Pre GE2025 Hofu: Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria aliwazuia Wajumbe kumpigia Makofi Mnyika

Pre GE2025 Hofu: Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria aliwazuia Wajumbe kumpigia Makofi Mnyika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .

Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !

Hii ni aibu sana !
Kwa nini wamzuie kisa maoni?
 
Siku ikifika ya mh rais nae kutoa maoni mbele ya kamati ya katiba na sheria nistueni Nike nisikilize nondo zake naye.
 
Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .

Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !

Hii ni aibu sana !
HIyo ni nongwa sasa take it easy!
 
Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .

Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !

Hii ni aibu sana !
Mnyika katika kushusha nondo hatarii na madini yaliyojitosheleza yuko vizuri sana tena sana.
 
Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .

Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !

Hii ni aibu sana !

Unafiki wao wa 4R inawekwa wazi.
 
Let's keep the records straight, sii kweli kuwa Mwenyekiti alizuia Mnyika asishangiliwe, bali alikuwa anakumbushia taratibu za vikao vya kamati, hakuna wachangiaji wowote kushangiliwa!, haswa ukizingatia JJMnyika ametinga na kundi kubwa la wafuasi wa Chadema na kuanza zile amsha amsha za shangilia kichawa chawa kila Mnyika anapozimiwa mic, ndipo Mwenyekiti akakumbushia mtu anayeryhusuwa kushangiliwa ni mmoja tuu!, unaweza kudhani Mwenyekiti wa ile kamati ni member wa lile kundi la chawa wa Mama!.
P
Thanks bro!! Always, you disclosed out nothing but the material facts. Ndugu zangu CDM wanapenda kuongea uzushi tu , ili wainekane. Lakin ukweli utasimama daima.
 
Thanks bro!! Always, you disclosed out nothing but the material facts. Ndugu zangu CDM wanapenda kuongea uzushi tu , ili wainekane. Lakin ukweli utasimama daima.
Joined 30 December 2023 , baadaye kidogo ukikomaa utatuelewa
 
Hangaya anazuga tu hana mpango na Uchaguzi huru , ila tutamlazimisha , atake asitake
Zile tani tatu za madawa ya kulevya zilizokamatwa ni za mtu wake wa karibu, sasa wanahaha jinsi ya kumficha wajulikane. Mda utaongea
 
Zile tani tatu za madawa ya kulevya zilizokamatwa ni za mtu wake wa karibu, sasa wanahaha jinsi ya kumficha wajulikane. Mda utaongea
Weeeee !!!! au ndio maana jambo lile limezimika kiaina ?
 
Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .

Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !

Hii ni aibu sana !
Clip tafadhali
 
Zile tani tatu za madawa ya kulevya zilizokamatwa ni za mtu wake wa karibu, sasa wanahaha jinsi ya kumficha wajulikane. Mda utaongea
Yupi huyo wengine hatujazinasa hizo
 
Back
Top Bottom