Hizi teuzi na tenguzi zimetosha, tujadili kipi tuache kipi?

Hizi teuzi na tenguzi zimetosha, tujadili kipi tuache kipi?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, shalom!!

1. Tulipokuwa tukisubiri kupokea Mikataba mliyoiita HGA ya mkataba wa Bandari mlisema mikataba hiyo itakuwa wazi italetwa na kujadiliwa bungeni, hatujakaa sawa, tukasikia mikataba imeshasainiwa huko Dodoma kimya kimya na siku hiyo hiyo akateuliwa Katibu Mwenezi wa chama tawala!!
Tukaachana na Bandari, tukaanza kumjadili kijana machachari.

2. Tuliambiwa na Rekodi ziko humu kuwa, wafanyakazi wa bandarini ajira zao hazitaguswa ajapo DP world, Cha kushangaza wameambiwa wachague kusuka au kunyoa, tukiwa Bado tunatafakari hayo, ghafula tunasikia ndugu zetu huko Zanzibar wanacharazwa bakora Kwa kosa la kula chakula Chao peupe!!

3. CAG analeta Ripoti mezani, mara tunasikia hati chafu zote zimekuwa safi Kwa 99%, tunaambiwa mashirika yote yanepata HASARA, pesa ni za mikopo na mkopo ndo kwanza hata robo hatujalipa.

Tukiwa tunatafakari hayo, ghafula tunasikia uteuzi na utenguzi, Mwenezi ghafula Kawa mkuu wa mkoa Arusha,Mara waziri kawekwa pembeni.

Mimi najiuliza, tujadili kipi tuache kipi?

Rais Mstaafu KIKWETE: Nchi haipoi kama ugali!!

Nchi yangu Tanzania nakupenda sana , Ubarikiwe, Nitaendelea kukuombea.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Pasaka njema.

Karibuni 🙏
 
Wananchi tunachezeshwa kama tiara.

Mwaka wa nne sasa, uchaguzi uleee!!
Tunachezewa Mno Ndugu Zangu
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Vyovyote Mtakavyosema Najua Mmenielewa Sana



Subirini Rais Atakayewabembeleza, Mimi Kwenye Utawala Wangu Hapana
By Jiwe
 
Salaam, shalom!!

1. Tulipokuwa tukisubiri kupokea Mikataba mliyoiita HGA ya mkataba wa Bandari mlisema mikataba hiyo itakuwa wazi italetwa na kujadiliwa bungeni, hatujakaa sawa, tukasikia mikataba imeshasainiwa huko Dodoma kimya kimya na siku hiyo hiyo akateuliwa Katibu Mwenezi wa chama tawala!!

2. Tuliambiwa na Rekodi ziko humu kuwa, wafanyakazi wa bandarini ajira zao hazitaguswa ajapo DP world, Cha kushangaza wameambiwa wachague kusuka au kunyoa, tukiwa Bado tunatafakari hayo, ghafula tunasikia ndugu zetu huko Zanzibar wanacharazwa bakora Kwa kosa la kula chakula Chao peupe!!

3. CAG analeta Ripoti mezani, mara tunasikia hati chafu zote zimekuwa safi Kwa 99%, tunaambiwa mashirika yote yanepata HASARA, pesa ni za mikopo na mkopo ndo kwanza hata robo hatujalipa.

Tukiwa tunatafakari hayo, ghafula tunasikia uteuzi na utenguzi, Mwenezi ghafula Kawa mkuu wa mkoa. Mara waziri kawekwa pembeni.

Mimi najiuliza, tujadili kipi tuache kipi?

Rais KIKWETE: Nchi haipoi kama ugali!!

Nchi yangu Tanzania nakupenda sana , Ubarikiwe, Nitaendelea kukuombea.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Pasaka njema.

Karibuni 🙏
unavibrate sana ee 🐒

na bado, Lazima TZ ipige hatua kimaendeleo bana, tumechelewa sana 🐒

so,
mabadiliko ya uongozi ndani ya chama na serikalini yataendelea kufanyika ili kuimarisha utendaji katika chama na serikali na hatimae madhumuni ya kuwaletea wanainchi maendeleo yaweze kufikiwa kwa uhakika na kwa wakati muafaka 🐒
 
unavibrate sana ee 🐒

na bado, Lazima TZ ipige hatua kimaendeleo bana, tumechelewa sana 🐒

so,
mabadiliko ya uongozi ndani ya chama na serikalini yataendelea kufanyika ili kuimarisha utendaji katika chama na serikali na hatimae madhumuni ya kuwaletea wanainchi maendeleo yaweze kufikiwa kwa uhakika na kwa wakati muafaka 🐒
Wananchi wanaletewa maendeleo Kutoka SAYARI Gani?

Hivi Kweli mwaka wa nne Bado tu unatafuta muunganiko?

TIJA ya teuzi na tenguzi za Kila mara ni ipi?
 
Salaam, shalom!!

