Hizi tabia kwenye daladala ziliniumizaga sana

Daktari haruhusiwi hichi kitu labda kama ni private ward, nahiyo anaweza kufanya kwaruhusa ya mbeba mimba au familia ya mbeba mimba. Labour ward kuna wakunga wengi ila daktari mmoja au 2 nahao wakunga ni wamama au wabibi wazoefu jaribu uone utakavyofanyiwa. Anyway sheria na medical ethics haziruhusu, nakesi za hiyo ward sichamtoto, haziishii hospitali kamwe.
 
Nimesoma eti najikuta nadinda[emoji23]
 
Hizi mada zingine bhana,,nipo na waifu hapa tunapanga mambo yetu huku tunachapa kamnyweso cha kukaribisha idd-elhaj!!anashangaa nimedindisha gafla na hivi vipenzi kama za bwana dimondi,,,stori zimebadilika sasa analiminyaminya lipoe!!
[emoji23]
 
Unadhani kila mwanamke anaona fahari ktk mambo machafu, ningekua napenda wala nisingelalama lkn kwa sababu najiheshimu siwezi fanya huo upumbavu
Pole sana dada, matatizo ni mawili hapa, moja ni kuwa serikali yetu sio sikivu tena, tunajazwa kwenye mwendokasi kama nyanya, lazima tugusane na bahati mbaya tunagusana sehemu sio salama kwa afya zetu. Mbili na nyie siku hizi mmekuwa na matako makubwa sana mkuu, yaani wadada wa miaka hii sijui mnakula nini hakyanani.

Mtusamehe sana, muwasamehe vijana wetu maana wanapitia vipindi hivi, kama ni wazee wasemeni wakome tabia hizi.🤪
 
Aisee kumbe hzi raha za kwenye kidala tunazipata wengi!

Kuna hyo siku nimekaa vzr tu alipanda tuseme mdada/mama umri flan haueleweki😁 akawa kasimama jiran na nlipokaa, akaniegemea alilengesha utamu kwenye angle ya bega langu quvavayo baada ya mda akawa kama anajisigua vle gafla mashetani yakaniingia 😁abdala kichwawazi akaamka nikaanza kuzuga mara niingie insta mara fesibuku ili mradi kupoteza mawazo
 
Hv kumbe sio Mimi mwenyewe naona kama Kila mdada ana fukuto la maana! Mpaka nawaza labda Kuna vitu wanavaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…