Hodi jaman

Hodi jaman

Kuna watu humu Ni mawakala wakuu Wa shetani, kijana wawatu mmempokea juuu juu Kama ndo anaingia dar kwa Mara ya kwanza, aisee huyu kijana ilibakia kidogo tuu aombwe picha ya demu wake pamoja na namba ya simu
 
Chief of department anayeitwa Mwifwa atawasiliana na wewe akupe maelezo zaidi kuhusu mtandao wetu wa jamii forums

Karibu sana chief !

Kwanzia leo unaitwa mkuu !
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Watu Wa JF Mbinguni mtapasikia tuu
 
Ningetoa2
Kuna watu humu Ni mawakala wakuu Wa shetani, kijana wawatu mmempokea juuu juu Kama ndo anaingia dar kwa Mara ya kwanza, aisee huyu kijana ilibakia kidogo tuu aombwe picha ya demu wake pamoja na namba ya simu
 
Back
Top Bottom