Mzee wa Wima
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 537
- 296
Karibu mkuu hili ni JAMVI MARIDHAWATumsifu Yesu kristo, asalam alyekum. Mimi ni mgeni hapa baada ya kuuliza sana hatimae nikaelekezwa kuna sehem kama hii ya kujadili mawili matatu. Minipokeeni na kunielekeza pale nnapotoka nje ya msitari. Asanteni na Mungu awabariki.
Mkuu nenda option ya search juu kulia hapo then andika ukitakacho utakipata humu mdau..usiwe na shaka Mkuu..utaelimika vya kutosha humu jamvini.Naomba kujua jinsi ya kufukua makaburi wanasema. Yaani kama kuna uzi wa zamani na ninataka kushare kwenye komment flani
kwa hay maelez inaonesh ww sio mgenNaomba kujua jinsi ya kufukua makaburi wanasema. Yaani kama kuna uzi wa zamani na ninataka kushare kwenye komment flani
Pambana na hali yako naona umepanick bdala ya kuteki it ize...na tumeshakusoma tabia yako kwa ze wei unavyojib... Hii ndo Jf utakutana namengi tuKijana vipi? Unawashwa na nini? Mimi niwe mgeni au nisiwe wewe unakereka na nini
PoleNaja kwa ubishi
KaribuTumsifu Yesu kristo, asalam alyekum. Mimi ni mgeni hapa baada ya kuuliza sana hatimae nikaelekezwa kuna sehem kama hii ya kujadili mawili matatu. Minipokeeni na kunielekeza pale nnapotoka nje ya msitari. Asanteni na Mungu awabariki.