Sawa Davie karibu jf.Asantee kwa kunielewesha maana sikujua I'll mwanzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Davie karibu jf.Asantee kwa kunielewesha maana sikujua I'll mwanzo
Kwanzia leo unakua chief of department ya kupokea wageniHalafu sasa huku huwa hawaweki majina halisi , au picha au namba za simu.
Kwa sababu utakosa Uhuru wa kuchangia.
Ila kama utakuwa unachangia mada bila kusema chochote kuhusu serekali haina shida.
SanaNaomba nikuite kwa jina LA mkuu
Karibu sana jamii forums jisikie upo fb au Instagram
AsanteeeSawa Davie karibu jf.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tena sasa hivi na subscribe hili jukwaa la utambulisho maana nimeona mnaonea sana[emoji23][emoji23]Dah
Unapenda kuharibu mambo wewe [emoji28]
Mbona una haribu.. Aisee ungesubiri kwanza aingie kingi vizuriSawa Davie karibu jf.
Wewe kabila gani?
Leo unaenda shule?
Unaishi mtaani gani hapo Kahama?
Jamii Forum umeijulia wapi ? (Unafahamu nini kuhusu jamii ?
Mtu kawatumia hadi full picture, jina kamili, umri wake, chuo anachosoma, mkoa anaoishi haijatosha tuu kuwa ameingia kingi vizuri?Mbona una haribu.. Aisee ungesubiri kwanza aingie kingi vizuri
KwendraaaMbona una haribu.. Aisee ungesubiri kwanza aingie kingi vizuri
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Watu Wa JF Mbinguni mtapasikia tuuChief of department anayeitwa Mwifwa atawasiliana na wewe akupe maelezo zaidi kuhusu mtandao wetu wa jamii forums
Karibu sana chief !
Kwanzia leo unaitwa mkuu !
Kuna watu humu Ni mawakala wakuu Wa shetani, kijana wawatu mmempokea juuu juu Kama ndo anaingia dar kwa Mara ya kwanza, aisee huyu kijana ilibakia kidogo tuu aombwe picha ya demu wake pamoja na namba ya simu
Bado hajalipia joining fee..[emoji23][emoji23]Mtu kawatumia hadi full picture, jina kamili, umri wake, chuo anachosoma, mkoa anaoishi haijatosha tuu kuwa ameingia kingi vizuri?
Enheeee safi sana.Umechelewa ayo maswar yako ya kizushi ungeuliza mwanzo shawajuwa wapenda sifa
ijia getoBado hajalipia joining fee..[emoji23][emoji23]
Daaahhh. Nyie watuuuuuBado hajalipia joining fee..[emoji23][emoji23]
Pamoja kabisa mkuu wanguAsante chief executive officer kwa kumkaribisha mgeni wetu
Ndo kiwango chako na wwEnheeee safi sana.
Sasa umeiva. Kuna msemo unasema "once bitten twice shy"
Hapo sawa, ukihitaji warembo wa humu utushtue tukuunganisheNamba ya some
O758569880