Kwa nini wamzuie kisa maoni?Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .
Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !
Hii ni aibu sana !
Mnyika?!!Mpuuzi tu huyo.
HIyo ni nongwa sasa take it easy!Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .
Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !
Hii ni aibu sana !
Uchaguzi ujao hatutamchekea mtu , liwalo na liweHIyo ni nongwa sasa take it easy!
Mnyika katika kushusha nondo hatarii na madini yaliyojitosheleza yuko vizuri sana tena sana.Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .
Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !
Hii ni aibu sana !
Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .
Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !
Hii ni aibu sana !
Thanks bro!! Always, you disclosed out nothing but the material facts. Ndugu zangu CDM wanapenda kuongea uzushi tu , ili wainekane. Lakin ukweli utasimama daima.Let's keep the records straight, sii kweli kuwa Mwenyekiti alizuia Mnyika asishangiliwe, bali alikuwa anakumbushia taratibu za vikao vya kamati, hakuna wachangiaji wowote kushangiliwa!, haswa ukizingatia JJMnyika ametinga na kundi kubwa la wafuasi wa Chadema na kuanza zile amsha amsha za shangilia kichawa chawa kila Mnyika anapozimiwa mic, ndipo Mwenyekiti akakumbushia mtu anayeryhusuwa kushangiliwa ni mmoja tuu!, unaweza kudhani Mwenyekiti wa ile kamati ni member wa lile kundi la chawa wa Mama!.
P
Joined 30 December 2023 , baadaye kidogo ukikomaa utatuelewaThanks bro!! Always, you disclosed out nothing but the material facts. Ndugu zangu CDM wanapenda kuongea uzushi tu , ili wainekane. Lakin ukweli utasimama daima.
Zile tani tatu za madawa ya kulevya zilizokamatwa ni za mtu wake wa karibu, sasa wanahaha jinsi ya kumficha wajulikane. Mda utaongeaHangaya anazuga tu hana mpango na Uchaguzi huru , ila tutamlazimisha , atake asitake
Weeeee !!!! au ndio maana jambo lile limezimika kiaina ?Zile tani tatu za madawa ya kulevya zilizokamatwa ni za mtu wake wa karibu, sasa wanahaha jinsi ya kumficha wajulikane. Mda utaongea
Clip tafadhaliJoseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .
Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !
Hii ni aibu sana !
Yupi huyo wengine hatujazinasa hizoZile tani tatu za madawa ya kulevya zilizokamatwa ni za mtu wake wa karibu, sasa wanahaha jinsi ya kumficha wajulikane. Mda utaongea
Thomaso bhana !Clip tafadhali
Acheni kupora uchaguzi mnajivunjia heshima kwenye macho ya walimwengu.Mnyika?!!
HayaAcheni kupora uchaguzi mnajivunjia heshima kwenye macho ya walimwengu.
Mzigo ule hauwezi kuwa wa mtu wa kawaidaWeeeee !!!! au ndio maana jambo lile limezimika kiaina ?
Safari hii patachimbika !!Acheni kupora uchaguzi mnajivunjia heshima kwenye macho ya walimwengu.