digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Habari zenu wakuu,
Kutokana na kusambaa kwa virus vya Coron, Rais wa Jamhuri ya Muungano amepiga marufuku mbio za Mwenge kwa mwaka huu ili kuzuia mikusanyiko isiyo rasmi
Very nice for our caring president ,long live baba
---
Rais amesema Mbio za Mwenge zinakusanya watu wengi sana na katika kupambana na #Coronavirus amesitisha mbio hizo hadi tatizo hilo litakapo koma na kuhakikisha halipo
Amesema Mbio za Mwenge zilikuwa zianze Zanzibar ila hazitaanza na fedha zilizokuwa zitumike katika mbio hizo zitapelekwa Wizara ya Afya ili kusaidia katika maandalizi ya kupambana na Corona
Amesema "Inawezekana hata akatayeshika Mwenge huo akawa na corona na badala ya Mwenge kuwa wa amani na matumaini ukageuka kuwa Mwenge wa kuhatarisha maisha ya Watanzania
Aidha, amesema kama hatua hizi za corona zitaisha kabisa basi mbio za mwenge zinawea kufanyika kwa siku hata tatu ila kwa sasa tahadhari ni lazima
Kutokana na kusambaa kwa virus vya Coron, Rais wa Jamhuri ya Muungano amepiga marufuku mbio za Mwenge kwa mwaka huu ili kuzuia mikusanyiko isiyo rasmi
Very nice for our caring president ,long live baba
---
Rais amesema Mbio za Mwenge zinakusanya watu wengi sana na katika kupambana na #Coronavirus amesitisha mbio hizo hadi tatizo hilo litakapo koma na kuhakikisha halipo
Amesema Mbio za Mwenge zilikuwa zianze Zanzibar ila hazitaanza na fedha zilizokuwa zitumike katika mbio hizo zitapelekwa Wizara ya Afya ili kusaidia katika maandalizi ya kupambana na Corona
Amesema "Inawezekana hata akatayeshika Mwenge huo akawa na corona na badala ya Mwenge kuwa wa amani na matumaini ukageuka kuwa Mwenge wa kuhatarisha maisha ya Watanzania
Aidha, amesema kama hatua hizi za corona zitaisha kabisa basi mbio za mwenge zinawea kufanyika kwa siku hata tatu ila kwa sasa tahadhari ni lazima