Hizi Trend za Magari ya Siku Hizi mnazionaje?

Hizi Trend za Magari ya Siku Hizi mnazionaje?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wakuu. Sijui umri unanienda au? Kuna baadhi ya "trend" za magari naona zinazidi kushika kasi. Najua "maybe" ata Automatic transmission zinavyoingia kuna watu waliona jau, ila ishazoeleka sahivi.

Ngoja niwape mifano yangu muone:

1. Gear Knobs za kuongeza kama Sauti
Hizi nimeona kwenye Disco kuanzia 4 na Range Rover.
images (19).jpeg

Yaani sijui kwann, naona kama sio unyama kabisa.
Jumlisha na hizi wanaiita "electronic gear shifter" dah..
images (20).jpeg

Kwa upande wangu naona too much. Napenda tech ila duh. Sijawa mzembe kiasi hiki.


2. Side "cameras" badala ya Mirrors
Sawa, najua mna sababu za kuleta hii kitu ila mi hapana.
images (21).jpeg

Nawaza zikianza kuharibika kama risk sana. Gari inavyozidi kua complicated kwa vitu unnecessary ndio ku-maintain inakua gharama.

3. Yoke steering (Half moon)
Me nadhani steering ilitakiwa kubaki ya duara. Ova.
images (22).jpeg

Sijui experience ya kuendesha hizi halfmoon ila dah naona kama jau sana.

4. Hidden Door Handles.
Hivi navyo naona kama jau sana. Haviwezi kuvunjika kweli ukitumia nguvu?
images (23).jpeg

Zile za mawaida zilikua na ziko poa tu. Najua wanasema issue za aerodynamics ila inachangia padogo sana.

5. Rain sensing wipers na Automatic High Beams
Sijui nielezeeje ila hii kitu sioni umuhimu wake. Why unipangie muda wa kuwasha wipers? Muda wa kuwasha high beams?

Me hivyo vitano naonaga hapana aisee.
 
Tunataka magari ya kuishi nayo, Ununue likiwa na km 100,000 uendeshe km 100,000, uuze kwa mwenzako aendeshe km 150,000 apeleke kwa fundi lirudishwe nyuma km mpaka 70,000 liuzwe tena hivyo hivyo.

Hatuijui raha na tukiiona tunaona kama ni tatizo, Hii tabia inayotokana na mazingira yetu ndo inasababisha tutake vitu vigumu gumu ila wenzetu wanazidi kutoka huko, gari inatembelewa km 70,000-100,000 inaitwa chakavu, unless imepata ajali si rahisi vitu vikuharibikie ndani ya hizo km. Hapo pia imekatiwa bima kubwa.

Mpaka leo kuna fundi akifatwa kuulizwa gari gani nzuri ya kutumia anarecommend Suzuki old.
 
Tunataka magari ya kuishi nayo, Ununue likiwa na km 100,000 uendeshe km 100,000, uuze kwa mwenzako aendeshe km 150,000 apeleke kwa fundi lirudishwe nyuma km mpaka 70,000 liuzwe tena hivyo hivyo.

Hatuijui raha na tukiiona tunaona kama ni tatizo, Hii tabia inayotokana na mazingira yetu ndo inasababisha tutake vitu vigumu gumu ila wenzetu wanazidi kutoka huko, gari inatembelewa km 70,000-100,000 inaitwa chakavu, unless imepata ajali si rahisi vitu vikuharibikie ndani ya hizo km. Hapo pia imekatiwa bima kubwa.
Yeah na mazingira yetu yanachangia sana. Kuanzia hali ya hewa, barabara na madereva wenzio (boda &bajaji) barabarani. Yaan.
 
Technology ilianza kupotea baada ya ujio wa automatic gearbox, nashukuru nimewndesha manual transmission Kwa kifupi ukisema unaendesha gari unakuwa upo Sahihi!

Hizo knobs naziona kwenye discovery 4 ni UJINGA mtupu sioni sababu ya kuvungusha hiyo volume ili gari litembee. Kwa jinsi unavyozikataa hizo design na Mimi nazikataa pia EV bado sijaona Raha ya kuendesha gari bila exhaust system
 
Sasa jamani si mmesema mnaenda na wakati?
Kuna gari bila kusoma user manual au ku scan qr and barcode huwezi kujua hata ukae na Gari mwaka mzima
Hizi gari parts zake ni ghali kwa sasa pamoja na Gari zenyewe
Zimepanda bei mno tangu covid kwisha
Hiyo side rear view camera ikivunjika bei yake ni kuanzia laki 7 na nusu na kuendelea naona mtu atabadili za kizamani kwenye gari mpya 😄 ila ndio technology acha twende na mda
 
Sasa jamani si mmesema mnaenda na wakati?
Kuna gari bila kusoma user manual au ku scan qr and barcode huwezi kujua hata ukae na Gari mwaka mzima
Hizi gari parts zake ni ghali kwa sasa pamoja na Gari zenyewe
Zimepanda bei mno tangu covid kwisha
Hiyo side rear view camera ikivunjika bei yake ni kuanzia laki 7 na nusu na kuendelea naona mtu atabadili za kizamani kwenye gari mpya 😄 ila ndio technology acha twende na mda
Hafu unakuta unaambiwa hatuuzi moja tunauza kwa pair.

Screenshot_20240507-184423.png


Checki bei iyo.
 
Technology ilianza kupotea baada ya ujio wa automatic gearbox, nashukuru nimewndesha manual transmission Kwa kifupi ukisema unaendesha gari unakuwa upo Sahihi!

Hizo knobs naziona kwenye discovery 4 ni UJINGA mtupu sioni sababu ya kuvungusha hiyo volume ili gari litembee. Kwa jinsi unavyozikataa hizo design na Mimi nazikataa pia EV bado sijaona Raha ya kuendesha gari bila exhaust system
Hili la gari kutembea bila sauti kama jongoo hata mimi linanikera sana. Raha ya gari ni itoe mlio. Kwa mfano kuna yale ma-pikipiki wanayotembelea gang groups kama Bandidos, yanayokoroma kama simba, sasa yale yakitembea bila sauti kuna raha gani?
 
Hili la gari kutembea bila sauti kama jongoo hata mimi linanikera sana. Raha ya gari ni itoe mlio. Kwa mfano kuna yale ma-pikipiki wanayotembelea gang groups kama Bandidos, yanayokoroma kama simba, sasa yale yakitembea bila sauti kuna raha gani?
Kwa kuliona hili wamewawekea fake sounds ambazo ni simulations ya sauti halisi za exhaust kupitia audio systems za gari. Google hyundai ioniq 5 uone fleva yake
 
Hizo ni kwa ajili ya waliostaarabika. Na bongo siyo sehemu ya waliostaarabika, the so hazituhusu
 
Back
Top Bottom