wakati jamaa anaenjoy burudani?
Aidha wewe ni mnafiki au ni mtu wa ajabu sana ikiwa utafurahia kuona mama yako, dada yako au mkeo anafanyiwa vituko hivyo na hutafanya lolote.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni hatari..
Mi huwa namgeukia na sura ya mbuzi,neno Moja tu "we baba jiheshimu"inanywea yenyeweeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mmoja alinipa simu nisave namba, nikamwambia konda nashuka nikasepa nayo! Kuniitia mwizi hawezi kabaki na kigugumizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lakini zamani nilikuwa nimelanduka
Uduguuuu naombaa hiyoo cm uliyotapeli baba wa watu, sikubaliiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaa km mwehuuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikuweziiiii
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ningejifanya"Halo,Afande Mwita,Sitaki Shari,naingiza gari kituoni Nina mtuhumiwa,OVA!
Angerukaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dar ni mji WA hovyo sana ukiishi kilokole utaonewa sana.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna siku ilibaki kidogo wazungu wapite, niliwekewa tako na mwanamke alikua amevaa baibui afu alikua na tako rojo rojo (kmmk) yani nashukuru alishukia njiani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ile mwendokasi ya kivukoni-kimara mnabanana kama mijusi ujikute mwana umebambiwa na mkulungwa[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]

Imagine io situation then anakupumulia shingoni[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jamaniii khaaaah
 
Uduguuuu naombaa hiyoo cm uliyotapeli baba wa watu, sikubaliiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Niliiuza, alipiga afu napokea kwa mapozi…. Wee mzee unasemaje?!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aliniambia nitakuroga, nikamwambia subiri nikutafutie mganga mzuri huyo wako atakutapeli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…