Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

Hakuna kitu hapo! Anapiga marufuku mbio za mwenge wakati watu kutoka nchi zilizoathirika kama vile China wanaingia nchini kwa speed ya 5G!
 
Maskini Mwenge wetu. Mungu Ibariki Tanzania.

Tena ameona mbali, maana huo ushirikina wa CCM huo ni mkusanyiko wa wajinga wasiokuwa na elimu yoyote hivyo tungezika wote.
 
Hakuna kitu hapo! Anapiga marufuku mbio za mwenge wakati watu kutoka nchi zilizoathirika kama vile China wanaingia nchini kwa speed ya 5G!
Mdogo mdogo ccm inaanza kufa. Maana hakuna mbio za mwenhe pale huwa kuna vikundi vya uvccm, wajinga wote nchini na policcm . Magu umeshawatia njaa ccm tumbo hapo hakuna perdiem mwaka huu.
 
Hii kitu ilitakiwa kufungiwa makabatiti tokea enzi ya nyerere kwani imesababisha maambukizi mengi sana ya VVU kwa kisingizio cha kufungua miradi hewa.
Hahahaaa sana miradi inafunguliwa mara mbili mbili
 
Kwa hiyo ibada ya mwenge hakuna tena, mimi nikafikiri ndo ungeondoa korona maana ungeimulika pia
 
Serikali inatuweka katika wakati mgumu sana, kama hamna mgonjwa hata aliyethibitika kuwa na huu ugonjwa ni kwanini inazuia hiyo mikusanyiko?

Kama mipaka iko sawa na hamna wagonjwa wanaoingia ni kwanini inazuia mbio za mwenge,naona pia TAMISEMI imezuia mpaka graduations kuhudhiriwa na watu wa nje ya shule. Wakati huo huo mikusanyiko ya ibada inaendelea na watu wanaendelea kugombania mwendokasi.

Mbona haileti maana?
 
BEST of BESTEST decision...
Sijawahi kuzielewa hizi mbio, huku zikifika huwa ni kama ngoma tuseme kigodoro cha kitaifa...

Everyday is Saturday..................... 😎
 
Wewe ulitakaje?
Serikali inatuweka katika wakati mgumu sana, kama hamna mgonjwa hata aliyethibitika kuwa na huu ugonjwa ni kwanini inazuia hiyo mikusanyiko?

Kama mipaka iko sawa na hamna wagonjwa wanaoingia ni kwanini inazuia mbio za mwenge,naona pia TAMISEMI imezuia mpaka graduations kuhudhiriwa na watu wa nje ya shule. Wakati huo huo mikusanyiko ya ibada inaendelea na watu wanaendelea kugombania mwendokasi.

Mbona haileti maana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazingua kijana


USSR
Hana nia ya dhati kuzuia Corona isiingie nchini kwa kuzuia mbio za mwengu huku mikusanyiko mingene ikiachwa iendelee.

Angekuwa serious,angezui ndege, hasa kutoka katika mataifa yaliyoathirika vibaya na corona, kuingia nchini.

Semeni tu kama lengo ni kuacha iingie alafu uchaguzi uairishwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom