Hizi Trend za Magari ya Siku Hizi mnazionaje?

Ndo hivyoo, zinakuja tech zinalainisha mambo hadi tunazichukia tunaanza tena kutafuta ile feeling ya zamani.

Hata hivyo mabadiliko huwa yanatabia ya kupingwapingwa yanapoingia lakini baada ya muda yanatawala inakuwa ndio kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…