1. Tulipokuwa tukisubiri kupokea Mikataba mliyoiita HGA ya mkataba wa Bandari mlisema mikataba hiyo itakuwa wazi italetwa na kujadiliwa bungeni, hatujakaa sawa, tukasikia mikataba imeshasainiwa huko Dodoma kimya kimya na siku hiyo hiyo akateuliwa Katibu Mwenezi wa chama tawala!!

2. Tuliambiwa na Rekodi ziko humu kuwa, wafanyakazi wa bandarini ajira zao hazitaguswa ajapo DP world, Cha kushangaza wameambiwa wachague kusuka au kunyoa, tukiwa Bado tunatafakari hayo, ghafula tunasikia ndugu zetu huko Zanzibar wanacharazwa bakora Kwa kosa la kula chakula Chao peupe!!

3. CAG analeta Ripoti mezani, mara tunasikia hati chafu zote zimekuwa safi Kwa 99%, tunaambiwa mashirika yote yanepata HASARA, pesa ni za mikopo na mkopo ndo kwanza hata robo hatujalipa.

Tukiwa tunatafakari hayo, ghafula tunasikia uteuzi na utenguzi, Mwenezi ghafula Kawa mkuu wa mkoa. Mara waziri kawekwa pembeni.

Mimi najiuliza, tujadili kipi tuache kipi?

Rais KIKWETE: Nchi haipoi kama ugali!!

Nchi yangu Tanzania nakupenda sana , Ubarikiwe, Nitaendelea kukuombea.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Pasaka njema.

Karibuni 🙏
Mama hajui anataka kufanya nini.
 
Watawala wanafahamu ni kipi haswa idadi kubwa ya wadaganyika hupenda kusikia toka kwa watawala wao

Kwa kupenda kujadili matukio

Nafkili kipaumbele kwa sasa itakuwa Makonda kutumbuliwa uenezi na kuwa mkuu wa mkoa Arusha

Kwa mbali ulisahau ya Simba na Yanga na menyewe yananafasi kubwa saana kwa wadaganyika kuyajadili
 
Watawala wanafahamu ni kipi haswa idadi kubwa ya wadaganyika hupenda kusikia toka kwa watawala wao

Kwa kupenda kujadili matukio

Nafkili kipaumbele kwa sasa itakuwa Makonda kutumbuliwa uenezi na kuwa mkuu wa mkoa Arusha

Kwa mbali ulisahau ya Simba na Yanga na menyewe yananafasi kubwa saana kwa wadaganyika kuyajadili
Kwakweli wanajua kutuweza!!
 
Ni wazi Samia kazi anayoiweza vizuri ni kuteua na kutengua, inaonekana kila siku jicho lake lipo hapo tu.

Hajui kama ingekuwepo idara nyingine yakuteua na kutengua kwenye nafasi yake, hata yeye asingekuwepo tena ofisini.
 
Salaam, shalom!!

1. Tulipokuwa tukisubiri kupokea Mikataba mliyoiita HGA ya mkataba wa Bandari mlisema mikataba hiyo itakuwa wazi italetwa na kujadiliwa bungeni, hatujakaa sawa, tukasikia mikataba imeshasainiwa huko Dodoma kimya kimya na siku hiyo hiyo akateuliwa Katibu Mwenezi wa chama tawala!!
Tukaachana na Bandari, tukaanza kumjadili kijana machachari.

2. Tuliambiwa na Rekodi ziko humu kuwa, wafanyakazi wa bandarini ajira zao hazitaguswa ajapo DP world, Cha kushangaza wameambiwa wachague kusuka au kunyoa, tukiwa Bado tunatafakari hayo, ghafula tunasikia ndugu zetu huko Zanzibar wanacharazwa bakora Kwa kosa la kula chakula Chao peupe!!

3. CAG analeta Ripoti mezani, mara tunasikia hati chafu zote zimekuwa safi Kwa 99%, tunaambiwa mashirika yote yanepata HASARA, pesa ni za mikopo na mkopo ndo kwanza hata robo hatujalipa.

Tukiwa tunatafakari hayo, ghafula tunasikia uteuzi na utenguzi, Mwenezi ghafula Kawa mkuu wa mkoa Arusha,Mara waziri kawekwa pembeni.

Mimi najiuliza, tujadili kipi tuache kipi?

Rais Mstaafu KIKWETE: Nchi haipoi kama ugali!!

Nchi yangu Tanzania nakupenda sana , Ubarikiwe, Nitaendelea kukuombea.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241]

Pasaka njema.

Karibuni [emoji120]
tatizo lako,una chuki na majibu mfukoni,hujui repoti za cag zikoje,sheria za nchi zikoje,ni kulaumu kila kitu
 
Ni wazi Samia kazi anayoiweza vizuri ni kuteua na kutengua, inaonekana kila siku jicho lake lipo hapo tu.

Hajui kama ingekuwepo idara nyingine yakuteua na kutengua kwenye nafasi yake, hata yeye asingekuwepo tena ofisini.
Yaani baada ya kumwona CAG alikabidhi Ripoti, tulitegemea tujue waliotajwa wamechukuliwa hatua Gani,

Hatujakaa sawa, mkeka huu apa!!
 
Back
Top Bottom